Sio kwa dongo hili!!

Sio kwa dongo hili!!

Wanawake wanatudumaza akili kweli yani ukiamka asubuhi unaanza fikiria leo nimwandalie buku 3 ya bando,hela za soseji soseji na baga,kilevi,apo ukitaka mzigo uandae pesa ya lodge kuja gheto hawatakagi eti hawafeel comfortable yani mapicha picha tu huwezi pata mtu akakwambia hata ununue kakiwanja ujenge wao kufuatiloa latest smartphones tu na misuko mipya ya nywele mwisho wa siku km unakaa nyumba kodi laki mwenyewe utatafuta chumba cha elfu30 sinza
Siyo kweli
Ujue mwenyewe umeamua ujinga huo
 
Furaha ya yangu ya kwanza ujumbe huu umeletwa humu na mwanamke.

Kingine, pizza eating bandits with no dreams lazima iwaingie hii ukiongeza na huo mfano.
 
wewe subir wakianza kufunga milango ndio utajua umuhimu wake
Duuuh!! Ila mkwe wengine hata hawahitaji kuwahurumia hivyo maana hata wao hawajihurumii(speaking out of experience)
 
Duuuh!! Ila mkwe wengine hata hawahitaji kuwahurumia hivyo maana hata wao hawajihurumii(speaking out of experience)
Seems u know much mkwe i think i shoud find u privately.
 
Kuingia katika siasa kwa Barack, ni pale alipoamua kugombea uState Senate wa Illinois, na aliamua kushindana na aliyekuwa akishikilia hicho kiti, mweusi na alikuwa maarufu. Waligombana na michelle juu ya uamuzi huo ila alilazimisha, akagaragazwa vibaya sana, na aliishiwa kifedha pia.
I see!!
Kwahiyo Obama mwenyewe was daring ndio maana akafika pale alipofika, kwahiyo uonyeshe nia kwanza then mwenzio akusaidie. Lakini pia unaweza ona potential ya mtu ukamsaidia kuifuata.
 
Seems u know much mkwe i think i shoud find u privately.
Hahaaaaa!! Utu uzima dawa mkwe, i once dated that kind of guy, nilinyoosha mikono juu mwenyewe maana hajihurumii hata kidogo.
 
Hahaaaaa!! Utu uzima dawa mkwe, i once dated that kind of guy, nilinyooha mikono juu mwenyewe maana hajihurumii hata kidogo.
Kwahyo hapa ulikua unakula misumar au milango na madirsha?
Thats good to heear naona busara zako kama old wine the more the age the better the taste.
 
hahha na wanasema dua ya mdhulumiwa huwa hairudi,sasa huyo aliyekula rand ya Malema ajiandae na matokea ya hiyo sala yake

Yaani ukiiiona hiyo sala utatamani urudishe rand za watu!!
 
Back
Top Bottom