only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Nilipata taarifa kuwa wazee wa kimila wa kabila ya marehemu Sumari walimlaani huyu kijana kwa kukimbilia kwenye kurithi kiti alichokiacha baba yake kabla hata ya arobaini,hii ni kweli au ni majungu.Na kama ni kweli si anaweza kosa support ya hawa wazee wa mji?
Kwangu mimi kuchaguliwa kwa huyu mtoto wa Sumari ni njia nyeupe kwa CDM kulitwaa hili jimbo kiulaini tena hata bila nguvu,itakuwa ni kama kumsukuma mlevi vile.
Kwangu mimi kuchaguliwa kwa huyu mtoto wa Sumari ni njia nyeupe kwa CDM kulitwaa hili jimbo kiulaini tena hata bila nguvu,itakuwa ni kama kumsukuma mlevi vile.