Siri kuu za CHADEMA hizi hapa...

Siri kuu za CHADEMA hizi hapa...

Jiulize kwanini mchimbwa ooh sorry mchimbi na spika hawakutumia sheria za bunge kumtaka Rev Msigwa kusibitisha hicho nyie mlichokiita kuwa ni uongo
Hakukuwa na sababu ya kufanya hivyo. Kwani kwa kusitisha hoja hiyo ni sawa na kuwaongezea umaarufu. Dawa ya mwongo ni kusema ukweli
 
Napatwa na wakati mgumu wanaposema Chadema kushika dola,sio kazi rahisi kama kuingia bungeni na kutoa matusi na kupokea posho yako, ni kazi ngumu kuongoza nchi kaka usijidanganye bado wanahitaji muda mwingi kujipanga.

Kaka hayo maoni yako lakini sisi wananchi ndio wenye maamuzi peleka salamu
 
Wewe unasumbuliwa na mawazo bangi?kwa nini usisifie serikali ya ccm inayowezesha nyinyi kufanya uhuni mtakavyo na kuwatizama,kwa taharifa yako padri ikulu ataisikia mpaka mauti yanamkuta.

LUMBUMBA PROJECT speaking!
 
Nchemba na lusinde wanatisha kweli. Ndo maana kila wakisimama kuongea akina lissu na mnyika hukimbilia kuomba miongozo ya spika ili kudisturb flow yao

yani hata mi nawaogopa kweli make kucha na meno hawana mchezo nayo daa lazma kina lissu walinde viungo vyao
 
CHADEMA sasa ni zaidi ya chama kikuu cha upinzani nchini. Bungeni ikiwa na Wabunge 48 ambao ni sawa na asilimia 13.445 ya Wabunge wote 357,inafanya mambo makubwa. Inabuni,inahoji,inajenga hoja na kuomba miongozo ya Spika mambo yanapokwenda mrama. Nje ya Bunge ndio usiseme. Mikutano ya kueleza ukweli na ya kujadili mstakabali wa taifa inafanyika kwa ubunifu,ufanisi na mafanikio makubwa. Sasa imejijengea heshima na uaminifu mkubwa kwa wananchi. Inasubiriwa kutwaa dola. Siri ya mambo haya ni tatu. Kwanza,imesimama yenyewe. Inapambana na yeyote anayeweza kupambana nayo kisiasa. Haiogopi. Pili,inatumia kila nafasi ijitokezayo ipasavyo. Si nje wala ndani ya Bunge. Pia,ina uongozi bora uliojaa ubunifu,busara na uwezo.Natamani na kutumai kujiunga nayo nikijiunga siasani...

Kamanda chukua hizo like, like, like na like. Huo ndo ukweli hata wale wa buku7 p/d hutawaona
 
Wewe unasumbuliwa na mawazo bangi?kwa nini usisifie serikali ya ccm inayowezesha nyinyi kufanya uhuni mtakavyo na kuwatizama,kwa taharifa yako padri ikulu ataisikia mpaka mauti yanamkuta.

Kama serikali inawezesha uhuni ufanyike,itakuwa ni serikali ya kihuni na inayoongozwa na wahuni hadi inapelekea wengine wafanye uhuni au serikali ya namna gani???!!

Ukitaka kutetea upumbavu usitumie hoja za kipumbavu vinginevyo ni mpumbavu tu kama wenye mtindio ambae Una uwezo wa kubonyeza keyboard kama toy tu,idi.ot!!!!
 
Back
Top Bottom