Single mothers, ni nini chanzo?

Single mothers, ni nini chanzo?

Kuna mmoja anasema ikifika hizo siku za hatari huwa anavurugiwa akili sana, nataka nimkamate mwanaume kwa nguvu. Dyudyu linavimba, na hata nikipata mwanaume siridhiki kabisa, ningetaka ndume km tatu hivi hapo ndo napoa.
ndio inavyokua inapofika muda huo wanapagawa kabisa ila kuna njia nyingi za kutuliza hiyo mizuka moja wapo kupiga nyeto au atumie Kondom
 
tatizo wanatutegeshea bila kutushirikisha ktk mpango wa kuzaa mwisho wa siku mimba ikinasa alafu wewe hujajipanga kuwa kid lazma umkimbie
Hujajipanga kuwa kid!!!
Thot you always kids!

Hivi mtu mzima unategeshewa mimba!!! What irresponsible boy you are!!
 
Ulimbukeni wa wanawake kutozijua tarehe zao hatarishi, kudanganyika kirahisi mwisho wa siku yanawafika hayo ya usingle mother
Na hao walowadanganya unawaweka kundi gani? Kama hazijui why wewe uzijuae usimsaidie kuhesabu?
 
We umemaliza kila kitu. Kuna demu mmoja kabila sitaji (lile linaloongoza kwa masingle mother) niliachana nae tukiwa mwaka wa tatu chuoni..Sasa ivi ni single mother wa watoto wawili sababu ya kiburi,kujiona alpha,amesoma ,dharau ,jeuri..sasa ivi pombe kali na stress vina undugu nae
Kumbe usingle mother una hadi kabila!!!
Aiseee!
 
Kila mara huwa nasema nyuma ya hii scenario kuna mengi sana. Sio wote wapo km mnavyofikiria. Cha muhimu badala ya kuwadicourage mlitakiwa kuwapa hongera kwa kubeba jukumu kubwa la kuamua kulea maana ht mwanamke nae angeamua angemtelekeza tu mtoto. Lkn licha ya changamoto zote aliamua kulea mimba hd akazaa na analea mtoto wake. Mi naona ni jambo la kishujaa sana.
Kwa comments hz mtasababisha wanawake wazidi kutoa mimba sana au kutelekeza watoto kwa kuogopa kuitwa single moms na majina mengine mabaya ya karaha.
 
ndio inavyokua inapofika muda huo wanapagawa kabisa ila kuna njia nyingi za kutuliza hiyo mizuka moja wapo kupiga nyeto au atumie Kondom
Kama huo ndio ushauri
basi shikamoo.
 
Chanzo kikuu ni wanaume. Wanaume mmezidi uongo jamani. Mi sikuwahi kuwaza kuja kuwa single mom ila mwanaume nilie nae amenifanya kuwa hivi, kwanza wanaume wengi waongo. Mtu ana mke ila akija kwako anakwambia yupo single na story kibao.
Pili wanaume wengi wa siku hizi hawapendi majukumu. Mtu akishaona umeconcieve anakushawishi ukatoe ukikataa anakuacha unabaki unalea tumbo na mtoto peke yako.

Wanaume tuoneeni huruma tumechoka kutoa mimba, kama unajua huna mpango wa kuwa kwenye maisha ya mtu ni bora umuache tu kuliko ukae akipata mimba ndo umkimbie mnatuacha tunaatabika na manyanyaso ya usingle mom.
 
Chanzo kikuu ni wanaume. Wanaume mmezidi uongo jamani. Mi sikuwahi kuwaza kuja kuwa single mom ila mwanaume nilie nae amenifanya kuwa hivi, kwanza wanaume wengi waongo. Mtu ana mke ila akija kwako anakwambia yupo single na story kibao.
Pili wanaume wengi wa siku hizi hawapendi majukumu. Mtu akishaona umeconcieve anakushawishi ukatoe ukikataa anakuacha unabaki unalea tumbo na mtoto peke yako.

Wanaume tuoneeni huruma tumechoka kutoa mimba, kama unajua huna mpango wa kuwa kwenye maisha ya mtu ni bora umuache tu kuliko ukae akipata mimba ndo umkimbie mnatuacha tunaatabika na manyanyaso ya usingle mom.
Kweli halafu wanakuja huku kuanza kupondea kijinga. Mtu anajiaminisha kwako hadi unajua ni wako kumbe ana familia huko.
 
Kweli halafu wanakuja huku kuanza kupondea kijinga. Mtu anajiaminisha kwako hadi unajua ni wako kumbe ana familia huko.

Tena sio familia tu. Mtu ana mgf kama nyie watatu. Na utakuta hao wengine anawatoa mimba daily.
 
For all good single mothers out-there, don't be discouraged. Some of us might have to settle for your baggage and all the excess that comes with it. Oligozoospermia is a muthafacka.
 
Sio kwamba hawajui wanajua vizuri sana ila. Ukishakuwa unamjali mwanamke ujue we na shilingi ni bye bye. Kwasababu kumjali mwanamke ni garama kubwa sana. Mwanamke atataka atafune mda wako, anataka atafune nguvu zako, anataka atafune pesa zako, anataka ujitoe mhanga ujipinde mgongo vizuri kitandani tena, huku we ukiambulia neno "ooo yes bby"... Anataka mwanaume pekee achangie penzi tena kwa kila kitu. Wanaume tunawajua vizuri wanawake hawana shukrani hata ungemtreat vp. Ukiishiwa atakuita mwanaume suruali kaa mbali. Dawa ni kugonga na kuondoka kabla hujashushiwa mizinga.

UOTE]

Kama wanawake wote tungekua hivi unavyosema wewe baba yako asingemuoa mama yako.
 
Ulimbukeni wa wanawake kutozijua tarehe zao hatarishi, kudanganyika kirahisi mwisho wa siku yanawafika hayo ya usingle mother

Wewe nani kakuambia tarehe hatarishi ziko constant kama pie? Na wewe ulimbukeni wako wa kutotaka kutumia condom ndo unakufanya umpe mimba mwanamke usie na malengo nae
 
Back
Top Bottom