Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,080
Mleta hoja, nimekuelewa mkubwa. Vidole vyangu viwili ( Shahada na cha kati ) viko juu kwa ajili yako na sina hoja zaidi. Asante!
kibali cha kuua watu? Kung'oa watu kucha?
napatwa na wakati mgumu wanaposema chadema kushika dola,sio kazi rahisi kama kuingia bungeni na kutoa matusi na kupokea posho yako, ni kazi ngumu kuongoza nchi kaka usijidanganye bado wanahitaji muda mwingi kujipanga.
mbona linakutoka povu mkuu? Kwa lipi?
hoja zangu anajua dada ako we april 2013 nenda lumumbaMabwana zako ndio wanajua mwigulu ni nani, wewe kaa chini huna hoja
Napatwa na wakati mgumu wanaposema Chadema kushika dola,sio kazi rahisi kama kuingia bungeni na kutoa matusi na kupokea posho yako, ni kazi ngumu kuongoza nchi kaka usijidanganye bado wanahitaji muda mwingi kujipanga.
MBEYA NI NOMA. Kwanza jamaa alipanga kukaa siku tatu. Wakatangulia na suti zao wakawa wanajaa kwenye mabaa, baadae wakajiona wako tofauti na jamii ya Mbeya hali ikawa ngumu kwao. Ghafla Mbeya FM radio ikandangaza kufupishwa kwa ziara, baada ya kuona upepo hauvumi kwao. Airport Songwe kulikuwa na ukaguzi wa kufa mtu kila mtu alikaguliwa kwakila kifaa walichoweza kukitumia. Alipofika Mbeya stadium [maccm wanaita Sokoine] akapunga mkono cha ajabu sana hata Kandoro hakunyanyua mkono. Mvua ikaharabu zaidi, akabaki na majukwaa yasiokuwa na watu. CDM wanapokuja hawatoi taarifa, lakini Uwanja wa Dk. W. P. Slaa, huwa watu wanakosa nafasi. Bahati nzuri Mbeya hata polisi wakikusanywa nchi nzima hawawezi kitu. Walifanya utafiti ikaonekana Watu wa hapa hawataki kuingiliwa mambo yao ndo maana hata Kandoro hasikiki kama ilivyokuwa DSM na Mwanza. Polisi wanaogopa raia coz wakileta fujo wanaweza kusakwa hata wanakoishi ndo maana hawasumbui. Arusha njooni mjifunze, Mbunge wenu hatakatwa kamwe.mungu wenu ni yule alienuniwa mbeya leo
Hivi kama JK naye ameweza kuwa raisi je ni mtanzania gani atakayeshindwa kuongoza taifa lililojaa mbulumbulu kama wewe!Napatwa na wakati mgumu wanaposema Chadema kushika dola,sio kazi rahisi kama kuingia bungeni na kutoa matusi na kupokea posho yako, ni kazi ngumu kuongoza nchi kaka usijidanganye bado wanahitaji muda mwingi kujipanga.