Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,666
- 6,742
Mkuu nilikua nafanya utafiti!'Umewapitia wengi tu'
Alafu unajiona bora kuliko wao!!
Hongera.
Mkuu nilikua nafanya utafiti!'Umewapitia wengi tu'
Alafu unajiona bora kuliko wao!!
Hongera.
Mkuu information imeshiba haswa .... hapo kwenye kutegesha mimba hapo naona ni tatizo .... niaje juu ya ushirikina huko kukoje mkuu?Chanzo kikuu cha single mothers ni
-Kuchagua sana
-Kuringa sana na kujiona wana hadhi ya juu kulinganisha na wanaowafuata kwa ajili ya kuoa
-Kupenda vya bure yaan kuhongwa na kuachiwa mimba na waume za watu
-Kutelekezwa na wanaume wasio waaminifu
-Tabia mbovu/ mbaya za baadhi ya wanaume zinazopelekea wanawake kuamua kuachana nao kwa mf ulevi wa kupindukia, michepuko na kutokutoa matunzo kwa familia
-kuwa na tabia ya kutegesha mimba kwa wanaume bila makubaliano ili baadae wawabae ili waolewe hawajui kumbe ndio wanajichimbia kaburi
-uvivu, uchafu, ukicheche na ushirikina pia vinawenza kuwa vyanzo kwa namma moja ama nyingine
- kushindwa kujua mwanaume sahihi mwenye nia ya kuoa kweli mwishowe wanatapeliwa na wahuni kwamba wataolewa baada ya mimba ME anapotea
Chanzo ni michepuko,..................
Tunajenga bomu sisi wenyewe,wanaume particular,..................
Ukioa,stick to your wife,and provide a safe net for your children's up bringing......
Mtoto akiona baba anacheat,is more likely kama ni wa kiume,na yeye atacheat in his life(not necessary though)...........wa kike atawaogopa wanaume na ataona hawana umuhimu katika maisha yake.
Therefore,kabla hujachepuka fikiria watoto wako,yaaani je,ungependa wanao wawe na taswira hii kuhusu wanaume/wanawake in their life?

Nimekupenda bure.umekuwa mtenda haki na umekuwa mkweli![]()
Sasa hiyo mimba iliingiaje kama haina baba?
Upendo wa agape tu
Duh!na uzee wote huu?Tangaza nia fasta![]()
![]()
![]()
Sio kwamba hawajui wanajua vizuri sana ila. Ukishakuwa unamjali mwanamke ujue we na shilingi ni bye bye. Kwasababu kumjali mwanamke ni garama kubwa sana. Mwanamke atataka atafune mda wako, anataka atafune nguvu zako, anataka atafune pesa zako, anataka ujitoe mhanga ujipinde mgongo vizuri kitandani tena, huku we ukiambulia neno "ooo yes bby"... Anataka mwanaume pekee achangie penzi tena kwa kila kitu. Wanaume tunawajua vizuri wanawake hawana shukrani hata ungemtreat vp. Ukiishiwa atakuita mwanaume suruali kaa mbali. Dawa ni kugonga na kuondoka kabla hujashushiwa mizinga.Issue sio usawa tatizo kubwa ni wanaume I swear mwanamke ukimtreet kama inavyotakowa hakutakuwa na single mather wanaune walio wengi hawajui kuish na wanawake wao baadhi ya wanaume humchukulia mwanamke kama mtu wa kawaida tu hili ni tatizo
tatizo wanatutegeshea bila kutushirikisha ktk mpango wa kuzaa mwisho wa siku mimba ikinasa alafu wewe hujajipanga kuwa kid lazma umkimbietatizo ni sisi wanaume
We umemaliza kila kitu. Kuna demu mmoja kabila sitaji (lile linaloongoza kwa masingle mother) niliachana nae tukiwa mwaka wa tatu chuoni..Sasa ivi ni single mother wa watoto wawili sababu ya kiburi,kujiona alpha,amesoma ,dharau ,jeuri..sasa ivi pombe kali na stress vina undugu naeKujifanya mwanaharakati wa haki za wanawake,Kujiona una elimu kubwa,Kupenda starehe,kuchagua sana,Kudanganywa na wavulana wasio na msimamo,Kua na kibri,Kupenda wavulana usio match yako,etc hayo yote mwisho wa siku ni mimba isoyobaba
Kuna mmoja anasema ikifika hizo siku za hatari huwa anavurugiwa akili sana, nataka nimkamate mwanaume kwa nguvu. Dyudyu linavimba, na hata nikipata mwanaume siridhiki kabisa, ningetaka ndume km tatu hivi hapo ndo napoa.Ulimbukeni wa wanawake kutozijua tarehe zao hatarishi, kudanganyika kirahisi mwisho wa siku yanawafika hayo ya usingle mother
Eeh huyu huyu Vale![]()
![]()
Valentina huyu huyu ama ....
Kwakuwa analea akiwa haishi na baba wa mtoto, ila mtoto ana baba yake na mama yake.Na kwanini aitwe single mother?
Honey plz over plz.