Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Nilimwambia yeye na first lady wake kunakaribia kukucha na watajita wenywe bila hata kuulizwa.
Moto mkali wa ukweli unawatoa nyoka pangoni.

CHADEMA haimaliza vituko mpaka hapo uongozi wa kuviziana utakapoisha/kukoma kati yao.
 
Nakupa ongera kamanda wangu Zitto hii ndiyo komesha ya umbea na fitina za lumumba.Wema wa Mungu ukulinde na kuuficha uhai na kukufanikisha.(Farasi huwekwa tayari kwa siku ya vita;Bali MUNGU ndiye aletaye wokovu.)
 
Nawewe majebere ni mnafiki tena sana maana ulikuwa mstari wa mbele kushabikia mambo ya zitto kupewa sumu ukidhani ndio mtaji wenu kisiasa! Sasa naona ukuegemea kama zitto atawaumbua kiasi hiki!

Acha unafiki tunajua ujafurahi kuona zitto anawaumbua ndugu zako!

Amenifurahisha sana kuwapiga chenga nzuri sana!

Aise wewe ni bonge la mnafiki, wewe ndio kiongozi wa kumpondea Zitto humu JF ukisaidiana na Ben halafu sasa unajifanya kuwa uko nae.au umesahau alivyo kutoa nishai? Kweli vijana wa bongo wanaendekeza njaa.
 
Last edited by a moderator:
Moto mkali wa ukweli unawatoa nyoka pangoni.

CHADEMA haimaliza vituko mpaka hapo uongozi wa kuviziana utakapoisha/kukoma kati yao.

Halafu mbona timing za Saa8 na Dr kuingia kwenye hii post kama zinafanana! Kikao cha ushauri kilifanyika au?

What a concidence?
 
Halafu mbona timing za Saa8 na Dr kuingia kwenye hii post kama zinafanana! Kikao cha ushauri kilifanyika au?

What a concidence?
Mkuu, Mungu alitupatia akili tuzifanyishe kazi kwa mambo yanayohitaji fikra pana!!.
 
Zitto Zuberi Kabwe kama gazeti limeandika uzushi kuna hatua za kuchukua sio kuleta hapa Jamvini!

Na mbona ninyi mnaleta mambo mengine hapa jamvini wakati kuna mahali pa kuyapeleka? hapa ni sehemu ya kujadiliana, ndiyo maana na wewe uko hapa. Usituwekee mipaka hapa.
 
kwa mawazo mengine imekuwa faida kwa chadema kwa gazeti la mtanzania kwa kuandika habari hii leo pamoja na maswali mengi tuliyokuwa nayo toka asubuhi tulipo soma habari hii.kilicho tusumbua wengi hasa ni kwa sababu,moja habari hii siyo mpya kwetu tuliopata neema ya kupitapita humu jamvini.pili kuvurumishwa na watu ambao wao wanajipambanua kuwa karibu na Zito,wakati wakiwa wanachama wa cdm na baada ya kwenda huko waliko.kuandikwa kwa habari hii ktk gazeti la mtanzania la leo ndiyo kumekuwa hitimisho wa hoja hii ya kitoto ambayo mhusika mwenyewe amehitimisha kwa maelezo yake mwenyewe ambayo hakuwahi kuyatoa kabla japo kuwa taarifa hizi zilikuwepo na naamini mh Zito alikuwa anazifahamu pia.nampongeza Zito kwa kuendelea kuijenga na kuiimarisha chadema,kauli hii ni zaidi ya kusimama majukwaani,maana watu wengi huwa wanafikiri kufanya kazi za chama ni kuwa majukwaani kilasiku.bado nawaza nafasi ya kina shonza na wenzake kisiasa nikipata jibu ntarudi tena lakini kwa harakaharaka ndo kwaheri tena maana walibaki na karata moja tu ya kujibana kwa Zito sasa leo kawamwaga hadharani.
 
Amelog out kwanza anakwenda kuangalia kwenye ile ID nyingine kama kuna posts za kujibu. Mvumile kidogo.

Kazi ipo leo!
Mkuu, mimi nimesema. CHADEMA itatakasika tu pale viongozi wa CHADEMA watakapoacha kufanya kazi za kuviziana kwamba huyu kiongozi amesema hivi ngoja na mimi niseme hivi ku-counter attack, na huku wakitanguliza vijana wao ( proxy) kuja kupiga kelele mbele ya uwanja wa mapambano (Jamii forums)
 
Mmeona mafunzo ya JKT yalivyo na manufaa?

Kijana fresh from JKT huyo...

Tusubiri tuone na Kwa Mwigulu.

Mkuu Zitto , nitafurahi sana kama utachukua Uamuzi wa Kulishtaki hilo Gazeti litoe Hicho chanzo chake
 
Last edited by a moderator:
Hongera nyingi kwa kutochelewa kujibu hizi tuhuma nzito za kumchafua Dr Slaa na CHADEMA. MODS hiyo thread ifutwe na aliyeileta apewe kibano cha kudumu ili kukomesha tabia hii ya kuleta uzushi jamvini ambayo inatishia credibility ya JF.
 
hongera zitto kwa kuwakanusha masalia, japo ufafanuzi wako unamaswali kibao.!!
 
Huyu jamaa hana kazi inayotambuliwa na CHADEMA kikatiba lakini unapoona watu kama 'First Lady' wa serikali itakayoundwa na CHADEMA wanampa nguvu na kukubali kwa kile anachokifanya, hapo ndipo unaanza kuelewa kwa nini anakuwa na ubavu wa kurumbana na kukwaruzana Mh. zitto.

Haya chini ni maneno ya 'First Lady'. Sasa sijui kama naye 'First Lady' ni PROXY.







kutoka kwenye thread hii,
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...nza-nape-mchange-na-mwampamba-wahojiwe-6.html

kama uliwasoma hao wote vizuri wala hulikuwa huna haja ya kufikiri hivi kwani wao wote walikuwa wanataka kuonesha kuwa hizi habari za sumu ni uzushi wa wakina Mwampamba! Na ndio maana saanane alitaka wahojiwe ili ukweli ujulikane lakini hakuna haja tena maana muhusika mkuu amekanusha hizo tuhumu na kuziita uongo!

Naona hapo umejaribu kumuelewa tofauti josephine lakini alikuwa anasimamia kwenye ukweli kuwa huu ni uzushi na kweli ndugu yetu zitto ametueleza mwenyewe na sioni haja ya kukuza mambo haya kiasi hiki!
 
Shonza na marafiki wake siyo credible sources ni victims tena wamekuwafrustrated. Unapoandika habari za Chadema be extra careful siyo kama CCM watu wata ku-prove wrong with facts then utaonekana wewe ni kilaza. Watu wanajaua do not be stupid!!
 
Back
Top Bottom