mwanamke yeyote anazijua dalili za yai lililokua tayari kuna viashiria vinamfanya aisi yupo kwenye danger date, we inaelekea hujaenda Jando mambo yote mnafundishwa mnapowekwa ndani na mabibi zenu ila wanawake wa siku hizi mnakula sana chips yai, chemical drinks, peds feki nk na kuaribu mfumo wa reproduction wacha tuwatie mimba tu na kuwakimbia Ulimbukeni wenu ndio uaowaponzaWewe nani kakuambia tarehe hatarishi ziko constant kama pie? Na wewe ulimbukeni wako wa kutotaka kutumia condom ndo unakufanya umpe mimba mwanamke usie na malengo nae
mwanamke yeyote anazijua dalili za yai lililokua tayari kuna viashiria vinamfanya aisi yupo kwenye danger date, we inaelekea hujaenda Jando mambo yote mnafundishwa mnapowekwa ndani na mabibi zenu ila wanawake wa siku hizi mnakula sana chips yai, chemical drinks, peds feki nk na kuaribu mfumo wa reproduction wacha tuwatie mimba tu na kuwakimbia Ulimbukeni wenu ndio uaowaponza
tatizo mkuu wakikuona unamaisha mazuri halafu unapotezea suala la ndoa wanategesha ili apate kichochezi cha kuwa nae hapo ndipo wanapoliaImeonekana hili la kutegeshea ni tatizo kubwa
We umemaliza kila kitu. Kuna demu mmoja kabila sitaji (lile linaloongoza kwa masingle mother) niliachana nae tukiwa mwaka wa tatu chuoni..Sasa ivi ni single mother wa watoto wawili sababu ya kiburi,kujiona alpha,amesoma ,dharau ,jeuri..sasa ivi pombe kali na stress vina undugu nae
anasaidiwaje huyo?wakati yai linapokua limepevuka kuna dalili km kutokwa na ute kwenye Papuchi, kusikia hamu ya kut**bwa nk mnajua wenyeweMkuu ukitaka kuingia period kuna dalili gani?
tatizo mkuu wakikuona unamaisha mazuri halafu unapotezea suala la ndoa wanategesha ili apate kichochezi cha kuwa nae hapo ndipo wanapolia
Duh. Hii nayo kali ya kufungia mwaka.Kumbe usingle mother una hadi kabila!!!
Aiseee!
Yaweza kuwa wapo but informations juu yao zikawa "handled with care" cause they're delicate onesKwakuwa analea akiwa haishi na baba wa mtoto, ila mtoto ana baba yake na mama yake.
Hivi hakuna single dads? Maana naona mmewashupalia single moms tu.

mkuu ni kabila gani hilo?We umemaliza kila kitu. Kuna demu mmoja kabila sitaji (lile linaloongoza kwa masingle mother) niliachana nae tukiwa mwaka wa tatu chuoni..Sasa ivi ni single mother wa watoto wawili sababu ya kiburi,kujiona alpha,amesoma ,dharau ,jeuri..sasa ivi pombe kali na stress vina undugu nae
wasichana wakikuona una maisha mazuri wanajileta wenyewe ukiwa huna mpango nae hapo ndipo wanapofeli Badilikeni ficheni Nyuchi zenu mpaka umpate mr. rightUkiwa na maisha mazuri usichezee wasichana,sio midoli hio,wana hisia kama wewe,ukishafika umri wa kuoa,oa uanzishe familia,sio kuruka hapa na pale,ukiruka kubali matokeo.
POLE SANAChanzo kikuu ni wanaume. Wanaume mmezidi uongo jamani. Mi sikuwahi kuwaza kuja kuwa single mom ila mwanaume nilie nae amenifanya kuwa hivi, kwanza wanaume wengi waongo. Mtu ana mke ila akija kwako anakwambia yupo single na story kibao.
Pili wanaume wengi wa siku hizi hawapendi majukumu. Mtu akishaona umeconcieve anakushawishi ukatoe ukikataa anakuacha unabaki unalea tumbo na mtoto peke yako.
Wanaume tuoneeni huruma tumechoka kutoa mimba, kama unajua huna mpango wa kuwa kwenye maisha ya mtu ni bora umuache tu kuliko ukae akipata mimba ndo umkimbie mnatuacha tunaatabika na manyanyaso ya usingle mom.
Nilishasema sio mguu wanguHuo mguu huo hauwezi kamwe kuwa wa ....