Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,388
- 88,761
Umesema vizuri mkuu@Mzigua90,
Nimependa ulivyohighlight jinsi ambavyo wanaume,wanavyolichukulia hili swala la mimba,kuwa ni kutegeshewa,
Umetoa mwangaza kwa wanaume wanaosoma hii topic,sio mara zote huwa wanategewa mimba,nyingine zinaingia tu,
Hii itawafanya na wao wafuatilie mzunguko wa girlfriends zao au atleast watajikinga.
Kudos.🙂🙂🙂
Mimi nilipata mimba bila ilikuaje. Nilikua najua kutumia calendar vizuri kabisa. Siku napata ujauzito nilimwambia the guy siko safe na tukatumia kinga na sijawahi fanya nae bila kinga, sikumbuki yeye kuingia bila kinga ila ninachojua two weeks later nilijikuta mjamzito lakini bado alisisitiza nikatoe as if nilimtegeshea. Nikakataa kutoa na yeye akanipotezea basi maisha yakaendelea. Unajua kuna ile mtu anasema anagusa juu juu tu sasa wengine hata asipoingiza anamwaga halafu akiambiwa mimba anaona kaonelewa.