Teh teh, mwingine kama mimi coz mimi nimekuwa wa patience tayariNoo...asikupate wewe...
Ampate mwengine kama wewe

Pole mkuu labda huko mbeleni waweza badir msimamo na ukavuta "jiko" .... they say "time heals all the wounds"Kama Mimi ni single dad
Japo ninafursa ya kuoa lkn hapana
Labda niliumbwa kuwa single,
Mkuu yalonikuta acha nilee watoto wangu,
Nyie nshawachoka bana wazuri dk5 wabaya dak10 wayiiiVale bado yupo yupo kwanza![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio bhana...Teh teh, mwingine kama mimi coz mimi nimekuwa wa patience tayari![]()

Ni kweli kabisa Mkuu.Hawa watu wamejaa visa vya makusudi,nyodo,staha hawana,macho yao juu mtaani,washari,wasiopenda kubeba majukumu yao,wanaopenda mashindano na la zaidi wamejaa gubu,
MUNGU atusamehe sana maana inabidi tuseme sababu ni hawa hawa tuloletewa km wasaidizi
Mkuu naona wataka kuji-regester katoka ulimwengu wa single daddies .... WHY? only curiosity
not in it yet.. well.. nimeona mengi kwenye mahusiano ya wengine na ya kwangu pia and thinking about it.. I'd rather have a stubborn kid than a stubborn wife
Sana...![]()
![]()
hiki kiinglish kimeenda shule

Makanya hawajamboNdio bhana...
Mti avweche huvwu![]()
![]()
![]()
Wazima wa afya tele.Makanya hawajambo
Eeeee...kule kulikoungua jembe mpini ukasalimika.Kumbe Pati atoka nchi ya kaskazini eee
Wote nyie ni tatizo dunianiUOTE]
Kama wanawake wote tungekua hivi unavyosema wewe baba yako asingemuoa mama yako.
Naam hili ndo tatizo, mwanamke unajua Leo ni siku zako za hatari alafu unakaa kimya unamtegeshea mtu huku ukijua hauna uwezo wa kulea. Alafu baadae unalaumu ovyo ovyo kana kwamba ulibakwa. Dawa ni kuachwa tu hamna namnaImeonekana hili la kutegeshea ni tatizo kubwa
Pole sana aisee,kwa yote hayo bado ubini umemuandika wa huyo baba mzaz ambaye hamjal mwanae duuh una moyo wa kipekee mwayaWangu hakukataa mimba ila alitaka niitoe eti sijajipanga kimaisha na yeye biashara haimwendei vizuri nikakataa. Basi akanichunia ila hela ya kutoa alituma. Toka atume hela hakuwahi kuuliza kama nimetoa sijatoa au nilivyoenda kutoa nilikufa wala hakutaka kujua. Imefika miezi tisa nikamwambia ntajifungua siku yoyote na kwa kuwa yeye ndo baba wa mtoto basi last name ya mtoto ni la kwake. Ila hata kusema hela hii ikusaidie kwenye uzazi hakujaribu. Nimejifungua akaja akanipa hela kidogo akasema atakua ananipa matumizi kwa mwezi. Toka aseme hivyo hajatuma hata 100 na mbaya zaidi hata kwenye simu hapatikani na hayupo Tz. Mtoto ana miezi minne now baba hayupo.