...Sidhani kama CCM wamewahi mhofia Zitto. Bali hilo husemwa sana na CCM wenyewe (ZeMacopolo, Ritz nk) ili kumpa kichwa Zitto aikoroge CDM
Sidhani kama zitto alishawahi kutaka kuivuruga chadema,nadhani ni mpishano wa mitizamo tu ambao unaweza ukatafriwa vibaya na simple minds...