Single mums and dads come this way

Inategemea huyo mlezi aliye na mtoto/watoto yuko na hali gani kimaisha. Endapo mzazi pekee hajimudu na upande wa pili ungeweza kuwa na msaada basi mambo yatakuwa magumu, lakini kama mzazi huyo atakuwa na hali nzuri kimaisha na atakuwa commited kwa watoto wake basi maisha yanakuwa rahisi. Uzoefu wangu unanambia kwamba single mum anauwezo wa kutunza watoto vizuri kuliko single dad - hasa watoto wakiwa wadogo kwa kuwa mama ni mlezi wa moja kwa moja kwani baba atahitaji msaidizi na hapo matatizo yanaweza kutokea. Anyway si jambo la kujuta kuwa single mum/dad kwa kuwa wako wazazi wanaishi pamoja lakini malezi ya watoto yanawashinda, wakati wale wanaolea pekee wamefanikiwa kuwalea watoto wao vizuri kwa malezi mema na kuwapatia kila kinachohitajika. All in all malezi ya watoto yanahitaji wazazi wote wawili walio makini na wenye kujali familia. I am a single mum and I have not regretted for being one. Nina watoto ambao wanaishi vizuri kuliko baadhi ya watoto wanaolelewa na wazazi wawili. I thank God for that.
Malezi ya mzazi mmoja Mungu atusaidie sana kama mi ninao 3 baba yao ashatangulia mbele ya haki. Kuna wakati inaniumiza sana ingawa kabla yakufariki tushakuwa tumetengana. Tukubali tukatae nikujidanhanya na kuonyesha tu majasiri ila mambo ni magumu
 
i like ua enthusiasm and dare i like it
huku watu wataanza kukunanga oh umemnyima mtoto haki yake ya msingi yakumjua baba au baba kumjua mtoto .ila that thing hiden ambayo hujawaambia hawataki kujua .emagine umegundua una ujauzito wake at the same time umegundua ni mume wa mtu ana na familia yake na mkewe ,na blabla alikuficha .sasa usikimbie ,maisha yangu hayajaishia hapa hapana kuteseka ili mtoto awe na baba no my life is my life and his /her is his life whether he /she accept or not that the life chosen .
 
Nivea aliandika Kongosho ni tofauti na unachosema. Kilichongumzwa na baba kunyima haki ya kujua kama ana mtoto.....angeambiwa kisha akakataa majukumu ni ishu nyingine!!!!

 
Last edited by a moderator:

Interesting.................... by the Boss
 
kama huyo mama/baba amekufa au hajulikani kabisa is ua statements still valid????think outside the box
 
aisee Kongosho kuna maisha ambayo nakuhakikishia kama hujapitia huwezi yaelewa kama hili la baba/mama aliyemkataa mtoto kumwona mwanae nakushauri yaache tu hao mambo unatia watu hasira bure hii dunia haijai kwenye kiganja huyo baba/mama unaemtetea unakuta ahitaji wala kumwona huyo mtoto hiyo haki unayoizungumzia sio formal ndugu yangu.
 
Last edited by a moderator:

I concur with you madam Nivea....
 
Last edited by a moderator:
Sasa Nivea hutaki kuelewa ama??
Nimesema mtoto hatakua na amani..yes! Kama amekufa au vyovyote, basi inakua wajibu wa mzazi aliyekuwepo ama mlezi kumjulisha mtoto fate ya mzazi/wazazi wake....ila sio kumficha.

Statement yangu ilikua inazungumzia mtoto alinyimwa haki na kumjua baba yake!!

kama huyo mama/baba amekufa au hajulikani kabisa is ua statements still valid????think outside the box
 
Wabongo wanavyojua kukataa mimba .halaf baadae mtoto akikua anajileta anataka mtoto minakutoa mbio na sururu
 
Mi najivunia sana kulea Watoto wangu bila hao matapeli wa mapenzi ..
 
hawa watu waache tu wanafikiri dunia ni kijijini kwao tu hawa ,alafu mtu katika maisha yake hajakutana na maswahiba haya au hajadangwanywa aliwin huyo huyo mwanaume na akamuoa hawezi jua mambo haya
 
msiifikirie dunia kama kiganja cha mkono wako au kijiji au mtaa tu unaoishi unaweza jua taarifa ya kila nyumba na kinachoendelea kuna mambo mengi sana.sitaki kusema hapa lolote maana its
hivi mpaka mada imefikia hapa umesikia mbaba anasema amelea watoto mwenyewe pg 23 sasa
jiulize kwanini???
 
i concur with you madam nivea....
mtu mwenye wembe mkononi anajua akifanyaje unamkata ila ambaye hajawahi shika hata wembe atakuambia ni haki mama kumpeleka mtoto amjue baba yake ,wanawake tumefanya kama hatuna mioyo inayoumia vile huyo mwanaume labda kakuacha na mtoto ,kakataa mimba umezaa umemsogeza mtoto kwa tabu zote yeye kaja kuoa tena ana ndoa yake na furaha tele wewe unakwenda na katoto kako pale kujikombeleza atakuambia unamharibia ndoa yake,yule mtoto akiwaona wenzie na baba na mama ataumia zaidi bora akae na mama yake ajue mbele ya safari unampeleka kumwona anasema nashukuru bassii hamtunzi wala nini .yaani watu wengine bwana wanawaona wanaume kama mungu wa duniani vile while kwangu ni heri hawana thamani yyte bora mkono wangu wa kushoto nnaotumia kuchambia
 
Duu! Mungu akutie nguvu.
 
Speaking with so much pain as if it's a grief. Mwisho wa siku maisha yanasonga. Nadhani kama mtu unakuwa na kisirani hivyo, hata mtoto hatakuwa na raha, japo utajitahidi kumlea kwa nguvu zote...! Tusamehe kwa sababu wote tumekosea...!
 
Wabongo wanavyojua kukataa mimba .halaf baadae mtoto akikua anajileta anataka mtoto minakutoa mbio na sururu

hahaaaa!!!
hawajui namna ya malezi yalivyo magumu
yale yale leo daimond katusua mzee anajipeleke
tupa kuleeeee
 

we acha tu ndo dunia ilivyo
 
Hasira tena? Emotions zikiwa ON, reasoning inakuwa OFF.

Experience zetu mbaya za maisha tusiwarithishe watoto wetu. You had time to write your story, let your kids write their own stories too.

Narudia, hakuna mwenye haki ya kumzuia mtoto kufahamu mzazi wake wa asili, awe mama ama baba.

Ni wapi nimetetea mzazi kukataa kulea mwanae?
Na mtu atatunzaje mtoto wakati hajui existance yake?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…