Wengi wanakuwa waliingia ktk mahusiano ama ndoa kwa kuvutwa na mambo mengine tofauti na ndoa,kilichowaingiza ktk mahusiano kinapotoka ama kuisha ama kutokipata km walivotaka ndo mpango wa kujiondoa na kuishi pekee huanza,
Wapo ambao kutendwa na kutapeliwa kimapenzi hufanya waamue kuishi pekee,wengine bahati tu hawana ya kuolewa labda kulingana na wanavoonekana kwa nje,wengine walishuhudia misuguano na misuguano kwa wazazi na wakakata tamaa ya kuna kuishi kwe ndoa(wazazi tuepuke sana kuumizana maana inaathiri hata maamuzi ya watoto)
Wengine ni tabia zao mbaya hupekekea kuzalishwa na kuachwa so inabidi wakubali hali maana hawana jinsi japo mioyo yao wanatamani kuolewa,wengine ni laana za koo zao toka mababu na mababu,
Zipo nyingi sana