Single mothers, ni nini chanzo?

Naam hili ndo tatizo, mwanamke unajua Leo ni siku zako za hatari alafu unakaa kimya unamtegeshea mtu huku ukijua hauna uwezo wa kulea. Alafu baadae unalaumu ovyo ovyo kana kwamba ulibakwa. Dawa ni kuachwa tu hamna namna
Hapa wote watakuwa na makosa ..... a) mtegeshaji kwa kufanya vile pasi na kujua matokeo ya hicho akifanyacho kama yatakuwa "positive" ama "negative"
..... b) mtegwaji kwa kuwa "selfish" mana hata kama hujui kama wategwa why usiweke tahadhali kama bado hujawa tayari kuitwa "baba?"
 
Makunga wasikupe shida hao tulishawazoea coz wao family zao dada zao mama zao wakubwa kwa wadogo mashangazi zao wote wameolewa kwa ndoa takatifu so Lea mwanao coz hawaju ulimpataje huyo mtoto
 
Exactly dear
 
Pole dia ndio changamoto za dunia mengine yanatokea katika maisha yetu ili tujifunze mm alijitambulisha hadi home alipopotelea sasa nikasema Mungu simama na mm now ana miaka 7na nimembadilisha majina anatumia yangu ukikataa mimba nalea sasa hivi vivulana visipende kuropoka maneno ya hovyo
 
Kuishi na mwanamke inahtajika akili kubwa sana; wanakera na wanaboa sana. Ni kumfunua na kumwacha tu akizingua; na ndo hali hii wanajikuta wapo single mamas. Wajinga mno! wanawaza hata visivyowezekana.
Hayo unayowaombea jua pia dada zako wanafanyiwa the same
 
Me naomba kuwauliza kuna single mom yeyote alishakuja kuomba msaada wowote kwenu either kumsomeshea mwanaye kama sivyo ninyi kinachowauma hasa ni nn?
Mamii hii thread sikuianzisha kwa kusudio la kumbeza "singo mum" yeyote LA HASHA ..... bali kuruhusu mawazo mbalimbali ambayo yaweza kuwa msaada kwa mtu flani either kuepuka masahibu yawapatayo wale "walotelekezwa" au kuwa "strong" na kusonga mbele ....
Fuatilia posts zangu ....

"Critical ideas" katika maisha ni "unavoidable" .... unachotakiwa kufanya ni kuwa FIRM kwa unachokiamin
 

ukiona koment ya hasra hapa toka kwa mwanamke/mdada hapa ujue huyo ameliwa..ni single mother..huwa wana hasra kuliko mbwa koko.
 
Naungana na ww tatizo vivulana na si wanaume wanachangia as if single mom alitaka mwenyewe kuwa hivyo alivyo hujui alipitia misukosuko gani hadi kuwa alivyo so kinachotakiwa ni heshima na si dharau coz hawajawahi kuwaomba msaada
 
Ht mm wa kwangu anatumia majina ya kwetu na ubini wa kwetu
 
hivi babrah hassan wa pb ya clouds fm naye ni single mother? maana sielewei wakina masudi kipanya wanavyoongea mule asubuhi.. ila nimemuelewa.
 
ebu single mother unaeishi Kilimanjaro au Dodoma uje pm tuongee zaidi maana natamani kupiga mastory na nyie nitapata chakujifunza kutoka kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…