tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,216
kufa hufi ila utamu utaupatamtakuja kufa... Mnagundua nini sasa hapo
kufa hufi ila utamu utaupatamtakuja kufa... Mnagundua nini sasa hapo
tabibumtaratibu tutake radhi, mwe mwe mwe sisi wambea? Una hamu tukuzukie huko tukukunyuge kama tunalima mpunga eeeh, shauri zako hahahahahahah
Mademu wengi wa Jiji la Mbeya wameota ndevu, wengine wana mpaka masharubu. Ukiona hivyo hao wanaopagawisha ni wakuja sio wa hapo hapo. Mademu wengi wazawa wa Mbeya hawajui kubembeleza ni ubabe tu...
ndiyo wanawake wa tanga bwana mtoto kafunzwa unyago
mtakuja kufa... Mnagundua nini sasa hapo
Hajasema kinaongeza nini hicho kisosi....zingine mbwembwe tu hazina hata maana....unless mtu anipe hapa chemistry ya kisosi na kugegeda
Hajasema kinaongeza nini hicho kisosi....zingine mbwembwe tu hazina hata maana....unless mtu anipe hapa chemistry ya kisosi na kugegeda
nimesema kinaongeza utamu
mbeya kafunzwa nni?
soma hapo juu nimeeditKinaongezaje utamu sasa hiyo chemistry ndo naitaka hapa
Mademu wengi wa Jiji la Mbeya wameota ndevu, wengine wana mpaka masharubu. Ukiona hivyo hao wanaopagawisha ni wakuja sio wa hapo hapo. Mademu wengi wazawa wa Mbeya hawajui kubembeleza ni ubabe tu...
Siku hizi hakuna mtu wa wapi wala wapi...Hakuna makabila yenye utaalamu wa mapenzi...Ilikuwa zamani hiyo..
Kila kabila sasa lishavumbuka na kujifunza kuhusu mapenzi.....Technolojia zimesaidia
hahaha Mamaafacebook hiv mtoa mada anajua alisemalo kweli?
Tanga ni noma kama huamini mumeo apate mchepuko binti awe wa Tanga utajuuuuuuuuuuuuuuuuta!!!
Haelew asemacho na hajapata mtanga huyu mbona.ataandika.urithi kabisa