Single mothers nawaibia siri nyingine

Methali 15:4 BHN

Ulimi mpole ni chanzo cha uhai, lakini uovu wake huvunja moyo.


Waefeso 4:29-32 BHN

Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu

Methali 24:17 BHN

Usishangilie kuanguka kwa adui yako; usifurahie moyoni mwako kujikwaa kwake.

Yakobo 4:11-12 BHN

Ndugu, msilaumiane nyinyi kwa nyinyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu sheria. Kama ukiihukumu sheria, basi, wewe huitii sheria, bali waihukumu. Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka sheria na kuhukumu. Ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?

Waefeso 4:31-32 BHN

Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele na matusi. Acheni kila uovu! Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe nyinyi kwa njia ya Kristo.

Methali 22:6 BHN
Mfunze mtoto namna ya kuishi vizuri, naye hatasahau njia hiyo hata uzeeni.
 
Kwaiyo huo uwezo mzazi mwenzake hakuuoana mpaka wewe ndio ukauone [emoji23][emoji23][emoji23] wengi baada ya kuachwa huwa wanaigiza tu tabia then ukimuweka ndani unaona sura halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila single mother ameachwa wengine wameacha....ama mnafikirigi hakuna wanaume wenye mapungufu? Unakutana na limtu mwanaume yuko 30s ila anabet hawezi hata kununua pea ya socks kununua luku anashindwa ila ana hela ya bia...hana hata akiba ya kesho mtoto akiugua anapiga washkaji vizinga, mtu wa hivyo unataka mwanamke amgande ili tu asiitwe single mother?
Wengine wanavumilia mengine unakuta mwanaume mchafuuuuu muda wote ananuka jasho hapendi kuoga boxa inavaliwa wiki haijui maji mqshuka ndo usiseme yakifuliwa yanatoa mchuzi [emoji38][emoji38][emoji38] mnataka mdada abaki hapo ili asiitwe single mother?
Mi nawaelewaga sana single mama's ni fighters vibaya mno ukikutana na anaejielewa anapambana single handedly mtoto ale, avae, aende shule nzuri na haombi senti ya baba mtu ambae anashinda kuhonga na kulewa.
 
Wanawake wangekuwa na akili kama single mothers wangeolewa wengi mnoo.. sema wengi akili huwakaa sawa wakishazalishwa na kutelekezwa

Hii inatokana na kuweka pesa mbele kuliko mapenzi.. wengi hujutia na kusema nilikuwa na wanaume walionipenda kwa dhati.. nikawapiga pini n.k


Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Nawewe si juzi tu umesema umeshavunja ndoa, au hii ni ndoa nyingine unaishukuru?
 
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO

Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
naagiza mapato yote ya royal tour apewe huyu mama, atakaekiuka apigwe risasi, huyu mama ni rasilimali ya taifa!
 
Single mothers "baadhi yao" ni watu saana wanajitambua na wapo very focused kuliko hawa wadada wengine ...
 
Kwa jinsi mwenendo wa maisha ulivyo na idadi ya wanaozaa nje ya ndoa ilivyokubwa si muda mrefu single mothers watakua ni watu wanaolewa vizuri tuu kama hawa wadada wengine wanaolewa...
 
Unataka kuwaingiza chaka weye. Wananwake msimsikilize huyu....kama kweli mwanamke utaka huko mbeleni uolewe fanya ufanyavyo usiwe single maza. Lah sivyonutaishia pelekewa moto mbususu tuu waoaji ni wachache sana
 
Kwa jinsi mwenendo wa maisha ulivyo na idadi ya wanaozaa nje ya ndoa ilivyokubwa si muda mrefu single mothers watakua ni watu wanaolewa vizuri tuu kama hawa wadada wengine wanaolewa...
Wee waambie ukweli usiwadanganye sema tutazaa nao tuu ila kuwaoa labda wawe wake wa pili au w tatu
 
Kumbuka hata mwanamke anamuacha mwanaume asiye na akili...
 
Ukweli mtupu...nina mihela na de libolo lina ufanisi wa 100% single maza wa nini wakati walimbwende wanajigonga gonga kwangu ni mie kuamua nachukua yupi
 
Usioe li mwanamke lililomshinda mwanaume mwenzako lakini kawaida ya kenge huwa hasikii Hadi aone damu inatoka maskion
Endelea kujipa moyo utaitoa milio ya ambulance wiu wiu🚑
 
Usioe li mwanamke lililomshinda mwanaume mwenzako lakini kawaida ya kenge huwa hasikii Hadi aone damu inatoka maskion
Endelea kujipa moyo utaitoa milio ya ambulance wiu wiu[emoji603]
Watu wanajifunza baada ya kulia
 
Sawa single mother.
 
Sisi wanaume ndio tunaowaleta Hawa single mother hasa vijana kwa dhana ya kukimbia kuoa ilihali unahitaji mtoto lkn kuoa hutaki, tatizo linaanzia hapa
Sidhani Kama singlemother wote waliachwa eti kwasababu walishindikana na waume zao s kweli
Wengi wao walipewa ujauzito na kutelekezwa uko mitaani ,

Inasikitisha Sana maana kikazo kijacho ni kizazi kisicho na malezi na wazazi wot wawili vijana wanajua kuzalisha tu ili na yey aitwe baba alf hawajibiki kwa chochote alaf kweny nyuzi za singlemother uku JF lenyewe ndo likandiaji namb moja hajui Kam ameshasababisha singlemother uko mtaani, unafikil nan atamuoa yule dada wa watu hapa mjini

Vijana uone kuzaazaa kabla ya ndoa si Jambo jema utakuta jitu kijana 25s linawatoto 3 kila mtoto na mama yke so hao wadad wa3 wote hakuna anaefaa kuwa mke , si kweli
 
Tt
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Tatizo msimamo,ndo shida inaanzia hapo,mtu anazalishwa,anabahatika anaolewa,yule aliyemzalisha anaendelea kumla na wakati alimkataa akaoa mwanamke mwingine kwa kigezo cha kuna wanawake wa kuoa na wakulala nao tu.Wanawake wangekua na misimamo,wangependwa sana,hii inapelekea kuwajumuisha wote kwa MWANAMKE MWENYE MTOTO HAFAI KUOLEWA.Kutokua na misimamo ndo unakuta mtu anazalishwa hadi watoto wa4 baba tofautitofauti,na wote wakitaka show wanapewa kwa nyakati tofautitofauti.Ex achana nae,dili na uliyenae aliyekuheshimisha.Baadhi ya wanawake ni wajinga sana.
 

Umeongea kwa uchungu sana,pole sana mkuu kwa yaliyokukuta kwa single mother [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…