Single mothers, ni nini chanzo?

Single mothers, ni nini chanzo?

Iwe mwanamke analinga, mwanaharakati, kuwa na Elimu, dharau na hata kiburi. Bado haiondoi sababu ya wote kutokuhusika. Tambua wewe ndie umemfuata kwa mara ya kwanza. Tambua wewe ndie hujatumia condom wakati unamuingilia. Kumbuka wakati akikukataa ulikuwa ukimlalamikia mpaka unalia. Huruma zao zimewapa taswira mbaya na majina mabaya pamoja na kudharaulika kwenye Jamii inayowazunguka pamoja na wanaume ambao ndio chanzo.
PUMZIKA KWA AMANI NEEMA WANGU BADO MANENO YAKO YATAISHI NAMI
 
Iwe mwanamke analinga, mwanaharakati, kuwa na Elimu, dharau na hata kiburi. Bado haiondoi sababu ya wote kutokuhusika. Tambua wewe ndie umemfuata kwa mara ya kwanza. Tambua wewe ndie hujatumia condom wakati unamuingilia. Kumbuka wakati akikukataa ulikuwa ukimlalamikia mpaka unalia. Huruma zao zimewapa taswira mbaya na majina mabaya pamoja na kudharaulika kwenye Jamii inayowazunguka pamoja na wanaume ambao ndio chanzo.
PUMZIKA KWA AMANI NEEMA WANGU BADO MANENO YAKO YATAISHI NAMI
Umeongea kwa kujibu kimashindano na kwa kuvutia upande wako,
Hv haujui wapo wanawake wanaowafuata na kuwatafuta wanaume kwa lengo la kuzaa tu,sababu za hili ni nyingi,na zinatofautiana kati ya MTU na mtu
 
there are different reasons zinazopelekea hali hiyo.. Maybe the father of the child is dead, maybe locked up in prison, maybe father n mother realized they are not met to be so they separated but they still provide for the child..
Wise ting'
Bless up,
Sababu ni nyingi sana,za kujisababishia na za kusababishiwa,zinazoonekana na zisizoonekana,kwa kupenda na kwa kutopenda,zilizo juu ya uwezo wetu ana zilizo ndani ya uwezo wetu wa kuamua
 
kwani wanapenda kuwa singe mother ,wapo waliotendwa, wapo waliofiwa na wenza wao, wapo waliobakwa, wapo waliokosa mume wa kuishi naye nk . hakuna mtu anayependa kuwa mpweke hujui magumu waliyopitia msipinde kuwasema.
 
Sasa hili linahusu nini!! Kumbuka una dada zako na mashangazi etc! Ubichi ukavu yanahusu nini!!!
Huyo MTU anaakili ya jongoo,
Anaongea ujinga kwenye jambo makini na la kuumiza,
Achana nae
 
Vikishushwa vifungu hapa nadhan vitakuwa msaada kwa yule alotekekezwa kusonga mbele ... but vyaweza pia saidia kupunguza irresponsibility ya hao wafanyao mchezo wa EAT and RUN
Pa kuanzia hata kwa asojua sheria ni ustawi wa jamii,ilimradi uwe na vigezo na usiunde kesi ya kuunga unga iwe ni kweli
 
In my life nimeishi na mama tu alikuwa single mother baba alitukimbia na kuanzisha familia nyingine huko mkoani arusha,
My mum had to work hard and fight for us watoto wake tusome tuishi vizuri i thanks god mambo yameenda vizuri mpaka nimefikia hatua ya kujielewa na kuishi mbali na mama.

ILLUMINATI ndio mwisho wa matatizo ur welcome ladies & gentlemens.....
 
Kuishi na mwanamke inahtajika akili kubwa sana; wanakera na wanaboa sana. Ni kumfunua na kumwacha tu akizingua; na ndo hali hii wanajikuta wapo single mamas. Wajinga mno! wanawaza hata visivyowezekana.
Na akili inayosemwa hapa si ile ya madigree ya vyeti,
Hapa ni akili ya kupuuzia,kujifanya mjinga,kukubali kuwa chini ya mke maana kila mwanamke SAA hizi anawaza kuwa juu ya mwanaume,
 
Wise ting'
Bless up,
Sababu ni nyingi sana,za kujisababishia na za kusababishiwa,zinazoonekana na zisizoonekana,kwa kupenda na kwa kutopenda,zilizo juu ya uwezo wetu ana zilizo ndani ya uwezo wetu wa kuamua
Very true mkuu.. Mada hii ikija mezani its always men to be blamed inasahaulika kuna single dads pia, kwani nao walipenda kua hivyo? sh*t happens.. and most of the times no one should be blamed its just God's doing.. Stop shouting and take care of ur child
 
We umemaliza kila kitu. Kuna demu mmoja kabila sitaji (lile linaloongoza kwa masingle mother) niliachana nae tukiwa mwaka wa tatu chuoni..Sasa ivi ni single mother wa watoto wawili sababu ya kiburi,kujiona alpha,amesoma ,dharau ,jeuri..sasa ivi pombe kali na stress vina undugu nae
Mkuu umenichekesha sana ,eti anatoka kabila linaloongoza kwa masingle mother! Mkuu hadi research mlishafanya ? Mkuu kama vp uniambie na mm nilijue niwe na precaution maana bado sijaoa
 
Very true mkuu.. Mada hii ikija mezani its always men to be blamed inasahaulika kuna single dads pia, kwani nao walipenda kua hivyo? sh*t happens.. and most of the times no one should be blamed its just God's doing.. Stop shouting and take care of ur child
Kama Mimi ni single dad
Japo ninafursa ya kuoa lkn hapana
Labda niliumbwa kuwa single,
Mkuu yalonikuta acha nilee watoto wangu,
 
Chanzo kikuu cha single mothers ni
-Kuchagua sana
-Kuringa sana na kujiona wana hadhi ya juu kulinganisha na wanaowafuata kwa ajili ya kuoa
-Kupenda vya bure yaan kuhongwa na kuachiwa mimba na waume za watu
-Kutelekezwa na wanaume wasio waaminifu
-Tabia mbovu/ mbaya za baadhi ya wanaume zinazopelekea wanawake kuamua kuachana nao kwa mf ulevi wa kupindukia, michepuko na kutokutoa matunzo kwa familia
-kuwa na tabia ya kutegesha mimba kwa wanaume bila makubaliano ili baadae wawabae ili waolewe hawajui kumbe ndio wanajichimbia kaburi
-uvivu, uchafu, ukicheche na ushirikina pia vinawenza kuwa vyanzo kwa namma moja ama nyingine
- kushindwa kujua mwanaume sahihi mwenye nia ya kuoa kweli mwishowe wanatapeliwa na wahuni kwamba wataolewa baada ya mimba ME anapotea
Your right bro hii kitu ni combination ya sababu nyingi. Kila single mother lazima atakuwa anafall kwenye category yake. Hakuna sababu moja tu inayojitosheleza kuwa ndio sababu pekee kwa kila single mother.
 
Kama Mimi ni single dad
Japo ninafursa ya kuoa lkn hapana
Labda niliumbwa kuwa single,
Mkuu yalonikuta acha nilee watoto wangu,
Pole mkuu.. honestly I'm looking forward to that kind of life.. One or two kids will be my world.. Ndoa? big NO
 
Your right bro hii kitu ni combination ya sababu nyingi. Kila single mother lazima atakuwa anafall kwenye category yake. Hakuna sababu moja tu inayojitosheleza kuwa ndio sababu pekee kwa kila single mother.
Exactly
 
Vipi wewe haujawahi kumwaga binti ukaenda kwa mwingine?

Ila usifurahie majanga ya mwenzako.
Siyo kuwa nafurahia mkuu nimemtendea mengi, sana na sijawahi kuacha hata siku moja ila naachwa, na nikiachwa mwisho wake lazma uwe mbaya
 
Back
Top Bottom