Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

Je wewe mwenyewe uanapenda kuingia huko? unachokifanya sio chema ndio maan naogopa wenzio watakulia timing!! lakini kama ni honest usiogope
 
Yani nasema kiukweli toka moyoni sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii.

Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao.

Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.

Mfumo dume uliwahifadhi watu wa zamani katika ndoa zao, mfumo dume uliweka heshima katika ndoa kwa muda mrefu, mfumo dume ndo ambao tumeumbwa nao, mfumo dume ndo mfumo sahihi.... vinginevyo ndo unakuta mwanaume anatawaliwa katika ndoa na kisha hiyo ndoa yenyewe haidumu. Ni jambo zuri sana kumfanya mkeo awe utakavyo wewe mana wewe ndo kiongozi wake.
 
Ndiyo nalijua hilo ila kwanini wanaume hayo mamlaka mliyopewa juu ya wanawake mnayatumia vibaya? Badala ya kutumia mamlaka yenu kuwalinda na kuwatetea mnayatumia kuwaonea na kuwasaliti vitu ambavyo ni dhambi je Mungu ndivyo alivyotaka hivyo?
Imeandikwa kuwa mwanamke akimtii mume wake ndo sababu ya kupata ufalme wa milele. Unachotakiwa kufahamu na uweze kutofautisha ni mwanaume ameumbiwa na sifa za kiume,hali kadhalika mwanamke ameumbiwa sifa za kike. Na ndio maana anachokimudu mwanamke hata kiwe chepesi kiasi gani maadam kinaendana na maumbile ya mwanamke mwanaume hakimudu kitu hicho katu.
 
Mfumo dume uliwahifadhi watu wa zamani katika ndoa zao, mfumo dume uliweka heshima katika ndoa kwa muda mrefu, mfumo dume ndo ambao tumeumbwa nao, mfumo dume ndo mfumo sahihi.... vinginevyo ndo unakuta mwanaume anatawaliwa katika ndoa na kisha hiyo ndoa yenyewe haidumu. Ni jambo zuri sana kumfanya mkeo awe utakavyo wewe mana wewe ndo kiongozi wake.
Inategemea
 
Back
Top Bottom