Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

Sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii

kaligopelelo

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
2,874
Reaction score
4,161
Yani nasema kiukweli toka moyoni sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii.

Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao.

Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.
 
Shida nini mkuu?
1. Atatongozwa?
2. Unapenda asiwe up to date kila saa kukiwa na tukio uwe wa kwanza kumwambia akuone shujaa?
3. Atakuzidi maarifa kwa kujifunza vitu mbali mbali, vizuri na vibaya?
Hakuna shida kati ya hizo ulizotaja zaidi ya kile ninachojifunza kwa wanawake wanaotumia mitandao ya kijamii.
 
Bro huo ni mfumo dume, ila kwa ninacho kiona kwenye mitandao ya kijamii ni bora tu ukubali kusemwa kuwa unatumia mfumo dume au kama vipi uache kuoa,Juzi kuna jamaa kakuta mkewe katuma picha za uchi kwa mshikaji wa fb.
Sasa kama hivyo mkuu mwanamke anatuma picha ya papuchi yake kabisa? aagh!!
 
basi mruhusu atumie hata mtandao wa tigo kama hutaki atumie mtandao wa kijamii
 
Kama hujali unafikiri sisi inatuhuhu.. pambana na mkeo huko huko mchepukaji wewe.. huna udume umejaa uoga.. usipoangalia utajimaliza kabla ya siku zako..
Kabla ya yote toa sabuni kinywani mwako.
 
Kama hujali unafikiri sisi inatuhuhu.. pambana na mkeo huko huko mchepukaji wewe.. huna udume umejaa uoga.. usipoangalia utajimaliza kabla ya siku zako..
Kabla ya yote toa sabuni kinywani mwako.
 
Back
Top Bottom