Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

Sasa kama haikuwa lazima nijue imekuaje ututangazie msimamo wako hadharani humu wakati ulijua ni kwa faida yako tu, au unatujaribu?
Kwenye komenti yangu ya kwanza uliyoniquote kuna mahali nimesema nina msimamo? Au kiherehere chako tu
 
Yani nasema kiukweli toka moyoni sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii.

Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao.

Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.
1.Unahofia nini?..

2.Utamnyima miaka yote ya ndoa yenu?.ana umri gani?.

3.ishu ni mitandao ama ishu ni kuwa na simu?.utamzuilia zama hizi?.
 
Hakuna kilichonisibu mkuu. Ila wife anatamani sana na avutiwa mno na mtandao wa facebook. Nimemkataza asijiunge amenielewa lakini kama namuona amekuwa mnyonge baada ya kumkataza.
Mmhh umemtoa kijijini?
Mana facebook iliingia bongo miaka ya 2007 tukatumia hadi tukaiacha
 
Mfumo dume uliwahifadhi watu wa zamani katika ndoa zao, mfumo dume uliweka heshima katika ndoa kwa muda mrefu, mfumo dume ndo ambao tumeumbwa nao, mfumo dume ndo mfumo sahihi.... vinginevyo ndo unakuta mwanaume anatawaliwa katika ndoa na kisha hiyo ndoa yenyewe haidumu. Ni jambo zuri sana kumfanya mkeo awe utakavyo wewe mana wewe ndo kiongozi wake.
Kuna vitu nadhani unaweza mzuia mtu ila kuna vitu naona kama ngumu

Mfano :mtu mzima kutokua na simu miaka hii inawezekana kweli?.
 
Hatumii mtandao wowote mkuu.
Anaweza kua anatumia kwa siri kutokana na katazo ulilotoa...anapata hamu kujua hivi fb kuna nini hadi nakatazwa?.

bora anaeijua fb akaikinai..kuliko anaeanza ukubwani namsikitikia..curiosity killed the cat
 
Uliposema anakuwa hana msimamo ulikuwa na maana gani?
Kwa hiyo nikisema mtandao si mzuri kwa wasio na msimamo maana yake nimesema mimi nina msimamo, thread hii inanizungumzia mimi kwani? Si nimechangia kwa vile ninavyojua?
 
Kwahiyo uko radhi kumuona anakosa furaha ili mradi tu wewe uridhike?
Hakuna kilichonisibu mkuu. Ila wife anatamani sana na avutiwa mno na mtandao wa facebook. Nimemkataza asijiunge amenielewa lakini kama namuona amekuwa mnyonge baada ya kumkataza.
 
Umeoa mkuu?
Ndiyo rafiki na wajukuu juuu. Huwezi kumbana mwenzi wako halafu uutangazie umma kuwa ni mwaminifu sana! Mwache ajichanganye lakini aushinde uovu! Usiogope ukimbana sana akiingia kwa njia za panya atafanya kile unachofikiria
 
Kama huna hela lazima uchukie mkeo kutumia social medias unaogopa atakutana na washika dau tukakusaidia majukumu.
Yani nasema kiukweli toka moyoni sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii.

Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao.

Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.
 
Kwa hiyo nikisema mtandao si mzuri kwa wasio na msimamo maana yake nimesema mimi nina msimamo, thread hii inanizungumzia mimi kwani? Si nimechangia kwa vile ninavyojua?
Acha kuyumba na mm ndo maana nilikuuliza ww una msimamo gani? Ungejibu tu kutusaidizia tujue msimamo ulionao
 
Kuna mada huwa zinawashinda wana jf kudiscuss vzr, mada hizo ni kama hii
 
Back
Top Bottom