CHIETH
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 179
- 67
Ndugu yangu Zitto napenda kukushukuru kwa kujibu gazeti hilo la Mtanzania. Maneno uliyoyaandika hapa haina unafiki hata mmoja. Haya maneno ni maneno ya busara na maneno ya Mungu. Sitokusahau siku ile uliposimama pale Revolution square pale mlimani na kuonyesha msimamo wako. Ninaamimi sana katika msimamo na hautatuangusha sisi vijana wenzako katika kupigania haki na ukweli katika nchi hii, hata kama ina uchungu. Ninakuombea kwa Mungu akubariki utujengee chama chetu cha chadema. Najua watu wengi wamo humo wanatumiwa na CCM ili CDM kife. Angalia walivyoiuwa CUF kwa kutumia mbinu zile zile wanazotumia sasa. Mungu akubariki mheshimiwa.