Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,539
Ni sahihi kwa wanaume wa kibongo! Swali linakuja je wanaume wa kibongo ni kina nani?
Mfumo dume ndo mfumo sahihi,
Hilo halina ubishi
Mfumo dume ndo mfumo sahihi,
Hilo halina ubishi
Ila kuna wanaume bana wakikuambia usitumiee hiki unaweza acha lakin wengine wabinafsi mtusamehe [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila muhimu kwa nani?Sio muhimu kwako
Hilo katazo atalipata mapema katika sura ya sharti la ndoa yetu.Mmmmh sio unamkuta mtoto wawatu mitandao yote ya kijamii anaijua harafu kumuoa tu uanza kumpiga stop we thubutu
Kwa imani ya dini yangu naruhusiwa kuoa wake wanne,kwahiyo sioni kama kuna tatizo kutafuta mwanamke wa kumuoa.Pole sana...
Hii yote ni kwa sababu unavyojiona wewe unavyotogoza kiulani kwenye mitandao ya kijamii basi unaona nae mkeo atakua analiwa kiulanini hivyo hivyo...
Cc: mahondaw
Sio lazima kila anachokifanya mwanaume na mkewe/mwanamke afanye na kinyume chake iko hivyo hivyo. Mke wangu anasuka mimi ninanyoa.Ila wewe kwako utumie tu sawa mwenzio asitumie mfyuuuu
Kwani nimesema wanatabia zipi mkuu?Siyo wote wenye hizo tabia.
Wewe mnyang'anye hiyo Techno yakeYani nasema kiukweli toka moyoni sipendi mke wangu atumie mitandao ya kijamii. Hata kama mimi mwenyewe natumia na anajua natumia lakini yeye sipendi nimuone anatumia hiyo mitandao. Najua wapo watakaoniona natumia mfumo dume potelea mbali na wala sijali.
Kuna tofauti kubwa baina ya woga na kutopenda. Na siku zote kwenye woga hakuna mapenzi ya kweli.Unaogopa nini?
Tuko pamoja mkuu,halafu kuna kikao kinaandaliwa nadhani hiyo itakuwa ajenda mojawapo.Mimi Mke nitakayeoa ni Lazima alijue hili
[emoji117]Wanawake ni wengi sana warembo,wenye kujipamba wacha Mungu na wenye tabia njema.
Kwaivo Uhuru atakua nao 100% ila akishavuka mpaka ndo kwaheri .
Na kwakulizingatia hilo, Kwangu mimi Mwanamke ni Msaidizi kama ilivyoamuliwa.
Imeelezwa kuwa maisha ni mapambano mkuu,wacha tupambane.Vijana mna kazi kweli kweli
MBEGU NZURI/BORA NDO HUPANDWA SHAMBANI NIOE MWANAMKE MBAYA UNATAKA NISIMWANGALIE USONI?Wivu tuu anaogopa atachapiwa..
Hayo mdo madhara ya kuoa wanawake wazuri wenye mvuto
Umeona eeh!!Wasiwasi ndo akili
Anachokikataza mumeo kwako hakipendi kwanini umkwaze?Ila kuna wanaume bana wakikuambia usitumiee hiki unaweza acha lakin wengine wabinafsi mtusamehe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kilichonisibu mkuu. Ila wife anatamani sana na avutiwa mno na mtandao wa facebook. Nimemkataza asijiunge amenielewa lakini kama namuona amekuwa mnyonge baada ya kumkataza.Hujatueleza ni Nini kilichokusibu mzee
Nashukuru kwa ushauri wako mkuu,nimeelewa nimtie mimba mke wangu alee watoto ama sivyo?Bro kama hutaki atumie mitandao ya kijamii,,, mtengenezee mitandao ya kifamilia atumie!! [emoji35] [emoji35] Kama huwez hilo mwache aperuzi kwa raha zake [emoji57]
Imeandikwa kuwa mwanamke akimtii mume wake ndo sababu ya kupata ufalme wa milele. Unachotakiwa kufahamu na uweze kutofautisha ni mwanaume ameumbiwa na sifa za kiume,hali kadhalika mwanamke ameumbiwa sifa za kike. Na ndio maana anachokimudu mwanamke hata kiwe chepesi kiasi gani maadam kinaendana na maumbile ya mwanamke mwanaume hakimudu kitu hicho katu.Yaani wanaume wa kibongo kwa kujiona miungu watu
TufafanulieNi sahihi kwa wanaume wa kibongo! Swali linakuja je wanaume wa kibongo ni kina nani?