Mfuasiwake
Member
- May 19, 2022
- 13
- 21
Methali 15:4 BHNHapa nazungumzia hawa single mother's wa mwendokasi ambao hawajawai kuwa na ndoa na waliowazalisha wapo
Hawa single mother's wa mwendokasi most wao ndio waliachwa na kama wao ndio waliwaacha waliowazalisha basi waliwaacha kwa sababu za kijinga
Mwanaume yoyote yule hawezi kumuacha mwanamke mwenye akili,Sasa kama mwanaume mwenzio kamzalisha alafu akamiacha
Je kwanini alimuacha ?
Wewe una akili kuliko aliyemzalisha ?
Mwanaume kamili hawezi kuchukua mtumba aliyakuwa kitu kipya kipo
Makapukula ndio wanaongoza kutoka na single mother kwa sababu ya kufata maslahi na si upendo
Mwanaume asiye na mapungufu yoyote hasa ya kiuchumi,kiafya,kiumbo hawezi kuoa single mother
Ukiona mwanaume kaoa single mother jua HAJIAMINI na TAHIRA
Kuoa single mother ni kusababisha migogoro mikubwa baadae hasa kwenye urithi
na swala la urithi wa mali na umiliki mali. Hebu wazia umekutana na mwanamke ana watoto labda wawili halafu mkaanza kuyajenga pamoja. Baada ya miaka kadhaa mtoto akikua na kupata uelewa kuwa wewe si baba yake Utakubari awe MRITHI WA MALI ZAKO ??
Ushauri
Single mother Tafuteni hela angalau mpate mario maana mwanaume mwenye kila kitu hawezi kukuoa
Acheni Gubu kuolewa tu ukiwa single mother ni msaada tosha
Msibague wanaume ukipata mlevi sawa ukipata mfupi sawa ukipata wa dini tofauti na yako single mother badilisha haraka dini uolewe kwani nafasi zenu ni Finyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila single mother ameachwa wengine wameacha....ama mnafikirigi hakuna wanaume wenye mapungufu? Unakutana na limtu mwanaume yuko 30s ila anabet hawezi hata kununua pea ya socks kununua luku anashindwa ila ana hela ya bia...hana hata akiba ya kesho mtoto akiugua anapiga washkaji vizinga, mtu wa hivyo unataka mwanamke amgande ili tu asiitwe single mother?Kwaiyo huo uwezo mzazi mwenzake hakuuoana mpaka wewe ndio ukauone [emoji23][emoji23][emoji23] wengi baada ya kuachwa huwa wanaigiza tu tabia then ukimuweka ndani unaona sura halisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wangekuwa na akili kama single mothers wangeolewa wengi mnoo.. sema wengi akili huwakaa sawa wakishazalishwa na kutelekezwaBaada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag.
Sababu za wazi baadhi ni :
1. Single mothers wengi wamefikia miaka 28 umri unaofaa kwa mwanamke kufikiri maisha zaid kuliko ngono na mapenz.
Kifup tu wana akili zinazowajibika.
umri chini ya hapo hasa dada wasio na wajib wana wenge sana na mambo mengi kama wapiga ramli na ndoto hewa zisizotekelezeka. mf binti wa kivule,ana akili timam lakin anajisemea kwa dhat kuwa ataolewa na justin bierber kisa wigi limemkubali. wanaamin katika uzuri.
Single mothers wameshajipa majukum na akili za kiuwajibikaji. ni asset. sio liability.
tusisahau wanaume kamili huamini katika akili za kujitambua linapokuja suala la kuoa/kudum katika mapenz.
Maana ni wanawake wachache mno ambao wako chini ya mstari wa uzuri unaofaa.
2. Single mothers wanajua upendo kupitia mtoto wake. hivyo ni rahis kutoa upendo kama uwekezaji wa kupata upendo.
TATIZO:
Hofu ya wanaume dhidi ya x wa mke ni kubwa mno. kwa sabab mwanaume anaweza kuvumilia kila kitu isipokuwa kushare mke isipokuwa yule tu aliyejaliwa tamaa nyingi na akili kidogo. sio ubinafs ni nature.
NINI KIFANYIKE:
a)Mama usiendekeze mahusiano na baba mtoto kupitiliza kisa mtoto. mf kukupigia sim ovyo ovyo had usiku wa manane kisa uko na mwanae.
Pia usikubali mialiko ya ex hata ya ibadani.
hata misiba tuma mtoto tu na ndugu yako kutimiza haja ya ukoo wa uzao wa ex.
b) Mume tunza sana mtoto wa mke mwenzio kwa upendo wa wazi, mpe uhakika wa leo na kesho. jana haimsumbui sana mkeo. anaweza kupotezea mazma ex wake. mf kama kuna wa kumpa zawad ndan anza na mtoto wa ex kabla ya mke. ikibid hata mali toa kabla. fanya uwekezaj wa TRUST!
Mme chunga sana kauli zako km .....dam ya wapi hii iko hivi. Mke chunga sana kauli zako kama ....baba yake mzazi angekuwepo .....
Nihitimishe kuwa single mothers mnapendwa sana na kila mwanaume mwenye tafakuri nzuri. ni juu yenu sasa kumjua mwanaume hata kama unammudu kivip. kuna mengine ni ya asili hata limbwata haiyapangui.
Hata mimi isingekuwa nimeshapitisha umri wa kuoa ningejikita kwa single mother. wengi wanajitambua na wana malengo.
Na alikufa kwa sababu gani?Nimeleta ndizi tuunge na huu utumbo
Tulishasema singo maza mpka akuoneshe kaburi la ex wake
Usioe
Nawewe si juzi tu umesema umeshavunja ndoa, au hii ni ndoa nyingine unaishukuru?Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO
naagiza mapato yote ya royal tour apewe huyu mama, atakaekiuka apigwe risasi, huyu mama ni rasilimali ya taifa!Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Unataka kuwaingiza chaka weye. Wananwake msimsikilize huyu....kama kweli mwanamke utaka huko mbeleni uolewe fanya ufanyavyo usiwe single maza. Lah sivyonutaishia pelekewa moto mbususu tuu waoaji ni wachache sanaBaada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag.
Sababu za wazi baadhi ni :
1. Single mothers wengi wamefikia miaka 28 umri unaofaa kwa mwanamke kufikiri maisha zaid kuliko ngono na mapenz.
Kifup tu wana akili zinazowajibika.
umri chini ya hapo hasa dada wasio na wajib wana wenge sana na mambo mengi kama wapiga ramli na ndoto hewa zisizotekelezeka. mf binti wa kivule,ana akili timam lakin anajisemea kwa dhat kuwa ataolewa na justin bierber kisa wigi limemkubali. wanaamin katika uzuri.
Single mothers wameshajipa majukum na akili za kiuwajibikaji. ni asset. sio liability.
tusisahau wanaume kamili huamini katika akili za kujitambua linapokuja suala la kuoa/kudum katika mapenz.
Maana ni wanawake wachache mno ambao wako chini ya mstari wa uzuri unaofaa.
2. Single mothers wanajua upendo kupitia mtoto wake. hivyo ni rahis kutoa upendo kama uwekezaji wa kupata upendo.
TATIZO:
Hofu ya wanaume dhidi ya x wa mke ni kubwa mno. kwa sabab mwanaume anaweza kuvumilia kila kitu isipokuwa kushare mke isipokuwa yule tu aliyejaliwa tamaa nyingi na akili kidogo. sio ubinafs ni nature.
NINI KIFANYIKE:
a)Mama usiendekeze mahusiano na baba mtoto kupitiliza kisa mtoto. mf kukupigia sim ovyo ovyo had usiku wa manane kisa uko na mwanae.
Pia usikubali mialiko ya ex hata ya ibadani.
hata misiba tuma mtoto tu na ndugu yako kutimiza haja ya ukoo wa uzao wa ex.
b) Mume tunza sana mtoto wa mke mwenzio kwa upendo wa wazi, mpe uhakika wa leo na kesho. jana haimsumbui sana mkeo. anaweza kupotezea mazma ex wake. mf kama kuna wa kumpa zawad ndan anza na mtoto wa ex kabla ya mke. ikibid hata mali toa kabla. fanya uwekezaj wa TRUST!
Mme chunga sana kauli zako km .....dam ya wapi hii iko hivi. Mke chunga sana kauli zako kama ....baba yake mzazi angekuwepo .....
Nihitimishe kuwa single mothers mnapendwa sana na kila mwanaume mwenye tafakuri nzuri. ni juu yenu sasa kumjua mwanaume hata kama unammudu kivip. kuna mengine ni ya asili hata limbwata haiyapangui.
Hata mimi isingekuwa nimeshapitisha umri wa kuoa ningejikita kwa single mother. wengi wanajitambua na wana malengo.
Wee waambie ukweli usiwadanganye sema tutazaa nao tuu ila kuwaoa labda wawe wake wa pili au w tatuKwa jinsi mwenendo wa maisha ulivyo na idadi ya wanaozaa nje ya ndoa ilivyokubwa si muda mrefu single mothers watakua ni watu wanaolewa vizuri tuu kama hawa wadada wengine wanaolewa...
Kumbuka hata mwanamke anamuacha mwanaume asiye na akili...Hapa nazungumzia hawa single mother's wa mwendokasi ambao hawajawai kuwa na ndoa na waliowazalisha wapo
Hawa single mother's wa mwendokasi most wao ndio waliachwa na kama wao ndio waliwaacha waliowazalisha basi waliwaacha kwa sababu za kijinga
Mwanaume yoyote yule hawezi kumuacha mwanamke mwenye akili,Sasa kama mwanaume mwenzio kamzalisha alafu akamiacha
Je kwanini alimuacha ?
Wewe una akili kuliko aliyemzalisha ?
Mwanaume kamili hawezi kuchukua mtumba aliyakuwa kitu kipya kipo
Makapukula ndio wanaongoza kutoka na single mother kwa sababu ya kufata maslahi na si upendo
Mwanaume asiye na mapungufu yoyote hasa ya kiuchumi,kiafya,kiumbo hawezi kuoa single mother
Ukiona mwanaume kaoa single mother jua HAJIAMINI na TAHIRA
Kuoa single mother ni kusababisha migogoro mikubwa baadae hasa kwenye urithi
na swala la urithi wa mali na umiliki mali. Hebu wazia umekutana na mwanamke ana watoto labda wawili halafu mkaanza kuyajenga pamoja. Baada ya miaka kadhaa mtoto akikua na kupata uelewa kuwa wewe si baba yake Utakubari awe MRITHI WA MALI ZAKO ??
Ushauri
Single mother Tafuteni hela angalau mpate mario maana mwanaume mwenye kila kitu hawezi kukuoa
Acheni Gubu kuolewa tu ukiwa single mother ni msaada tosha
Msibague wanaume ukipata mlevi sawa ukipata mfupi sawa ukipata wa dini tofauti na yako single mother badilisha haraka dini uolewe kwani nafasi zenu ni Finyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sentensi iwe laminated na kuhifadhiwa makumbusho ya taifa, na ikiwezekana ijengewe mnara kabisaa😊Hofu ya wanaume dhidi ya x wa mke ni kubwa mno. kwa sabab mwanaume anaweza kuvumilia kila kitu isipokuwa kushare mke
Ukweli mtupu...nina mihela na de libolo lina ufanisi wa 100% single maza wa nini wakati walimbwende wanajigonga gonga kwangu ni mie kuamua nachukua yupiHapa nazungumzia hawa single mother's wa mwendokasi ambao hawajawai kuwa na ndoa na waliowazalisha wapo
Hawa single mother's wa mwendokasi most wao ndio waliachwa na kama wao ndio waliwaacha waliowazalisha basi waliwaacha kwa sababu za kijinga
Mwanaume yoyote yule hawezi kumuacha mwanamke mwenye akili,Sasa kama mwanaume mwenzio kamzalisha alafu akamiacha
Je kwanini alimuacha ?
Wewe una akili kuliko aliyemzalisha ?
Mwanaume kamili hawezi kuchukua mtumba aliyakuwa kitu kipya kipo
Makapukula ndio wanaongoza kutoka na single mother kwa sababu ya kufata maslahi na si upendo
Mwanaume asiye na mapungufu yoyote hasa ya kiuchumi,kiafya,kiumbo hawezi kuoa single mother
Ukiona mwanaume kaoa single mother jua HAJIAMINI na TAHIRA
Kuoa single mother ni kusababisha migogoro mikubwa baadae hasa kwenye urithi
na swala la urithi wa mali na umiliki mali. Hebu wazia umekutana na mwanamke ana watoto labda wawili halafu mkaanza kuyajenga pamoja. Baada ya miaka kadhaa mtoto akikua na kupata uelewa kuwa wewe si baba yake Utakubari awe MRITHI WA MALI ZAKO ??
Ushauri
Single mother Tafuteni hela angalau mpate mario maana mwanaume mwenye kila kitu hawezi kukuoa
Acheni Gubu kuolewa tu ukiwa single mother ni msaada tosha
Msibague wanaume ukipata mlevi sawa ukipata mfupi sawa ukipata wa dini tofauti na yako single mother badilisha haraka dini uolewe kwani nafasi zenu ni Finyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanajifunza baada ya kuliaUsioe li mwanamke lililomshinda mwanaume mwenzako lakini kawaida ya kenge huwa hasikii Hadi aone damu inatoka maskion
Endelea kujipa moyo utaitoa milio ya ambulance wiu wiu[emoji603]
Sawa single mother.wangu kabla sijaolewa alikua anatoa 50 ya matumiz kila mwezi cm anapiga akijisikia unaweza mbep Mara kumi anakujibu unashida gani?
Nilipompata wangu huyu akaanza cm za kila Mara nikamuuliza ni hii elf 50 tu au unakingine??
Nikamwambia mtoto akikua atakutafuta kuku ww nikamblock kila mahali ninamiaka 2 Sasa sijui hata kafia wapi namshukuru Mungu namudu malezi ya mtoto wangu na huyu baba nikikwama hana tatizo kwa mtoto ananisapot...
Acha tu nimpende huyu baba pamoja na mapungufu yake kanitoa mbali ...
Tatizo msimamo,ndo shida inaanzia hapo,mtu anazalishwa,anabahatika anaolewa,yule aliyemzalisha anaendelea kumla na wakati alimkataa akaoa mwanamke mwingine kwa kigezo cha kuna wanawake wa kuoa na wakulala nao tu.Wanawake wangekua na misimamo,wangependwa sana,hii inapelekea kuwajumuisha wote kwa MWANAMKE MWENYE MTOTO HAFAI KUOLEWA.Kutokua na misimamo ndo unakuta mtu anazalishwa hadi watoto wa4 baba tofautitofauti,na wote wakitaka show wanapewa kwa nyakati tofautitofauti.Ex achana nae,dili na uliyenae aliyekuheshimisha.Baadhi ya wanawake ni wajinga sana.Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Tt
Tatizo msimamo,ndo shida inaanzia hapo,mtu anazalishwa,anabahatika anaolewa,yule aliyemzalisha anaendelea kumla na wakati alimkataa akaoa mwanamke mwingine kwa kigezo cha kuna wanawake wa kuoa na wakulala nao tu.Wanawake wangekua na misimamo,wangependwa sana,hii inapelekea kuwajumuisha wote kwa MWANAMKE MWENYE MTOTO HAFAI KUOLEWA.Kutokua na misimamo ndo unakuta mtu anazalishwa hadi watoto wa4 baba tofautitofauti,na wote wakitaka show wanapewa kwa nyakati tofautitofauti.Ex achana nae,dili na uliyenae aliyekuheshimisha.Baadhi ya wanawake ni wajinga sana.