Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,122
- 859,368
Mainda Mhando, Mwananchi mmhando@gmail.com
Dodoma. Mahakama imemuachia huru mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya mpenzi wake, Helena Sambo (52) ambaye aliieleza mahakama 'utundu' wake kwenye tendo la ndoa ndio ulisababisha kifo hicho.
Sambo alikuwa akituhumiwa kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Mussa Seiph Agosti 11 mwaka 2016, ambapo kwenye ushahidi wake alisema siku ya tukio walipe-ana penzi zito ambalo halijawahi kutokea tangu walipoanza uhusiano wa kimapenzi.
Kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa na Jaji Saidi Kalunde kwenye Mahaka-ma Kuu Kanda ya Dodoma na juzi alimuachia huru mshitakiwa huyo.
Jaji Kalunde alisema baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili, mshtakiwa hakuwa na hatia kwa kosa la mauaji.
TAARIFA ZAIDI
Baada ya kufanya mapenzi Sambo alim-uacha marehemu apumzike na alishan-gaa kesho yake alika-matwa na polisi kwa tuhuma za mauaji.
Alisema katika kumtia hatiani mshtakiwa mahakama inabidi izingatie mambo kama silaha iliyotumika kwenye tukio, nguvu iliyotumika, eneo lililotokea tukio, majeraha ya aina gani na matendo ya mshtakiwa kabla na baada ya tukio.
Alisema katika kila ushahidi uliotolewa unatakiwa uonye
she mshtakiwa amefanya mauaji hayo na si mtu mwingine.
Jaji Kalunde alisema ushahidi huo unashindwa kumtia hatiani kwani mare-hemu hakukutwa na jeraha jingine mwil-ini na upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kuwa Sambo alimuua Mus-sa. Wakati wa ushahidi wake, Sambo aliieleza mahakama kuwa siku ya tukio Agosti 11, 2016 alikwenda mnadani kuku-tana na mpenzi wake na walikubaliana waende nyumbani kwa Mariam Sakalani (maarufu kama Biti Mteji) kwa ajili ya kufanya mapenzi.
Sambo alidai walianza kufanya map-enzi saa 9:30 alasiri na kumaliza saa 1 (bila kutaja kama ni jioni au asubuhi) na kwamba kawaida yao baada ya kumaliza mume huanza kuondoka. Alidai siku hiyo walipomaliza kufanya tendo hilo Mussa alimwambia Helena atangulie msibani na yeye atafuatia ili apumzike kidogo maana alidai amechoka sana.
Dodoma. Mahakama imemuachia huru mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya mpenzi wake, Helena Sambo (52) ambaye aliieleza mahakama 'utundu' wake kwenye tendo la ndoa ndio ulisababisha kifo hicho.
Sambo alikuwa akituhumiwa kumuua aliyekuwa mpenzi wake, Mussa Seiph Agosti 11 mwaka 2016, ambapo kwenye ushahidi wake alisema siku ya tukio walipe-ana penzi zito ambalo halijawahi kutokea tangu walipoanza uhusiano wa kimapenzi.
Kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa na Jaji Saidi Kalunde kwenye Mahaka-ma Kuu Kanda ya Dodoma na juzi alimuachia huru mshitakiwa huyo.
Jaji Kalunde alisema baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili, mshtakiwa hakuwa na hatia kwa kosa la mauaji.
TAARIFA ZAIDI
Baada ya kufanya mapenzi Sambo alim-uacha marehemu apumzike na alishan-gaa kesho yake alika-matwa na polisi kwa tuhuma za mauaji.
Alisema katika kumtia hatiani mshtakiwa mahakama inabidi izingatie mambo kama silaha iliyotumika kwenye tukio, nguvu iliyotumika, eneo lililotokea tukio, majeraha ya aina gani na matendo ya mshtakiwa kabla na baada ya tukio.
Alisema katika kila ushahidi uliotolewa unatakiwa uonye
she mshtakiwa amefanya mauaji hayo na si mtu mwingine.
Jaji Kalunde alisema ushahidi huo unashindwa kumtia hatiani kwani mare-hemu hakukutwa na jeraha jingine mwil-ini na upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha kuwa Sambo alimuua Mus-sa. Wakati wa ushahidi wake, Sambo aliieleza mahakama kuwa siku ya tukio Agosti 11, 2016 alikwenda mnadani kuku-tana na mpenzi wake na walikubaliana waende nyumbani kwa Mariam Sakalani (maarufu kama Biti Mteji) kwa ajili ya kufanya mapenzi.
Sambo alidai walianza kufanya map-enzi saa 9:30 alasiri na kumaliza saa 1 (bila kutaja kama ni jioni au asubuhi) na kwamba kawaida yao baada ya kumaliza mume huanza kuondoka. Alidai siku hiyo walipomaliza kufanya tendo hilo Mussa alimwambia Helena atangulie msibani na yeye atafuatia ili apumzike kidogo maana alidai amechoka sana.