kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,874
- 4,161
Yani nasema kiukweli toka moyoni sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii.
Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao.
Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.
Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao.
Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.