Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,690
- 5,557
kwani unaonaje mkuu walefi wawili wakiamua fanya fujo, penye watu hata 1,000 ni vurugu tupu.Mbunge mmoja wa CDM ni sawa na wabunge 50 wa CCM.
kwani unaonaje mkuu walefi wawili wakiamua fanya fujo, penye watu hata 1,000 ni vurugu tupu.Mbunge mmoja wa CDM ni sawa na wabunge 50 wa CCM.
CHADEMA sasa ni zaidi ya chama kikuu cha upinzani nchini. Bungeni ikiwa na Wabunge 48 ambao ni sawa na asilimia 13.445 ya Wabunge wote 357,inafanya mambo makubwa. Inabuni,inahoji,inajenga hoja na kuomba miongozo ya Spika mambo yanapokwenda mrama. Nje ya Bunge ndio usiseme. Mikutano ya kueleza ukweli na ya kujadili mstakabali wa taifa inafanyika kwa ubunifu,ufanisi na mafanikio makubwa. Sasa imejijengea heshima na uaminifu mkubwa kwa wananchi. Inasubiriwa kutwaa dola. Siri ya mambo haya ni tatu. Kwanza,imesimama yenyewe. Inapambana na yeyote anayeweza kupambana nayo kisiasa. Haiogopi. Pili,inatumia kila nafasi ijitokezayo ipasavyo. Si nje wala ndani ya Bunge. Pia,ina uongozi bora uliojaa ubunifu,busara na uwezo.Natamani na kutumai kujiunga nayo nikijiunga siasani...
Wewe unasumbuliwa na mawazo bangi?kwa nini usisifie serikali ya ccm inayowezesha nyinyi kufanya uhuni mtakavyo na kuwatizama,kwa taharifa yako padri ikulu ataisikia mpaka mauti yanamkuta.
Napatwa na wakati mgumu wanaposema Chadema kushika dola,sio kazi rahisi kama kuingia bungeni na kutoa matusi na kupokea posho yako, ni kazi ngumu kuongoza nchi kaka usijidanganye bado wanahitaji muda mwingi kujipanga.
Mkuu umesema kweli tupu....Hiki chama kina kibali Mbinguni na Duniani ati..
Mkuu, umesahau kuwa nchemba tu peke yke anafanya viongozi na wafuasi wote wa cdm washindwe kulala usingizikucha
Mkuu, siasa za kung'oana kucha zipo ndani ya cdm. Hata dr slaa analijua hilo isipokuwa ameamua kusema uongo kwa makusudi kwa kuisingizia ccm. Muda si mrefu wataumbukaCCM wameamua kung'oa watu kucha na meno wakidhani eti ni kuimaliza nguvu CDM
Mkuu Petro, nakubaliana na wewe kwa asilimia 100%, ila napenda kuongezea ya kuwa siri nyingine ya mafanikio ya CHADEMA ni kumtegemea Mungu wetu muumba Mbingu na Nchi.
Mkuu, jana waziri nchimbi kawabomoa sana. Sijui kama watakuwa na pa kutokea
Hakiwezi kushika dola kwa mwenendo huu kwakweli tusidanganyane tuliowengi ni mashabiki na sio wanachama wala sio wapiga kura!!!
Wewe unasumbuliwa na mawazo bangi?kwa nini usisifie serikali ya ccm inayowezesha nyinyi kufanya uhuni mtakavyo na kuwatizama,kwa taharifa yako padri ikulu ataisikia mpaka mauti yanamkuta.
yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe ndo adui? Unalazimisha mawazo yako yawe mawazo ya wote?
Nchemba na lusinde wanatisha kweli. Ndo maana kila wakisimama kuongea akina lissu na mnyika hukimbilia kuomba miongozo ya spika ili kudisturb flow yaokweli kabisa make spidi yake ya kung'oa kucha hakuna asie iogopa hyu chemba
Mkuu, jana waziri nchimbi kawabomoa sana. Sijui kama watakuwa na pa kutokea
Kama huna cha kucomment nenda kakojoe ulalemwizi anakili kua alibeba mali za wizi, mtu na masharubu yake anarokeza hazarani na kua we hujabeba, yani ccm hamuishiwi vituko
Muulize Dk Nchimbi,ilibidi atafutiwe DESA na kilaza Mtela Mwampamba ili kumkabili Mchungaji Msigwa,lakini waapi leo magazeti yooote yawabana kama kawaida.Chadema bado sana,huo ndo ukweli.
yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe ndo adui? Unalazimisha mawazo yako yawe mawazo ya wote?