Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Nimezisikia hizi habari zikishabikiwa na kiredio fulani kama sikosei ni clouds fm wameishabikia hii mada utadhani siyo professionals, as if ni wamama fulani wamekaa kibarazani wanajadiri umbea. Clouds FM inajipotezea sana status yake kushupalia uzushi tena kwa upendeleo, uzushi unaokichafua CCM wanakuwa kimya ila uzushi wa kuichafua CHADEMA utamsikia Geladi Hando, Kibonde na watu wa level hiyo jinsi wanavyo ishupalia kimbea,

Namshukuru Mungu kwa kuniepusha na aibu ya kutumika na wanasiasa.

Unaisikiliza kumbe? Haa haa mnaipiga vita afu ndo mnaisikiliza zaidi...
 
Nani atashindana na a failure case, Zittophobia anayo mwenyewe lakini sio watu kama sisi hana mission yeyote ya kuvuruga chama aliyoshinda kila siku nikuja JF kukanusha ,kutukana kujikana kujikubali he is just a lost case ,hili la MTanzania limemtandika usoni bao la uso ha ha ha

Kama una nia nzuri na chama...tumia muda wako kujenga chama na kuhimiza umoja...
Huwezi kujenga chama kwa kubagua au kuwabagua viongozi wa chama....
"Sio vyema kwa wanandoa kuonyesha tofauti zao kwa watu wa nje" this applies also to a party!
 
...kuna watu wameanza kupanic hapa, ata baada ya miezi kadhaa ya thread nyingi za kumchafua Zitto wanashangaa kuona uchafu wao wote huo unapukutishwa kwa thread ya maneno machache tu, ndio siasa mkuu, kua uyaone...


...Kwenye picha, wa kwanza kushoto ni Chege wa Wanaume TMK, unless unataka utuambie na Chege sikuhizi ni mwanasiasa, kwa kuwa Zitto ni muhimu kwa Chadema kuliko nyie, ni rahisi kwa Chadema kukubali kumkana na kumpoteza Ben and Co kuliko kumpoteza Zitto, so tafuteni tu nafasi ya kufanya mazungumzo ya amani na Zitto, atawasamehe tu bila shaka, otherwise mwisho wa siasa wa hawa vijana wafitini unaenda kuisha ata kabla hawajauanza...
 
Asante Kamanda Zitto Kwa majibu yako

Hata akipanda mlima KIlimanjaro kukanusha lakini paint ya usaliti na masalia imemjaa usoni hana nyimbo huyo ni spinner katuma watu gazeti limemuweka pabaya mno akathibitishe mahakamani sumu alitotaka kupewa mission yake inajulikana anamchafua Dr Slaa akifanikiwa hata kwa nchi moja kwake mgao na mama yake umeshafika
 
Wenye moyo ya kunguru ni wachache sana kama wakina Chris Lukosi, zemarcopolo,majebere wanasikia aibu lakini wamo

Kwenye post kama hizi huwezi kuwaona watu kama Mwampamba, Shonza na Mwigulu. Hawazipendi kabisa kwa sababu zinawakosesha posho za Lumumba
 
Last edited by a moderator:
penye ukweli uongo hujitenga,Big up sana zito kwa kuwaumbua hawa wajinga CCM ni mipango yao ya kuharibu mshikamano wa chama chetu.
 
Mkuu siyo waongo tu wako zaidi ya hapo,

Kama kauli hii ya Mh.Zitto na Ben Saanane zinavyotofautiana na kushutumiana, bali pia wanafanya siasa za kuviziana. Mmoja akisinzia anatandikwa kofi la kisiasa. Na hapo harakati za uchaguzi wa viongozi wa chama hazijapamba moto.

Hii statement inaonyesha kuwa CHADEMA kimeondoka nje ya misingi ya uanzishwaji na uendeshaji wake.

Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.

Kama ambavyo hata katika dini moja kuna tofauti, kamwe watanzania hatuwezi kuwa wafuasi wa chama kimoja.

Therefore, matusi ni ishara ya kuishiwa hoja. Achana nao kama watakutusi. Wengi wa machadema wamekuwa wakimtukana Zitto humu JF lakini leo kwa vile amemsafisha DR Slaa, wameamua kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

Anyways of course Zitto knows what is going on, he is not stupid. Lakini swali langu liko pale pale;

Viongozi wa CHADEMA ni waongo? Wanaaminika kweli kupewa uongozi wa nchi hii?
 
asante zitto kwa kufunguka! hope kesho habari kwenye magazeti zitakua nzuri
 
Kwa mara ya kwanza nakubaliana na wewe uzi wenyewe kaumwaga hapa na matusi kibao ndani yake enclosed unatakiwa kusoma between the line
Mkuu wangu Lwesye,
Ili jamii ikamilike, ni laima pawepo kutofautiana na kukubaliana na hakika hiyo ndiyo faraja ya yeyote mpenda maendeleo.....ikiwa kila siku tutatofautiana au kukubaliana kwa kila kitu basi itakuwa tunawakilisha jamii iliyojaa unafiki....Mimi/wewe na yeyote katu hatuwezi kutofautiana na kukubaliana kwa kila kitu, jambo la msingi ni nidhamu ya kutofautiana ama ile inayosemwa kuwa tayari kukubaliana kutofautiana. Twende mbele mkuu wangu...
 
Last edited by a moderator:
Yaani mashabiki wa CHADEMA wa hapa JF ni kama watoto wadogo wawezao kudanganywa kirahisi kwa peremende!! Binafsi wala sioni kinachowafanya mumsifie Zitto Kabwe kwa nyimbo na mapambio kutokana na post yake hii. Tuhuma kwamba alitaka kuuawa ni tuhuma mzito sana ambazo hazikuana leo.....zilikuja hapa JF wiki kadhaa zilizopita kama sio miezi lakini hakuzikanusha kwa uzito kama ambavyo amefanya leo!! Aliziacha habari hizi hapa JF ziendelee kuelea elea na katu hakufanya jitihada za kukanusha zaidi tu ya kudai hamfahamu Ben Saanane! Sina shaka kwamba hatua yake ya kutozikanusha habari zile(hapa JF) ndicho kimepelekea wasambazaji wa habari husika kuamua kuitoa kutoka Electronic Media/Online na kuipeleka kwenye Printing Media itakakosomwa na malaki ya watu!!! Watu wanavyomuona Zitto leo ni Kamanda utafikiri hapo awali waliamini taarifa zle!! Au mlizimanini kwa kuwa hakuzikanusha? Zilipotoka JF hakukanusha, zimetoka gazetini, anakanusha tena kupitia hapa JF!!! NI asilimia ngapi ya wasomao magazeti wanapata taarifa za hapa JF?! Kwanini hakukanusha tangu mara ya kwanza ili habari zile zisiendelee?! Au ni mimi ndie nilipitwa na ukanushaji wake?!

Sincerely speaking, hapa ninachokiona ni mwendelezo tu wa yale yale.....kwamba sasa habari imeshafika kwa jamii. Aidha, kukanusha kupitia JF wala hakutakuwa na positive impact! Kama kweli lengo lake ni kukanusha basi akakanushe kupitia other media kuliko kuishia JF pekee coz' kwa hapa alishashindwa kufanya hivyo hapo kabla!

Ameweka press release kwenye blog yake na facebook na twitter for information. Media are free to publish or ignore it. Yeye anasema pale anapoweza kusema. Huko mtanzania hana mamlaka napo.
 
Mhe. Zitto tunaomba uwapeleke mahakamani hao wazushi wakaeleze vizuri huko huo uzushi wao
 
...kuna watu wameanza kupanic hapa, ata baada ya miezi kadhaa ya thread nyingi za kumchafua Zitto wanashangaa kuona uchafu wao wote huo unapukutishwa kwa thread ya maneno machache tu, ndio siasa mkuu, kua uyaone...


...Kwenye picha, wa kwanza kushoto ni Chege wa Wanaume TMK, unless unataka utuambie na Chege sikuhizi ni mwanasiasa, kwa kuwa Zitto ni muhimu kwa Chadema kuliko nyie, ni rahisi kwa Chadema kukubali kumkana na kumpoteza Ben and Co kuliko kumpoteza Zitto, so tafuteni tu nafasi ya kufanya mazungumzo ya amani na Zitto, atawasamehe tu bila shaka, otherwise mwisho wa siasa wa hawa vijana wafitini unaenda kuisha ata kabla hawajauanza...
Ningekuwa mwanachadema Mimi ningekula sahani moja na Zitto ningekutana naye ama zingekuwa zake ama zangu ,huyu kijana hafai kwa unafiki wake na kujikweza na kujifanya anaweza kuvuruga chama ambacho wengine ndio tunaona wanaweza kunusulu wizi wa rasimali za nchi zetu ,ningeshauri hao wenziwe kwenye chama wamuanike kwa hila zake wakiweza wakate kipande cha gazeti wabandike juu ya uso wake azunguke nacho nchi nzima aone kama chadema itakufa kwa sababu ni mfitini I am proud kwa sababu ya kuwa kwenye mageuzi yasiyo na chama lakini nashabikia chadema
 
Hata akipanda mlima KIlimanjaro kukanusha lakini paint ya usaliti na masalia imemjaa usoni hana nyimbo huyo ni spinner katuma watu gazeti limemuweka pabaya mno akathibitishe mahakamani sumu alitotaka kupewa mission yake inajulikana anamchafua Dr Slaa akifanikiwa hata kwa nchi moja kwake mgao na mama yake umeshafika
Kwanza gazeti hujalielewa vizuri. Pili, sijaona bado mtu mwenye ubavu ndani na nje ya CHADEMA wa kumpeleka Mh. Zitto mahakamani zaidi ya kupiga kelele hapa JF kwa IDs ambazo siyo VERIFIED.

Waki THUBUTU, huo ndiyo utakuwa mwisho wako wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom