Single mothers, ni nini chanzo?

Single mothers, ni nini chanzo?

Chanzo ni michepuko,..................

Tunajenga bomu sisi wenyewe,wanaume particular,..................

Ukioa,stick to your wife,and provide a safe net for your children's up bringing......

Mtoto akiona baba anacheat,is more likely kama ni wa kiume,na yeye atacheat in his life(not necessary though)...........wa kike atawaogopa wanaume na ataona hawana umuhimu katika maisha yake.

Therefore,kabla hujachepuka fikiria watoto wako,yaaani je,ungependa wanao wawe na taswira hii kuhusu wanaume/wanawake in their life?
Sioni uhusiano wa baba kucheat so as mtoto
Kwanza baba ambaye unacheat mpaka watoto na mkeo wanajua thats not cheating anymore it either utakua umehalalisha au u r dumb enuf to let then see the bast.ard u
 
Mnh labda kama huna watoto,ukiwa nao hao ndio wawe important,sio mabishano ya kijinga na mkeo,paka anaenda na paka,mpaka umemuingiza ndani/kumuoa huyu ni paka mwenzio ,lol.
Ukisoma vyema statement yako utaona alichoandika jamaa ni sahihi sababu ushaprove kitu ambacho wanawake wengi wanakosea
Ushaanza kutafuta so called haki sawa au kubishana ilimradi use mshindi
 
Kikubwa ni watu kuwa responsible na kuheshimu natakwa ya familia.

Pia mabinti waache kutumia mimba zisizopagwa kama kigezo cha ndoa hapa ndio huwa future zao zinaharibika.

Nafikiri tutofautishe mapenzi na ngino sio kila unayefanyanae ngono mnaweza kuishi pamoja na kuwa na familia. Sasa unapoenda mpaka mimba basi inakuletea shida maisha yako yote.
Word
 
For the first time naona mjadala kuhusu "single mothers", unaenda smooth. Hongereni, sidhani kama wengi wamependa, wengine ni choice yao(of which kwangu naamini huo ni ubinafsi) na wengine wamekimbiwa na waliowapa mimba.

Either way, hatuwezi kuwalaumu single mothers peke yao.
 
Ukisoma vyema statement yako utaona alichoandika jamaa ni sahihi sababu ushaprove kitu ambacho wanawake wengi wanakosea
Ushaanza kutafuta so called haki sawa au kubishana ilimradi use mshindi

mmnh ungejua sipendi malumbano,

wapi umeona nimesema natafuta haki sawa?

mkuu,kama mpaka muda huu,hujajua ku argue,kiJF na sio kumuattack a person,then you are not worth my time,elewa unavyoelewa,na wengine wataelewa,walivyoelewa,

nimeangalia ulivyoniquote hapo juu,sijaona umelink vipi na post yako,Mungu ndie shahidi mimi na wewe nani anayetaka ubishi ,aonekane mshindi.

bye,sitakujibu hata ukiniquote.
 
Nahamu tu ya usingo maza. Staki stress za mwanaume mie
Hiyo hali itabadilika tu Vale wangu, leo utajisikia hutaki stress za wanaume lakini niamini, kesho utatuhitaji tu. Wanaume ni kama maji, umewahi kumaliza siku bila kutumia maji (kwa hali yoyote ile?)
 
Hii thread imenikumbusha kitu;

"usini***be na condom, sizipendi kabisa zinaniletea muwasho na sipati raha".

Katika hali ya kawaida, utamfikiriaje mtu wa aina hiyo?
 
Kuishi na mwanamke inahtajika akili kubwa sana; wanakera na wanaboa sana. Ni kumfunua na kumwacha tu akizingua; na ndo hali hii wanajikuta wapo single mamas. Wajinga mno! wanawaza hata visivyowezekana.
Aiseeee!!!
Pole sana.
 
mwanamke akiwa kasoma,ana kazi nzuri au ana vijimiradi vinavompa pesa anataka kuwa free...kwa mana hata akilala nje asiwepo wa kumuuliza,akirudi amelewa asiwepo wa kumlalamikia,akirudi usiku wa manane asihojiwe,akileta mwanaume ndani asiwepo wa kumgombeza,yani anataka akifanya ujinga wowote awe huru asiwepo wa kumkanya..... siku hizi hiyo ipo kwenye HAKI ZA WANAWAKE.....they want to be free....in all aspects...
 
Na nyie muache kufake, kama unataka ngono tu sema nataka ngono tu!! Sio uongo mwingi alafu mkishatumimba mnatukimbia. Hivi mnajua jinsi hizo tarehe hatari zilivyo korofi?? Muwe mnatuhurumia jamani.
Unanikumbusha wimbo wa
The Weekend _I feel it Coming
 
Kuna wanandoa waliofiwa nA waume zao...wanalea wnyw...wapo waliochoshwa nA ndoa wakaamua kumove on nA wtt wao...afu wapo nyumba ndogoz wazee WA kutegesha mimba. ....
 
Apo kwenye ku enjoy noo way...iyo hali hua inawatesa sana nina mifano mingi to back up that
 
feminist and feminism
ladiez are bringin some gender equality stuff mpaka kwa waume zao...
damn who lied to yoi that we men wanna be equal with u...
equality interm of jobs and equal acces to social servic that okey bt when it comes in marriage wise...u women must respect yo man....
we men dont giv a damn shit if u wont respect us ..u and gonna b singl 4ever...
 
Back
Top Bottom