Sio kwamba hawajui wanajua vizuri sana ila. Ukishakuwa unamjali mwanamke ujue we na shilingi ni bye bye. Kwasababu kumjali mwanamke ni garama kubwa sana. Mwanamke atataka atafune mda wako, anataka atafune nguvu zako, anataka atafune pesa zako, anataka ujitoe mhanga ujipinde mgongo vizuri kitandani tena, huku we ukiambulia neno "ooo yes bby"... Anataka mwanaume pekee achangie penzi tena kwa kila kitu. Wanaume tunawajua vizuri wanawake hawana shukrani hata ungemtreat vp. Ukiishiwa atakuita mwanaume suruali kaa mbali. Dawa ni kugonga na kuondoka kabla hujashushiwa mizinga.