Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Zitto anasema
"matendo ya mtu mmoja yasiguzwe taasisi"
vilevile amesema haamini kama katibu wake mkuu anaweza kupanga kumuua.(HAAMINI SIO kwamba KATIBU WANGU MKUU HAWEZI KUPANGA KUNIUA,)
Just HA AMINI KAMA.
Kwani hata SIBANDA aliamini kwamba siku ile angefanyiwa kitu mbaya.?