Sio kwa dongo hili!!

Sio kwa dongo hili!!

ha ha ha ha malema katisha nan anataka kuliwa mansion yake duuh povu kwel sio la nchii hili la kwa madiba
Yaani acha kabisa, kaujumbe kanachomaaa!
 
Nimkosoe huyo mwandishi, Michelle hakumshawishi au kumsukuma mume wake katika siasa, na ni kati ya watu waliofikiri Barack analeta mzaha.
 
Nimkosoe huyo mwandishi, Michelle hakumshawishi au kumsukuma mume wake katika siasa, na ni kati ya watu waliofikiri Barack analeta mzaha.
Hebu fafanua zaidi mkuu maana tunaaminishwa kuwa bila Michelle Obama asingekuwa raisi.
 
Hebu fafanua zaidi mkuu maana tunaaminishwa kuwa bila Michelle Obama asingekuwa raisi.
Kuingia katika siasa kwa Barack, ni pale alipoamua kugombea uState Senate wa Illinois, na aliamua kushindana na aliyekuwa akishikilia hicho kiti, mweusi na alikuwa maarufu. Waligombana na michelle juu ya uamuzi huo ila alilazimisha, akagaragazwa vibaya sana, na aliishiwa kifedha pia.
 
Mie hakinihusu maana kati ya vitu vilinishinda kula ni hicho.
ha ha ha ha kwahyo mkwe wewe level zako sio za mfuko wa cemnt ni za bundle moja ya bati enheee?
 
Safi sana! ujumbe umekaa mahali pake.

Maghorofa mengi mjini yameliwa na mchwa.
 
Back
Top Bottom