Single mothers, ni nini chanzo?

Single mothers, ni nini chanzo?

Mkuu busy bees
Kupungukiwa maarifa kivp mkuu?
Ukimsoma usiambini hapa
Kujifanya mwanaharakati wa haki za wanawake,Kujiona una elimu kubwa,Kupenda starehe,kuchagua sana,Kudanganywa na wavulana wasio na msimamo,Kua na kibri,Kupenda wavulana usio match yako,etc hayo yote mwisho wa siku ni mimba isoyobaba
Na wingi wa sababu kama hizo....
Kwa hiyo Nje ya Kufiwa na Mzazi mwenza, Kubakwa na sababu kama maradhi ya ukichaa/wehu (yasioweza kuvumilika kabisa). Tunapungukiwa Maarifa sana na kutupelekea na kasi hii....
 
Kujifanya mwanaharakati wa haki za wanawake,Kujiona una elimu kubwa,Kupenda starehe,kuchagua sana,Kudanganywa na wavulana wasio na msimamo,Kua na kibri,Kupenda wavulana usio match yako,etc hayo yote mwisho wa siku ni mimba isoyobaba
umeua!
 
Na nyie muache kufake, kama unataka ngono tu sema nataka ngono tu!! Sio uongo mwingi alafu mkishatumimba mnatukimbia. Hivi mnajua jinsi hizo tarehe hatari zilivyo korofi?? Muwe mnatuhurumia jamani.
Point
 
Hilo la mauti really liko juu ya uwezo wetu .... but hizo other causes ambazo ziko ndani ya uwezo wetu washaur nn kifanyike mamii?
Solution kubwa watumie condom ili mimba isitokee kabisa

Nyingine ni vizuri kupata mtoto ukiwa tayari ndani ya ndoa

Nyingine tena wanawake waache kujirahisisha kwa wanaume wasiojisoma,waume za watu
 
Solution kubwa watumie condom ili mimba isitokee kabisa

Nyingine ni vizuri kupata mtoto ukiwa tayari ndani ya ndoa

Nyingine tena wanawake waache kujirahisisha kwa wanaume wasiojisoma,waume za watu
Good advice ... afu joanah katuma msg kwa akina dada wanaochomekea mimba ili waolewe
 
Wanawake wa sasa si waolewaji kabisa, wana majanga makubwa yasiyoweza kuvumilia hata kidogo. Na ni ngumu kwao kuvumilia kwenye ndoa.
Kosa sio wanawake wewe muowaji ndio unayetakiwa umtengeneze mke unayemtaka ili kupunguza hao single mother kwani ikiwa mmeoana tabia haziendani ni ngumu sana kuwepo uvumilivu.

Na pia kumbuka nyie ndio mnaoacha na si mwanamke anakuacha.
 
Solution kubwa watumie condom ili mimba isitokee kabisa

Nyingine ni vizuri kupata mtoto ukiwa tayari ndani ya ndoa

Nyingine tena wanawake waache kujirahisisha kwa wanaume wasiojisoma,waume za watu
Umeshauri matumiz ya condoms kama suluhisho pia kuepuka mimba zisotarajiwa ambazo wakati mwingine huwa chanzo cha hawa single mothers ......

Je wahusika wote wawili walolewa chakari .... is there any possibility for them to remember the uses of condoms?
 
Kosa laweza kuwa la mwanaume au la mwanamke, sio single mother's wote ni watu wabaya hapana nakataa! Kikubwa wanaume kumbukeni kutunza Damu zenu maana mtoto anaweza kupata kila kitu toka kwa mama yake akikosa upendo wa baba japo Mara moja moja huathirika kisaikolojia
 
Wasalaam wana jukwaa,

Posts na majadiliano mbalimbali juu ya hawa ndugu zetu waitwao "single mothers" katika mitandao ya kijamii "social networks" zimeonekana kuwa nyingi nowadays ....

Kando na "discussions" hizo huko mitandaoni hata huku katika maisha halisi "single mothers" pia waonekana kuongezeka afu wengi wao waonesha kuinjoi kweli life yao ...

Swali: Ni nini kisababishi (source) kubwa ya uwepo wa familia hizi?
Chanzo kikuu cha single mothers ni
-Kuchagua sana
-Kuringa sana na kujiona wana hadhi ya juu kulinganisha na wanaowafuata kwa ajili ya kuoa
-Kupenda vya bure yaan kuhongwa na kuachiwa mimba na waume za watu
-Kutelekezwa na wanaume wasio waaminifu
-Tabia mbovu/ mbaya za baadhi ya wanaume zinazopelekea wanawake kuamua kuachana nao kwa mf ulevi wa kupindukia, michepuko na kutokutoa matunzo kwa familia
-kuwa na tabia ya kutegesha mimba kwa wanaume bila makubaliano ili baadae wawabae ili waolewe hawajui kumbe ndio wanajichimbia kaburi
-uvivu, uchafu, ukicheche na ushirikina pia vinawenza kuwa vyanzo kwa namma moja ama nyingine
- kushindwa kujua mwanaume sahihi mwenye nia ya kuoa kweli mwishowe wanatapeliwa na wahuni kwamba wataolewa baada ya mimba ME anapotea
 
Issue sio usawa tatizo kubwa ni wanaume I swear mwanamke ukimtreet kama inavyotakowa hakutakuwa na single mather wanaune walio wengi hawajui kuish na wanawake wao baadhi ya wanaume humchukulia mwanamke kama mtu wa kawaida tu hili ni tatizo
 
Kosa laweza kuwa la mwanaume au la nwanamke, sio single mother's wote ni watu wabaya hapana nakataa! Kikubwa wanaume kumbukeni kutunza Damu zenu maana mtoto anaweza kupata kila kitu toka kwa mama yake akikosa upendo wa baba japo Mara moja moja huathirika kisaikolojia
Good advice
 
Kujifanya mwanaharakati wa haki za wanawake,Kujiona una elimu kubwa,Kupenda starehe,kuchagua sana,Kudanganywa na wavulana wasio na msimamo,Kua na kibri,Kupenda wavulana usio match yako,etc hayo yote mwisho wa siku ni mimba isoyobaba
Majibu yote umetoa mkuu...suluhisho kubwa katika malezi ya mtoto wanawasukumia ma BEKI TATU.....Ili hali wao wakiendelea kula BATA.......!! Shame on them...
 
Ukishakuwa kimada wa bwana wa mtu. Ujue hapo kuolewa ni ngumu hata kwa dawa huolewi. Ni heri ungekuwa mpenzi wa kijana mwenzio hapo unaweza olewa bila tatizo.
 
Back
Top Bottom