Single mothers, ni nini chanzo?

Single mothers, ni nini chanzo?

its true mkuu,

Na tena sio wote wana regular period,wengine hawajui siku za hatari kwa sababu mizunguko yao inabadilika badilika(irregular periods)

Nadhani wote ,wanaume na wanawake tujifunze kwa hili,mambo mengine hayaepukiki na yakitokea wote wanaume na wanawake tuwe responsible.

Tatizo ni kwamba wanaume wengine hawaelewagi hivyo viti vya calendar kama huwa vinazingua. Wao wakishaloeka mimba ikaingia akili inamtuma ulimtegeshea kumbe hata mimi sikupenda kubeba ujauzito kabla ya ndoa.
Tatizo likishatokea la kutokea wenzetu wanaume wanatukimbia wanatuacha tuhangaike wenyewe.
 
Mm wananiboa sana, of course ni single mom lkn sipendi kbs hz topic maana ht nilivyompata huyu mtoto sivyo km wanavyocomments maujinga humu.
Hatupumui, kutwa kusemwa as if tulishawahi kulia shida humu na kuomba msaada. Yaan humu jf wanaume ni wachache wengi ni wasengenyaji na waongo tu wasio kaa kufanya yao.
Mie sio single mom ila hakuna kitu kinanikera kama hiki, maybe kuna single mom aliwahi kufungua uzi akiomba msaada humu wa kulea mtoto!!

Ndio hawa hawa akina baba diamond, wanajikuta sperm donors alafu baadae anaanza kulia lia kwenye media!!

No wonder wanawake siku hizi wanajionelea bora wazae tu kuliko kuwa na haya mafurushi.
 
Barbra kaungana na jamaa hapo juu kuwa wanaume ndo chanzo ....

Je nawe pia ni among the "single mums?"
Sio single mother Mimi ila kuna watu wa karibu tu najua anakua na mwanaume na wanamipango kabisa mizuri mwishowe kajikuta mjamzito halafu baadae anaanza kumzungusha anaenda oa kwingine.

Ni bora mtu usiahidi chochote kaa kimya tu hata akijikuta mjamzito na usipomuoa malalamiko sio makubwa tofauti mtu unamwaga ahadi za kutosha kumbe uongo.
 
Hahaahahaa. Yani huyu kwa akili yake inaonekana kabisa anadate vilaza wenzie. Mwanaume anapenda kuongelea vibaya mwanamke ujue ubongo wake hauko sawa.
Mwanaume mwenye akili timamu hawezi akamuongelea mwanamke kidhalilishaji that way, maana lazima atashirikisha ubongo kabla hajaropoka.
Huyo inaonekana maisha yake yamejaa chuki sana.
 
Tatizo ni kwamba wanaume wengine hawaelewagi hivyo viti vya calendar kama huwa vinazingua. Wao wakishaloeka mimba ikaingia akili inamtuma ulimtegeshea kumbe hata mimi sikupenda kubeba ujauzito kabla ya ndoa.
Tatizo likishatokea la kutokea wenzetu wanaume wanatukimbia wanatuacha tuhangaike wenyewe.
Yaan, mie wangu alikataa mimba na akasema nisimjui tena. Nikapiga moyo konde nikasimama imara nikaamua kulea. Baada ya kujifungua mtoto copy right baba ake, siku moja akaoneshwa mtoto na rafiki yangu hapo akiwa na miaka miwili. Ndio akajileta, Aiseeee nilimwambia umekosea njia. Fanya yako, yangu hayakuhusu.
Maana wakati ananiacha aliniacha kwa jeuri sana na maneno kibao ya kashfa.
 
Tatizo ni kwamba wanaume wengine hawaelewagi hivyo viti vya calendar kama huwa vinazingua. Wao wakishaloeka mimba ikaingia akili inamtuma ulimtegeshea kumbe hata mimi sikupenda kubeba ujauzito kabla ya ndoa.
Tatizo likishatokea la kutokea wenzetu wanaume wanatukimbia wanatuacha tuhangaike wenyewe.
And they are never wrong, but women are!! Damn!!!
 
Mie sio single mom ila hakuna kitu kinanikera kama hiki, maybe kuna single mom aliwahi kufungua uzi akiomba msaada humu wa kulea mtoto!!

Ndio hawa hawa akina baba diamond, wanajikuta sperm donors alafu baadae anaanza kulia lia kwenye media!!

No wonder wanawake siku hizi wanajionelea bora wazae tu kuliko kuwa na haya mafurushi.
Hawana kazi za kufanya wanaona heri wapunguze stress kutupondea. Mm kwa kweli niko proud sana na mtoto wangu. Na tunaishi vzr tu kuliko ht hawa wanaokaa nyuma ya key board kutupondea mxieeew.
 
Tatizo ni kwamba wanaume wengine hawaelewagi hivyo viti vya calendar kama huwa vinazingua. Wao wakishaloeka mimba ikaingia akili inamtuma ulimtegeshea kumbe hata mimi sikupenda kubeba ujauzito kabla ya ndoa.
Tatizo likishatokea la kutokea wenzetu wanaume wanatukimbia wanatuacha tuhangaike wenyewe.

Umesema vizuri mkuu@Mzigua90,

Nimependa ulivyohighlight jinsi ambavyo wanaume,wanavyolichukulia hili swala la mimba,kuwa ni kutegeshewa,

Umetoa mwangaza kwa wanaume wanaosoma hii topic,sio mara zote huwa wanategewa mimba,nyingine zinaingia tu,

Hii itawafanya na wao wafuatilie mzunguko wa girlfriends zao au atleast watajikinga.

Kudos.🙂🙂🙂
 
Yaan, mie wangu alikataa mimba na akasema nisimjui tena. Nikapiga moyo konde nikasimama imara nikaamua kulea. Baada ya kujifungua mtoto copy right baba ake, siku moja akaoneshwa mtoto na rafiki yangu hapo akiwa na miaka miwili. Ndio akajileta, Aiseeee nilimwambia umekosea njia. Fanya yako, yangu hayakuhusu.
Maana wakati ananiacha aliniacha kwa jeuri sana na maneno kibao ya kashfa.
Pole sana mpendwa.

Ila rudisha tu moyo nyuma, alikukosea sawa, ila hiyo ni damu yake, mtoto anahitaji kumfahamu baba yake, mchukulie tu kama mpuuzi aliyetekwa na upuuzi hata akajitoa ufahamu, ila kama anahitaji kuwa kwenye maisha ya mwanae then let him. Mengine ni maamuzi ya mtoto mwenyewe.
 
Pole sana mpendwa.

Ila rudisha tu moyo nyuma, alikukosea sawa, ila hiyo ni damu yake, mtoto anahitaji kumfahamu baba yake, mchukulie tu kama mpuuzi aliyetekwa na upuuzi hata akajitoa ufahamu, ila kama anahitaji kuwa kwenye maisha ya mwanae then let him. Mengine ni maamuzi ya mtoto mwenyewe.
Yaan unajua mambo mengine kuna wakati mtu unaona bora tu uwe maamuzi yanayoufurahisha moyo wako. Nilikuja gundua alituzalisha watatu kwa wakati mmoja. Tulitofautiana miezi tu.
 
Kuna demu mmoja alinipiga chini!!

Baada ya miezi kadhaa nikaskia ana mimba na aliye mpiga mimba kaoa mwanamke mwingine yeye hana time nae tena, kapewa hadi talaka, yupo tu mtaani kama mimi ni msichana mdogo ila kazeeeka kama ana miaka 96! Ana niomba turudiane nikamjibu asubiri hadi baada ya miaka 15 nitampa jibu
 
Yaan unajua mambo mengine kuna wakati mtu unaona bora tu uwe maamuzi yanayoufurahisha moyo wako. Nilikuja gundua alituzalisha watatu kwa wakati mmoja. Tulitofautiana miezi tu.
Daah!!!!

Umenikumbusha kuna siku nilikutana na mkaka anaongea peke yake alafu akajikuta ananiongelesha as if tulikuwa pamoja, eti analalamika kamimba wanawake wa3 kwa wakati mmoja, lkn cha ajabu anawalaumu hao wanawake eti wamemtegeshea, nilitamani nimtie makofi.

Sasa huyo wa hivyo nae utamkuta kashupaza shingo kuwasakama single moms utadhani yeye msafiiiii!!! Mfyuuuuu!
 
Inategemea!
Wapo walio ktk ndoa na ni wapweke kuliko hata single moms.
Kuna single moms ambao hatimae wamepata walio sahihi kwao and they are happy, someone who is happy walaa haitaji kubragg abt it, utamuona tu.
Akimpata aliesahihi anakuwa happy hapo sawa
 
Yaan unajua mambo mengine kuna wakati mtu unaona bora tu uwe maamuzi yanayoufurahisha moyo wako. Nilikuja gundua alituzalisha watatu kwa wakati mmoja. Tulitofautiana miezi tu.

Daah.. huyo mwanaume hafai.
 
Back
Top Bottom