BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 6,182
- 11,782
Kwa watumishi wa serikali waliowengi hawana morale na tija ya kufanya kazi.Serikali ingekua na uwezo wa kuchunguza mioyo ya watu hao hakika wangestaajabu.Wengi wanahudhuria na kuwepo ila spirit hakuna.Huko kwenu hali ikoje.Binafsi ile kauli ya ukitaka acha kazi kama mishahara mdogo haiwezi kunifanya nife moyo au kuacha kazi.Siasa haziwezi athiri maisha ya wengi kwa ukatili.
