Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 1,933
- 1,850
Siyo kwamba hajui msitu ulipo ila amefanya jokes kwani watu waliuawa hapo lakini police walidai wamepambana na majambazi na kuwaua msitu wa Mabwepande.Brother, heshima mbele.....msitu hupo nje ya mji na hupo chini ya hifadhi ya misitu tembelea hapa TFCG, Misitu Yetu Project: Pande Game Reserve kwa taarifa zaidi.