Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

Nukta.
 
Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe, I salute you today more than any other day!! You made my day. Keep it up. Wapashukuna mpooooo!! Come on Shonza and Mtela!! Ben Saanane ulipo, endelea kuchapa kazi!! Sasa Mtanzania njooni hapa kuchukua mrejesho na kesho muweke kwenye frontline. Please, Tanzania Daima na Mwananchi, do the needful, frontline tomorrow. Denis please, kesho ni lazima tuuze magazeti yenye habari ya kweli from the horses mouth, Zitto himself.
 
Mkuu Zitto, nafurahi umekuja kuweka mambo sawa hapa. Ebu niweke sawa zaidi juu ya haya:

A) unaonyesha kwamba kumekuwa na vitisho vya wewe kutaka kuuliwa, je ni vitisho kutoka ndani ya Chama? Kama ndivyo unatuaminisha vipi kwamba moja ya vitisho hivyo sio habari hii unaoyoikanusha?

B) Umesema tendo la mtu moja lisionekane au kuchukuliwa kama mkakati wa taasisi. Hili ni tendo gani na la nani wakati sakata zima la wewe kutaka kuwekewa sumu umelikanusha?

Nakutakia siku njema katika ujenzi wa taifa hili nikitilia manani kwamba wewe ni kiongozi pekee wa kweli wa upinzani uliyebaki.
 
Afadhari umesema mkuu maana watu walishaanza kusema mengi mtaani.
 
Zitto Zuberi Kabwe kama gazeti limeandika uzushi kuna hatua za kuchukua sio kuleta hapa Jamvini!
 
Zitto kabwe nimekubali sana comments zako hapo juu.kamwe tusikubali kutofautishwa na propaganda hovyo zinazofanywa na maadui wa chadema.
 
soma post mara tatu,kunasehemu zitto kakana kunpewa sumu?
Acha kupindisha mambo wewe..zitto anasema "vitendo vya mtu mmoja visigeuzwe propaganda kwa taasisi nzima"
Umeisoma heading. Inawezekana naongea na mtu ambaye hajui maana ya heading.

Hayo maneno yoote yaliyo chini ya hiyo posti ya zitto yapo hapa: S iri ya Kuuwawa Zitto -UWONGO
Hizo nyingine ni blah blah.
 
Na nyie mliokuwa mnadai Dr. Slaa alitaka kumuua zitto. Na kwamba Ben Saanane ndio alikamatwa na hiyo sumu pale lunch time hotel, habari hizo mlizipata wapi? Mwenyewe mbona anakana.
Kwani alikuwepo wakati hizo mbinu zinapangwa, wewe vipi? Hii siri imetolewa na walio mkamata muuaji, hakuweza kutekeleza maagizo yake kwahiyo alie lengwa atajua vipi?
 
QUOTE=Papizo;6004554]Kilaza kushabikia ujinga tu, so amewakana mbona hamjabisha na kusema ni muongo, stu.pid[/QUOTE]

Kwa kifupi, Ufafanuzi wa Zitto, umeua soko la Shonza na Mwampamba huko Magambani.
Hongera sana Kamanda wa Ukweli Zitto.
 
=

Tatu, nawashauri watu ambao wamehama CHADEMA na kuhamia vyama vingine watumie muda wao kujenga vyama vyao badala ya kila siku kuzungumzia masuala ya chama ambacho wao sio wanachama tena. Kama mtu kaamua kuhama CHADEMA anapoteza haki ya kujadili masuala ya CHADEMA maana kama angekuwa anapenda kuyajadili asingehama. Naonya mtu yeyote ambaye anatumia jina langu ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa. CHADEMA sio pango la watesaji wala wauaji. Kama kuna mwanachama wa chama kingine cha siasa anayedhani kuna mtu ndani ya CHADEMA anapanga mipango ovu aende kwenye vyombo vya sheria kumshtaki. Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.

Nne, Nawashauri viongozi wenzangu wa CHADEMA na hasa wanachama tutumie muda wetu kujenga mshikamano ndani ya chama. Fitna, majungu, uongo, uzandiki nk kamwe havijengi chama. Chama chetu lazima kiwe mfano bora wa kuheshimu demokrasia na haki za binaadamu. Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.
SAFI SANA KIONGOZI umeonesha ukomav wa siasa nakpongeza sana kuwaonya hao wenye njaa kali waliohama CHADEMA na k
udhani ndo waizika
 
Zitto kama gazeti limeandika uzushi kuna hatua za kuchukua sio kuleta hapa Jamvini!
Hizo tuhuma zilianzia humu kabla ya kufika huko kwenye magazeti. So na majibu yake si vibaya yakafuata mtiririko ule ule. BTW, JF ni free forum ambayo mtu yeyote anaweza kuposti kitu chochote ili mradi asivunje sheria, kanuni na taratibu za forum.
 
Kwani alikuwepo wakati hizo mbinu zinapangwa, wewe vipi? Hii siri imetolewa na walio mkamata muuaji, hakuweza kutekeleza maagizo yake kwahiyo alie lengwa atajua vipi?
Ndio amekana sasa. Au unabishana na zitto.
 
Mara nyingi sana hapa jukwaani ben amekuwa akimsakama zitto kwa tuhuma za kuhujumu chama lakini zitto kwa busara zake hataki kabisa kulumbana na ben.. Hii ndio sifa ya kiongozi na tofauti kubwa iliyopo kati ya zitto na ben
Na wewe usitumie thread hii kuchochea fitina zako.Waache wenyewe wajenge chama chao.
 
Kila mara Mh. Zitto anapotoa Press Release, badala ya kujibu tu swala lililoko mezani, anakuja na mjadala mwingine.

Kwangu mimi, nimedonoa hii sentensi ambayo ni fupi lakini ina ujumbe mzito sana.

Ningependa kufahamu huyu MMOJA anayemwongelea katika matendo yake ambayo jamii isiyaone ndiyo matendo ya chama.

Ludovick Joseph Rwezaura
 
Mara nyingi sana hapa jukwaani ben amekuwa akimsakama zitto kwa tuhuma za kuhujumu chama lakini zitto kwa busara zake hataki kabisa kulumbana na ben.. Hii ndio sifa ya kiongozi na tofauti kubwa iliyopo kati ya zitto na ben

Sielewi kwa nini unapoingiza suala la Ben na issue ya Zito, Ben hakuwa na nia mbaya kuhusu Zito hope sote tunakumbuka habari za kuua kila kitu hata panya hatabaki ndani ya nyumba. Na Ben kwenye suala la Lwakatare alisema ndugu Zito naye ahojiwe ili kufuta mzizi wa fitina kuhusu malalamiko yake ya kuuliwa.

Hapa tuelewe kitu kimoja tuu, Zito kaja kutoa ufafanuzi kuhusiana na gazeti la mtanzania na sio suala la yeye kupaswa ahojiwe kuhusu njama za kuuwawa.

ALL in all Bravo KAMANDA ZITO.
 
Well done Zitto,nice and wise words.Make sure you work together to achieve broad objectives of CDM and not selfishness and individual objective. You have really hit hard on their heads including green mambas and some shameless gingers within CDM
 
Umegusa pale pale.Hilo ndilo chama cha magaidi wanaumia Kuona Zitto aakubalika sehemu zote.
Ben saanane weka mbali na sumu

Hii picha yenu ya kutunga ime-backfire.
Mmeruka sarakasi mkiwa nnejifunga taulo.
"Uongo hufika haraka kuliko ukweli, uongo hupanda lift ili kufika haraka na ukweli hupanda ngazi taratibu" by Zitto

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kama ni kweli walimkamata, mbona hawakumpeleka kwenye vyombo stahiki au basi hata kumtonya Zitto ili ajichunge nao! Mbona Zitto mwenyewe mpaka leo alikuwa hajui lolote? Kama hao akina Ushunzi walikuwa hawamzunguki Zitto mbona hawakumwambia?
Kwani alikuwepo wakati hizo mbinu zinapangwa, wewe vipi? Hii siri imetolewa na walio mkamata muuaji, hakuweza kutekeleza maagizo yake kwahiyo alie lengwa atajua vipi?

k
 
Back
Top Bottom