Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

Yani nasema kiukweli toka moyoni sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii. Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao. Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.
Mmmmh sio unamkuta mtoto wawatu mitandao yote ya kijamii anaijua harafu kumuoa tu uanza kumpiga stop we thubutu
 
Mimi Mke nitakayeoa ni Lazima alijue hili
[emoji117]Wanawake ni wengi sana warembo,wenye kujipamba wacha Mungu na wenye tabia njema.

Kwaivo Uhuru atakua nao 100% ila akishavuka mpaka ndo kwaheri .

Na kwakulizingatia hilo, Kwangu mimi Mwanamke ni Msaidizi kama ilivyoamuliwa.
 
Wivu tuu anaogopa atachapiwa..
Hayo mdo madhara ya kuoa wanawake wazuri wenye mvuto
 
Mmmh
Bro huo ni mfumo dume, ila kwa ninacho kiona kwenye mitandao ya kijamii ni bora tu ukubali kusemwa kuwa unatumia mfumo dume au kama vipi uache kuoa,Juzi kuna jamaa kakuta mkewe katuma picha za uchi kwa mshikaji wa fb.
 
Ila kuna wanaume bana wakikuambia usitumiee hiki unaweza acha lakin wengine wabinafsi mtusamehe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bro kama hutaki atumie mitandao ya kijamii,,, mtengenezee mitandao ya kifamilia atumie!! [emoji35] [emoji35] Kama huwez hilo mwache aperuzi kwa raha zake [emoji57]
 
Back
Top Bottom