Single mothers, ni nini chanzo?

Single mothers, ni nini chanzo?

Naam hili ndo tatizo, mwanamke unajua Leo ni siku zako za hatari alafu unakaa kimya unamtegeshea mtu huku ukijua hauna uwezo wa kulea. Alafu baadae unalaumu ovyo ovyo kana kwamba ulibakwa. Dawa ni kuachwa tu hamna namna
Hapa wote watakuwa na makosa ..... a) mtegeshaji kwa kufanya vile pasi na kujua matokeo ya hicho akifanyacho kama yatakuwa "positive" ama "negative"
..... b) mtegwaji kwa kuwa "selfish" mana hata kama hujui kama wategwa why usiweke tahadhali kama bado hujawa tayari kuitwa "baba?"
 
Mm wananiboa sana, of course ni single mom lkn sipendi kbs hz topic maana ht nilivyompata huyu mtoto sivyo km wanavyocomments maujinga humu.
Hatupumui, kutwa kusemwa as if tulishawahi kulia shida humu na kuomba msaada. Yaan humu jf wanaume ni wachache wengi ni wasengenyaji na waongo tu wasio kaa kufanya yao.
Makunga wasikupe shida hao tulishawazoea coz wao family zao dada zao mama zao wakubwa kwa wadogo mashangazi zao wote wameolewa kwa ndoa takatifu so Lea mwanao coz hawaju ulimpataje huyo mtoto
 
Mie sio single mom ila hakuna kitu kinanikera kama hiki, maybe kuna single mom aliwahi kufungua uzi akiomba msaada humu wa kulea mtoto!!

Ndio hawa hawa akina baba diamond, wanajikuta sperm donors alafu baadae anaanza kulia lia kwenye media!!

No wonder wanawake siku hizi wanajionelea bora wazae tu kuliko kuwa na haya mafurushi.
Exactly dear
 
Yaan, mie wangu alikataa mimba na akasema nisimjui tena. Nikapiga moyo konde nikasimama imara nikaamua kulea. Baada ya kujifungua mtoto copy right baba ake, siku moja akaoneshwa mtoto na rafiki yangu hapo akiwa na miaka miwili. Ndio akajileta, Aiseeee nilimwambia umekosea njia. Fanya yako, yangu hayakuhusu.
Maana wakati ananiacha aliniacha kwa jeuri sana na maneno kibao ya kashfa.
Pole dia ndio changamoto za dunia mengine yanatokea katika maisha yetu ili tujifunze mm alijitambulisha hadi home alipopotelea sasa nikasema Mungu simama na mm now ana miaka 7na nimembadilisha majina anatumia yangu ukikataa mimba nalea sasa hivi vivulana visipende kuropoka maneno ya hovyo
 
Kuishi na mwanamke inahtajika akili kubwa sana; wanakera na wanaboa sana. Ni kumfunua na kumwacha tu akizingua; na ndo hali hii wanajikuta wapo single mamas. Wajinga mno! wanawaza hata visivyowezekana.
Hayo unayowaombea jua pia dada zako wanafanyiwa the same
 
Me naomba kuwauliza kuna single mom yeyote alishakuja kuomba msaada wowote kwenu either kumsomeshea mwanaye kama sivyo ninyi kinachowauma hasa ni nn?
Mamii hii thread sikuianzisha kwa kusudio la kumbeza "singo mum" yeyote LA HASHA ..... bali kuruhusu mawazo mbalimbali ambayo yaweza kuwa msaada kwa mtu flani either kuepuka masahibu yawapatayo wale "walotelekezwa" au kuwa "strong" na kusonga mbele ....
Fuatilia posts zangu ....

"Critical ideas" katika maisha ni "unavoidable" .... unachotakiwa kufanya ni kuwa FIRM kwa unachokiamin
 
Wasalaam wana jukwaa,

Posts na majadiliano mbalimbali juu ya hawa ndugu zetu waitwao "single mothers" katika mitandao ya kijamii "social networks" zimeonekana kuwa nyingi nowadays ....

Kando na "discussions" hizo huko mitandaoni hata huku katika maisha halisi "single mothers" pia waonekana kuongezeka afu wengi wao waonesha kuinjoi kweli life yao ...

Swali: Ni nini kisababishi (source) kubwa ya uwepo wa familia hizi?

ukiona koment ya hasra hapa toka kwa mwanamke/mdada hapa ujue huyo ameliwa..ni single mother..huwa wana hasra kuliko mbwa koko.
 
Mamii hii thread sikuianzisha kwa kusudio la kumbeza "singo mum" yeyote LA HASHA ..... bali kuruhusu mawazo mbalimbali ambayo yaweza kuwa msaada kwa mtu flani either kuepuka masahibu yawapatayo wale "walotelekezwa" au kuwa "strong" na kusonga mbele ....
Fuatilia posts zangu ....

"Critical ideas" katika maisha ni "unavoidable" .... unachotakiwa kufanya ni kuwa FIRM kwa unachokiamin
Naungana na ww tatizo vivulana na si wanaume wanachangia as if single mom alitaka mwenyewe kuwa hivyo alivyo hujui alipitia misukosuko gani hadi kuwa alivyo so kinachotakiwa ni heshima na si dharau coz hawajawahi kuwaomba msaada
 
Pole dia ndio changamoto za dunia mengine yanatokea katika maisha yetu ili tujifunze mm alijitambulisha hadi home alipopotelea sasa nikasema Mungu simama na mm now ana miaka 7na nimembadilisha majina anatumia yangu ukikataa mimba nalea sasa hivi vivulana visipende kuropoka maneno ya hovyo
Ht mm wa kwangu anatumia majina ya kwetu na ubini wa kwetu
 
Wasalaam wana jukwaa,

Posts na majadiliano mbalimbali juu ya hawa ndugu zetu waitwao "single mothers" katika mitandao ya kijamii "social networks" zimeonekana kuwa nyingi nowadays ....

Kando na "discussions" hizo huko mitandaoni hata huku katika maisha halisi "single mothers" pia waonekana kuongezeka afu wengi wao waonesha kuinjoi kweli life yao ...

Swali: Ni nini kisababishi (source) kubwa ya uwepo wa familia hizi?
hivi babrah hassan wa pb ya clouds fm naye ni single mother? maana sielewei wakina masudi kipanya wanavyoongea mule asubuhi.. ila nimemuelewa.
 
ebu single mother unaeishi Kilimanjaro au Dodoma uje pm tuongee zaidi maana natamani kupiga mastory na nyie nitapata chakujifunza kutoka kwenu
 
Back
Top Bottom