Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,429
mma mmanyani...une ghwa ikisu kyosa
duuh!! Hata ww?
mma mmanyani...une ghwa ikisu kyosa
wewe watoto wa tanga hatari ukimaliza mippumbu yako inawekwa kwenye kisosi na maji ya vuguvugu ukitota hapo kitu unaendelea naona wewe hujui wewe aii
hawana lolote wa tanga...
Hata wa same,kibororon, sanya juu hata kule kwa saadara wanawazidi....
hawana lolote wa tanga...
Hata wa same,kibororon, sanya juu hata kule kwa saadara wanawazidi....
mbeya wanasemaga niangusage tuu sambi sako!
Inawezekana kuna mapenzi yanatengenezwa kiwandani siku hizi
Mbeya mapenzi kwa wanyakyusa, wasafwa, wamalila,wandali au wabungu wa chunya hakuna kitu hapo heshima nyingi mbele za watu za kuigiza lakin hamna kitu
Miaka 20 mbeya nawajua a to z lakini ukizubaa wamekuondoa /kifo kwao mwanamke ndo mtawala, usisahau umalaya kwa hawa hasa wanyakyusa kwa kuwatazama watoto mashaallah ila ndani mh wamejaa kila sehemu mpaka nanii, mwakaata, ughonile,
Kwa hiyo zikiwekwa kwenye kisosi kinaongezeka nini?
duuh!! Hata ww?
Ninao wawili mbeya watamu balaa, mmoja kanizalia mtoto mmoja wa kiume bonge la handsome, huyu mwingine anamimba ya mwezi sasa!
Nikikuangalia tu naona ngoma.ako haikeshi
Hahah mi nimefanyaje mkuu?
Naona ushafanywa jogoo wa kuazima sheikh...