1. Hivi mkuu unajua kuwa mipaka hii imeundwa baada ya mkutano wa Berlin wa 1885? Hivyo Ethiopia na Misri ya maelezo ya kibiblia haikuwa geographically exact to hii mipaka ya leo.
2. Tukisema ineletwa na wazungu, ni kwamba kabla yao tulikuwa tuna imani tofauti, mfano mizimu n.k. na ukizungumzia hizo nchi katika Biblia, hazikuwa zimezungumziwa kama machimbuko ya dini hii bali kama falme au ngome tu zilizokuwa referred to the story of Israel. They were just characters to the story. Haimaanishi kila kilichotajwa ni Ukristo. After all, Agano la kale ni specifically kati ya Mungu na watu wa Israel(wayahudi).
3. Jaribu kusoma Biblia hiyo hiyo unayoi-refer, halafu tafakari bila assumptions kwa kila kilichoandikwa, utaelewa tofauti ya mipango ya Agano jipya na la kale; Ukristo ulipoanzia, message yake, focus, lengo na maana yake kiujumla.
Hivi vitu havikutokea tu from nowhere au everywhere. Kuna mwanzo, mkakati na sababu. Open your eyes. Then think.