Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
gazeti yawezekana limemnukuu ndivyosivyo.kumbuka story za mwanzo za hawa mnawaita masalia ilikua ni kwamba zito akimkwepa ben na hawakuwahi kutana.Kasome tena gazeti,limemnukuu Juliana akisema alikuawa na ZZK kwenye hiyo bar,
Na kwamba siku mwapamba anakamata kipakiti kile cha ungaunga HAWAKUWA NA ZITO.walikua ni kina mwapamba na ben.
Kwanza according to mtanzania,anaandika wakati ben akitoa pesa kulipa bili yote ndo kipakiti kikadondoka.hapa kama zito alikuwepo haingii akilini ben ndo awe wa kuclear bill.