The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,410
Exactly.Ndio imeletwa na wazungu ila sio dini ya wazungu. Agano jipya imeleta habari njema kwa mataifa yote.
Labda sikukuelewa.
Exactly.Ndio imeletwa na wazungu ila sio dini ya wazungu. Agano jipya imeleta habari njema kwa mataifa yote.
Ndio imeletwa na wazungu ila sio dini ya wazungu. Agano jipya imeleta habari njema kwa mataifa yote.
kwahiyo Kuran na Bhagavad Gita sio habari njema kwa mataifa yote?
Wewe confidence ya kusema Biblia,tena Agano Jipya eti ndio Habari Njema kwa mataifa yote umeipata wapi?Nani kakwambia ndio kitabu cha kweli zaidi a vitabu vingine?
Nipe ushahidi hapa,with open mind bila kuegema mahala!
Kuran na Biblia nani aliye muiga mwenzake? Au nani ni wa kwanza? Au ni kwa vipi Biblia inaweza kuiga Kuran?
Wewe umeona nimetaja kuran tu?
Ulivyo myopic umeleta mjadala wa kuran na Biblia,Bhagavad Gita and other countless milions of supposedly vitabu "vitakatifu" jee?
Hebu mjadala wa Biblia na kuran tuuache,ni kama punje ya mchanga kwenye bahari,tujadili bahari!
Hao viumbe waliojanzana kwenye bahari unawala wote? Si huwa unachagua baadhi tu. Hasahasa ngisi na jodari penginepo.
Kutajwa si kigezo cha dini kuwa ni ya kutokea kwa wazungu..Kuna upotoshaji mkubwa sana kwamba ukristo ni dini ya wazungu. Huo sio ukweli.
Waafrika wa Misri na Ethiopia wametajwa mara nyingi zaidi kwenye biblia kuliko hata warumi ambao tunawaweka kwenye kundi la wazungu japo hilo linaweza pingwa vile vile tukiangalia zaidi historia na genetics za warumi hao.
Misri imetajwa mara 646
Ethiopia imetajwa mara 38
Warumi wametajwa mara 19
Italia imetajwa mara 5.
Hizo ni kwa mujibu wa mtandao wa kingjamesbibleonline.org
Kiufupi ni kwamba masimulizi ya biblia yamejikita Mashariki ya kati na Afrika japo ujumbe wake umelenga watu wa mataifa yote.
Paulo,hakuwa myahidi?WAYAHUDI WALIUKATAA
Muafrika kusini katuletea magari ya Toyota na Benz inamaana hayo magari ni ya kiafrika kusini?Hiyo ni hiistoria ambayo ni hao hao wazungu walituletea. Tunachojaribu kukiangalia hapa ni historia iliiyoachwa kwetu na mababu zetu walioshuhudia kwa macho yao. Ukristo uliletwa kwao/kwetu na wazungu.
Wala siyo wazungu piaKwanini manabii wote waliotajwa kwenye biblia ni waebrania na si hao waafrika mnaowazungumzia?
Mkuu hebu panua ufahamu kidogo.Na wewe unaamini huu uongo?
Yesu ambae ni cornerstone ya imani yenu, ambae huwezi kwenda kwa huyo baba bila kupitia kwake.
Sasa huyo yesu ni MZUNGU.Ni mweupe,ana nywele za kuteleza na pua ya kuchongoka.Kama ni mzungu,baba yake aliemzaa ni LAZIMA ni mzungu kama yeye mtoto.Hivyo Mungu baba ni mzungu.
Hiyo kutaja sehemu za nchi zinazokaliwa na watu weusi sasa hivi ni imaterial,hakuna cha maana,ni upuuzi.
Kwanza hatujui kama zamani za kale hizo haya maeneo yalikaliwa na modern day black man.
Yesu ni MZUNGU na baba yake ambae ni Mungu ni MZUNGU,full stop!
Kuna upotoshaji mkubwa sana kwamba ukristo ni dini ya wazungu. Huo sio ukweli.
Waafrika wa Misri na Ethiopia wametajwa mara nyingi zaidi kwenye biblia kuliko hata warumi ambao tunawaweka kwenye kundi la wazungu japo hilo linaweza pingwa vile vile tukiangalia zaidi historia na genetics za warumi hao.
Misri imetajwa mara 646
Ethiopia imetajwa mara 38
Warumi wametajwa mara 19
Italia imetajwa mara 5.
Hizo ni kwa mujibu wa mtandao wa kingjamesbibleonline.org
Kiufupi ni kwamba masimulizi ya biblia yamejikita Mashariki ya kati na Afrika japo ujumbe wake umelenga watu wa mataifa yote.
Yesu yupi aliyetofauti na UKRISTO,Ndy maana tunasema UKRISTO na YESU ni vitu tofauti
Ni maneno ya mkata tamaa aloshindwaHayo maneno ni rahisi sana kuyatamka ila ni ngumu sana kuthibitisha jinsi watu walivyoanzisha hizo dini.
Yap yap1. Hivi mkuu unajua kuwa mipaka hii imeundwa baada ya mkutano wa Berlin wa 1885? Hivyo Ethiopia na Misri ya maelezo ya kibiblia haikuwa geographically exact to hii mipaka ya leo.
2. Tukisema ineletwa na wazungu, ni kwamba kabla yao tulikuwa tuna imani tofauti, mfano mizimu n.k. na ukizungumzia hizo nchi katika Biblia, hazikuwa zimezungumziwa kama machimbuko ya dini hii bali kama falme au ngome tu zilizokuwa referred to the story of Israel. They were just characters to the story. Haimaanishi kila kilichotajwa ni Ukristo. After all, Agano la kale ni specifically kati ya Mungu na watu wa Israel(wayahudi).
3. Jaribu kusoma Biblia hiyo hiyo unayoi-refer, halafu tafakari bila assumptions kwa kila kilichoandikwa, utaelewa tofauti ya mipango ya Agano jipya na la kale; Ukristo ulipoanzia, message yake, focus, lengo na maana yake kiujumla.
Hivi vitu havikutokea tu from nowhere au everywhere. Kuna mwanzo, mkakati na sababu. Open your eyes. Then think.
Soma UZI vzr mkuu,,, biblia umewataja mara nyingi waethiopia na wa misri kuliko warumi.. Huko kunako makao makuu ya ukristo,, sasa utasema YESU wa wayahudi Ndy hyo wa kwnye BIBLIA?Yesu yupi aliyetofauti na UKRISTO,
yule yesu muhispania mcheza mpira sawa anaweza kuwa tofauti na UKRISTO lkn YESU KRISTO anakuwaje tofauti na Ukristo wakati jina lenyewe linakuhukumu,
Punguza kuamini pumba ulizokarilishwa za chuki hazikusaidii lolote ktk ufalme wa mwana wa ADAMU
Maelezo safi kabisa haya.Mkuu hebu panua ufahamu kidogo.
Hivi myahudi ni mzungu?
Tafuta asili zao utaona aibu kwa ulichoongea,tena aibu kubwa,
Muisraeli siyo mzungu kabisa,tena kabisa,
Lkn Kuna kitu hamkielewi,siku ya Ukristo kusimama na kutapanyika ilikuwa ni siku ya PENTEKOSTE
soma pale uone makabila na mataifa yalotajwa kuwepo pale na uone kutoka afrika yalikuwa mangapi,Libya,misri,kush,nk,
Maana yake dini ya uKristo ilianza kwa wote maana kila kabila lililokuwepo pale Kuna watu wakiamini na waliporudi makwao walisimulia matendo makuu ya Mungu na Kristo kupitia walichoona,hiyo ndo mwanzo wa uKristo,ni universal na ndo maana kanisa mama linaitwa Catholic means universal,fikra za kitumwa ndo zinatupumbaza,wapo wazungu na wahindi walifundishwa dini na waafrika,
Misri kilikuwepo chuo kikuu cha kwanza afrika na kilikuwa cha wakatoliki ambao kulikuwa wakufunzi waafrika waamini wasomi wa dini na watawa ambao walifundisha pale na miongoni mwa wafundishwa walikuwa wazungu maana kutokea pale walitumwa popote duniani kufundisha uKristo,
Mnafahamu mmoja wa mamajusi walomshuhudia mtoto Yesu alikuwa mwafrika?
Lakini mwisho noweni mbongo zenu,
Siyo kila mweupe ni mzungu,
Muisraeli siyo mzungu kabisa labda km uzungu mnautafsiri kwa rangi na nywele
Mfano wako wala hauendani sana na mada. Ila ninaheshimu maoni yako.Muafrika kusini katuletea magari ya Toyota na Benz inamaana hayo magari ni ya kiafrika kusini?
Panua ufahamu kidooooogo