Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

At a time like this ,this is important and crucial message. It is only for intellectual pple like u. Ahsante sana u r my role model in whom i hav never lost my trust.wabeja sana
 
Gazeti la mtanzania linatuka kama toilet paper nimelisomna leo ni habari za cahdema chadema tena zinajirudia rudia kwa agle tofauti tofauti
 

amebaki lwesye shardcole kaonyesha ushabiki
 
Hivi habari za kina Wema sepetu,Diamond na wapumbavu wengne zmekwisha..mana hawa waandish ndo habari wanazozijua.
 
Wewe unaweza ukawa zaidi ya muongo. How did you calculate your 6%, I thought it is 0%?

Halafu turudi hapa:

Viongozi wa CHADEMA si wa kweli?
Wewe ndio kilaza namba moja,unamtetea huyo aliyehongwa suti nne kilimanjaro???Mpaka sasa ni miaka 8 amefikisha 6% ya ahadi zake utamwitaje????Refer kuna uzi ulikuwa hapa jamvini jana(anayeweza kumwekea huyu kilaza bocho huo uzi msaada pliz)
 

Ni kama nimeku-overunderstand hapo kwenye red, au ni uelewa wangu mdogo
 
Kama kweli kauli yako ni ya dhati achana na usaliti kwa chama chako maana hata ukibisha vipi wewe ni mfadhili wa iliyokuwa hujama ya chama kwa masalia hivyo kama unatubu fanya hivyo kwa dhati kabisa. Kama utajifanya kichwa ngumu Watanzania wa sasa si wajinga na hao unaowatumikia wanaweza kukusaliti vilevile ukimaliza kazi yao au ukishindwa kuikamilisha.
 
bora hata umetufafanulia...mana nilishaanza kupoteza iman na chadema
 
Mkuu naomba tukubali kutokubaliana.
Hiyo thread ilikuwa mahsusi kuhusu tuhuma za Lwakatare kuhusiana na kesi ya ujasusi ambapo Ben Saanane alijaribu kutaka hao aliowataja wakahojiwe na polisi.

Yaani una maana Josephine alikuwa anasema Mh. Zitto ni mzushi, labda sikuelewi vizuri, kwa sababu huo ujumbe wa kwanza alikuwa anamwabis Ben kuwa, wale wati aliowataja ndiyo wame-engineer sarakasi la Lwakatare.
 
piga, ua, garagaza.... kamanda na kiongozi wangu ni zitoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
This is very good Zito, umeanza kukomaa, I like it very much. Umenikuna dogo. Big up
 
ban saanane ni kirusi hatari pale chdm.
afukuzweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Aibu ya Mwigulu, aibu ya zoka(tiss) aibu ya masalia, aibu ya waandishi wachumia tumbo, aibu ya sisiem.
Big up mheshimiwa Zitto, tuko pamoja na makamanda wote watetea ukombozi wa mnyonge wa tanzania. Tutawatii makamanda wote na tutasimama kuwatetea kwa lolote na kwa wakati wowote.
VIVA CHADEMA MKOMBOZI WA KUTOKA KWA PILI. YAANI BAADA YA KUTOKA KWA KWANZA MIKONONI MWA MKOLONI MWEUPE, TAIFA TUNAHITAJI KUTOKA KWA PILI MIKONONI MWA MKOLONI MWEUSI CICIEM.
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…