ha ha aha ha kaone ushataman bas hapo mwenyewe wewe endelea kula tu misumar ya watu![]()
![]()
Ulijuajeee, hapo upate na kichachandu!!!
wewe subir wakianza kufunga milango ndio utajua umuhimu wake![]()
![]()
Simenti mmekataa na misumari pia!!
Siyo kweliWanawake wanatudumaza akili kweli yani ukiamka asubuhi unaanza fikiria leo nimwandalie buku 3 ya bando,hela za soseji soseji na baga,kilevi,apo ukitaka mzigo uandae pesa ya lodge kuja gheto hawatakagi eti hawafeel comfortable yani mapicha picha tu huwezi pata mtu akakwambia hata ununue kakiwanja ujenge wao kufuatiloa latest smartphones tu na misuko mipya ya nywele mwisho wa siku km unakaa nyumba kodi laki mwenyewe utatafuta chumba cha elfu30 sinza
hahahahah nimecheka balaa aisee huyu Malema sijui alifikiria niniHawawezi nichukia bwana, ukweli mchungu huu.
Seems u know much mkwe i think i shoud find u privately.Duuuh!! Ila mkwe wengine hata hawahitaji kuwahurumia hivyo maana hata wao hawajihurumii(speaking out of experience)
I see!!Kuingia katika siasa kwa Barack, ni pale alipoamua kugombea uState Senate wa Illinois, na aliamua kushindana na aliyekuwa akishikilia hicho kiti, mweusi na alikuwa maarufu. Waligombana na michelle juu ya uamuzi huo ila alilazimisha, akagaragazwa vibaya sana, na aliishiwa kifedha pia.
hahha na wanasema dua ya mdhulumiwa huwa hairudi,sasa huyo aliyekula rand ya Malema ajiandae na matokea ya hiyo sala yakeAlivyomalizia ndio nilicheka kweli, maana sio kwa sala hiyo!!
Kwahyo hapa ulikua unakula misumar au milango na madirsha?Hahaaaaa!! Utu uzima dawa mkwe, i once dated that kind of guy, nilinyooha mikono juu mwenyewe maana hajihurumii hata kidogo.