Zitto anasema
"matendo ya mtu mmoja yasiguzwe taasisi"
Umenikumbusha mbali sana,RIP Mama SalomeHongera naibu katibu mkuu na mjumbe wa kamati kuu,umenena vema ila chukuwa tahadhari kwani hawa jamaa(ccm)wanaweza kutumia maneno hayo wanayoyanadi kila sku na vibaraka wao,wakatengeneza wangwe sityle wakidhani kuwa ndyo turufu yao kisiasa 2015,naamini kul-nafsi-idhaa-ikatrumaut lakini sio kila kifo anapanga yeye kuna vingine anapanga mwanadamu.
Mkuu,
Samahani, lakini kumfananisha Zitto na Ben ni kumshushia heshima Zitto. Ben maishani mwake anaota kuwa siku moja akutane na Zitto ili ajisikie na yeye yumo! Hawa ni watu wa caliber tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha capillary na aorta.
Zitto amekujibuHeshima ya Upande mmoja! Hapa Zitto utapongezwa kwakuwa tu 'umem-save' 'nabii' SLAA. Hawa hawa ndio wanaokuporomoshea matusi kila siku! Lengo lao wakutumie tu kama 'kile kifaa' kisha waku-dump! Sijui kama hulijui hili!
Nne, Nawashauri viongozi wenzangu wa CHADEMA na hasa wanachama tutumie muda wetu kujenga mshikamano ndani ya chama. Fitna, majungu, uongo, uzandiki nk kamwe havijengi chama. Chama chetu lazima kiwe mfano bora wa kuheshimu demokrasia na haki za binaadamu. Wananchi hawawezi kutoa dola kwa chama chenye mifarakano. Tusiruhusu kugawanywa kwa matakwa ya watu wachache. Tusimamie misingi ya kuanzishwa chama chetu.
....................Gazeti la Mtanzania ni wazushi na wazandiki na huu ni mwanzo .....chunga sana
Mmeona mafunzo ya JKT yalivyo na manufaa?
Kijana fresh from JKT huyo...
huyu huyu zitto kabwe mnemwita masalia leo mmegeuka amekuwa shujaa wa chama...du!
Mkuu nadhani unafurahia sana utengano, Kamanda kesha sema na inaeleweka sasa wewe hukatazwi kutoa maoni lakini siyo ya kuendeleza utengano, after all mwenyewe ndio kasema hivyo na hatakiwi kulazimishwa kusema tunavyofikiri.Zitto amewakana watu kama wewe aliposema
huyu huyu zitto kabwe mnemwita masalia leo mmegeuka amekuwa shujaa wa chama...du!