Hebu jibu swali hili kwanza kabla hatujaendelea:Acha kupapatika, Nimesema Ben ajitokeze kuzungumzioa hilo sijakwambia naanzisha mada tena sio lazima Ben ajitokeze humu. Uongo una Expire Date lakini ukweli hauharibiki milelel! Nyakati za kuumbuka akina Ben zinakaribia maana ukweli utatokea Mlango wa dharura bila ya kutegemea. Kumbe kweli Ben hajawahi kukutana na Ben daah. Pole Zitto
Je kulikuwa na mpango wa Dr. Slaa kumuua zitto kwa sumu kupitia ben saanane?