Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Kisali, AKA K-SOLO!Mimi sikubaliani na siasa za CCM, lakini nitapinga wale watakaomgroup huyu jamaa na kina Ridhwani. Namjua Sioi tangu akiwa Forodhani Primary School, Lutheran Junior Seminary na hata baada ya kwenda kusoma Uingereza. Ni kijana mstaarabu na mwenye upendo. Nashindwa kuelewa kwa nini yeye amegombea badala ya kaka yake Kisali, kwani yeye ndio alikuwa na trait za siasa katika familia yao.