Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
I see wewe mgumu sana kuelewa nimekueleza toka mwanzo mimi siyo UNICEF, mtoto mwenye nafasi ya kusaidiwa na mimi ni yatima tu au kama ninamahusiano na mama yake na baba yake kafa.

familia zetu za kichovu tunajuwana sana kila mtu anaecomment hapa kwenye ukoo wao kuna watoto wanaohitaji msaada, why nikatafute sifa za kijinga kusomesha mtoto wa mtu?

hell no kama kupata mwanamke wa kuoa ni shida kwako ni bora uanze ratiba ya kula lunch mchana kwenye canteen za ifm na cbe na uwe good church attendant kwa christian utapata fresh one asiyekuwa na complication zote hizo.

Hitimisho: single mother na aolewe na single daddy. huu ndio ukweli hutaki unaacha.

kuna watu waajabu sana mkuu.
Yaan mwanamke kwa starehe zake na kiherehere chake na minyege yake akawa anavuavua hovyo chupi huko kisa tu kaahidiwa chips kuku na soseji hakujua kuwa kuna mimba? Hakujua kuna kuolewa? Leo amezalishwa huko anataka et mm ndio nimuoe kudadek peleka kulekule alikokuwa anatanua miguu alaaa! Nataman hata kuyazima makofi ningekuwa nawaona aaaaghrrrr!
 
I see wewe mgumu sana kuelewa nimekueleza toka mwanzo mimi siyo UNICEF, mtoto mwenye nafasi ya kusaidiwa na mimi ni yatima tu au kama ninamahusiano na mama yake na baba yake kafa.

familia zetu za kichovu tunajuwana sana kila mtu anaecomment hapa kwenye ukoo wao kuna watoto wanaohitaji msaada, why nikatafute sifa za kijinga kusomesha mtoto wa mtu?

hell no kama kupata mwanamke wa kuoa ni shida kwako ni bora uanze ratiba ya kula lunch mchana kwenye canteen za ifm na cbe na uwe good church attendant kwa christian utapata fresh one asiyekuwa na complication zote hizo.

Hitimisho: single mother na aolewe na single daddy. huu ndio ukweli hutaki unaacha.

Let me ask u one thing we so called mtakatifu
We bikra?
Kama sio bikra hao uliotembea nao/uliowahatibu wengine leo si wake za watu?
Kwann hukuwaoa?(there must be areason mpaka mkaachana)
Unaweza kuwabokoa tena ?(wengine unaweza)
obvious wengI wao huwez kuomba hata "friendlymatch " y ?sababu wameamua kuheshim ndoa zao sababu now wapo happy na ndoa zao
The thing is u don't wanna marry single mom fine but don't disrespect them because ww na mm ndo moja ya wachafuzi wenyewe
No offence but u acting.like an idiot kwa kweli
Hakuna anayekulazimisha kuwaoa single moms
Hakuna anayekulazimisha kuwaona ni haki kuwatunza au kulea wanae but deep down if u decide To marry a single mom the best shot u get is "kumfanya mwanae aishi according to the standard and mfumo Wa maisha yako
Kosa kubwa ni kufanya Huduma za mtoto ziendelee kutoka kwa baba yake
 
Haya ninayoongea sio kwamba nawavamia Vaislay na Morg peke yao hata dada yangu wa mwisho alipata mimba akiwa kidato cha tatu wakat baba yangu na uzee wake alikuwa anamlipia ada zaidi ya mil1 nikasimamia hlo varangati wakat mzee anampa notice za kumwondoa ktk orodha ta watoto wake na kumfukuza aende anakokujua yeye hata mm nilikubali na kumuunga mkono baba kwasababu aliifedhehesha familia na kuidhalilisha akafie mbele huko na umalaya wake nyamaaf
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri ni baada ya kuachana kwao. Ila Yule mdada alimezwa Kabisa hata leaders kwenye picha za blog hakupewa introduction km mke wa marehemu. Mtoto aliyekuwa anatajwa ni wa monalisa Wakati Yule mke wa sasa Ana mtoto pia....lazima alijisikia vibaya

walimwengu hawapo fair..........
 
kuna watu waajabu sana mkuu.
Yaan mwanamke kwa starehe zake na kiherehere chake na minyege yake akawa anavuavua hovyo chupi huko kisa tu kaahidiwa chips kuku na soseji hakujua kuwa kuna mimba? Hakujua kuna kuolewa? Leo amezalishwa huko anataka et mm ndio nimuoe kudadek peleka kulekule alikokuwa anatanua miguu alaaa! Nataman hata kuyazima makofi ningekuwa nawaona aaaaghrrrr!

taratibu tu tutaelewana hapa hapa, hii topic mpaka tupate conclusion maana hizi mada tumezichoka kila siku zinajirudia, ni lazima ukweli usemwe ili anakwenda kupanuwa kiholela k yake kabka hajaolewa ajuwe wazi kabisa kifuatacho itv ni nini, na nini mtazamo wa wanaume walio wengi.

maana sasa hivi kuzaa kabla ya ndoa imegeuka kuwa fasheni, mtu upo kwenye siku za hatari mwanaume anakudanganya atakojolea nje alikudanya nani mwanaume wa kiswahili achomoe boro akojoe nje? sasa kwa wale ambao bado mko fresh someni thread kama dibaji kwenu.
 
Huyu anataka kutuambia alizaa ili ajipime kama ana kizazi ndo aolewe. That is nonsense. Akubali tu alilikoroga Anataka kutuaminisha wanaume tuoe wake wenye watoto kwasababu wana uzao. shit!

Oa kwa sababu unampenda na umepata kibali kwa Mungu.Kuoa au kutooa kwako kusiwe na vigezo kwa kuwa ni bikra au single mom.Haviendi hivyo
 
Let me ask u one thing we so called mtakatifu
We bikra?
Kama sio bikra hao uliotembea nao/uliowahatibu wengine leo si wake za watu?
Kwann hukuwaoa?(there must be areason mpaka mkaachana)
Unaweza kuwabokoa tena ?(wengine unaweza)
obvious wengI wao huwez kuomba hata "friendlymatch " y ?sababu wameamua kuheshim ndoa zao sababu now wapo happy na ndoa zao
The thing is u don't wanna marry single mom fine but don't disrespect them because ww na mm ndo moja ya wachafuzi wenyewe
No offence but u acting.like an idiot kwa kweli
Hakuna anayekulazimisha kuwaoa single moms
Hakuna anayekulazimisha kuwaona ni haki kuwatunza au kulea wanae but deep down if u decide To marry a single mom the best shot u get is "kumfanya mwanae aishi according to the standard and mfumo Wa maisha yako
Kosa kubwa ni kufanya Huduma za mtoto ziendelee kutoka kwa baba yake

wewe lets call it a day, watoto wa mramba wasomeshwe na mkapa wakati mramba yupo na ana pesa kama njugu hivi wewe wa wapi?

hivi mzee mengi akimpiga kibuti klyn wewe una jeuri ya kumwambia kyln eti nimekuoa hakuna kuchukuwa pesa kwa mengi kutunza mapacha wake? hivi wewe ni mzima kweli?
 
Watu wengi wanachukulia single momz kama hawana umuhimu tena na hawafai katika mahusiano. Siku hizi wanaume wengi ambao hawajakuwa na watoto utasikia wakisema "Mimi mwanamke wenye mtoto simtaki amechoka na amekongoroka kabisa huyo"

Kumbuka hapa kuna wanawake wengine hata ukikutana nae na asipokuambia ana mtoto huwezi jua, anajipenda na ni mrembo wa kuvutia na mwenye maendeleo.

Wanaume wengi sana wanaona hana thamani, na wengine kusema ni wameshindikana walikotoka yaani na jaamaa aliyezaa nae.Tukumbuke NOT EVERYMAN MEANT TO BE A DADY, kuna wengine ni waharibifu tu, pengine pia tofauti za maisha zinazotokea zinapelekea yote hayo kutokea, Watu hawaelewi...

Single moms haimaanishi hawatakiwi kuwa na mahusano mengine mapya labda na mwanaume ambaye hana mtoto, wengi hudhani ukijitumbukiza hapo basi utalea mtoto.

Jamani kuna watu wanauwezo wa kutake care ya watoto wao bila msaada, jiulize kabla yako nani alikuwa anamsaidia kama sie mwenyewe. Ni faraja na upendo tu anahitaji kutoka sehemu nyingne.

Hawa watu haimaanishi waolewe au wawe na mahusiano na wanaume ambao nao wanawatoto...eti sababu wasaidane kulea... Tena na zile familia zikisikia kijana anasema "nina mwanamke ila ana mtoto" moto unawaka, jamani jamani? Huu si ubaguzi lakini?

Mwenye mawazo hayo wewe ni katili na mbinafsi kabisa. Na ndo maana inafikia hatua wanaume mnafichwa mnakuja kutambua kwamba ana mtoto imepita hata miaka 10, halafu unalaumu oooh hakuniambia. Hakukuambia kwasababu anajua mtazamo wenu kwao...

Mimi naomba tu niwaambie ndugu Kaka zangu, wadogo zangu, Mwanamke aliyezaa ni sawa na wengine tu, tena bora yeye kazaaa anajua ana kizazi, kuliko hao wasiozaa na wanaokesha kila siku kutafuta watoto kwa waganga..

Mimi mwenyewe ni mfano mzuri, nimepata unyanyasaji sana na wanaume, pale nilipokuwa nawaambia nina mtoto, wengine walishia kimya kimya, wakidai eti tuna kawaida ya kupasha kiporo na mzazi mwenza HIYO NI UONGO NA FIKRA MBOVU ZA WATU
Na kamwe sikuweza kuficha kama sina mtoto kwasababu najua nini maana ya mtoto. Mtoto ni zaidi ya thamani ya vitu ulivyonavyo ndani...
Tena wanawake ambao mmekutana na haya wala msifiche ukweli, Mwanaume akikimbia ujue mungu kakuepushia jambo.

WANAUME HEBU TOENI NA MBADILIKE NA HIZO IMANI AMBAZO SIO...

Ni sawa na gari tu ukishaiweka plate no hata kama ndo umeitoa showroom mda huo huo bei utakayouza sio uliyonunulia!na hata mwanamke ukishazaa thamani haiwezi kuwa ile ile kabla hujazaa!!single motherz wengi wanahangaika kutafuta waume wakuoa hivyo hujikuta wanaishia kuchezewa na wanaume lukuki...na wengi wanapobahatika kuolewa basi utakuta wale wanaume waliowazalisha wanaanza kurudi tn wanataka mgegedo.
 
taratibu tu tutaelewana hapa hapa, hii topic mpaka tupate conclusion maana hizi mada tumezichoka kila siku zinajirudia, ni lazima ukweli usemwe ili anakwenda kupanuwa kiholela k yake kabka hajaolewa ajuwe wazi kabisa kifuatacho itv ni nini, na nini mtazamo wa wanaume walio wengi.

maana sasa hivi kuzaa kabla ya ndoa imegeuka kuwa fasheni, mtu upo kwenye siku za hatari mwanaume anakudanganya atakojolea nje alikudanya nani mwanaume wa kiswahili achomoe boro akojoe nje? sasa kwa wale ambao bado mko fresh someni thread kama dibaji kwenu.

kweli kabisa wanakera sana kupanua upanue yeye na jamaa yake huko halafu kulea wakuletee mm na ww eti ndio tulee ushenz gani huu!!
Hawaon hata haya kulalamika et hatuolewi! Mfuate uliyekuwa unampanulia na kumkatikia ndio akuoe......

Hapa ninayeweza kumwonea huruma ni mjane tu huyo naweza kumfikiria pengne hata kulea mwanaye.
Kwanzia sasa mkome kulakula hovyo vya watu na mkome kupanuapanua hovyo mmezidi kutujazia watoto wasio na baba kisa tu mitamaa yenu. Kama umezalishwa mgande aliyekuzalisha akuoe vingnevyo utakuwa mtu wa kugalagazwa hata na watoto wadogo
 
kweli kabisa wanakera sana kupanua upanue yeye na jamaa yake huko halafu kulea wakuletee mm na ww eti ndio tulee ushenz gani huu!!
Hawaon hata haya kulalamika et hatuolewi! Mfuate uliyekuwa unampanulia na kumkatikia ndio akuoe......

Hapa ninayeweza kumwonea huruma ni mjane tu huyo naweza kumfikiria pengne hata kulea mwanaye.
Kwanzia sasa mkome kulakula hovyo vya watu na mkome kupanuapanua hovyo mmezidi kutujazia watoto wasio na baba kisa tu mitamaa yenu. Kama umezalishwa mgande aliyekuzalisha akuoe vingnevyo utakuwa mtu wa kugalagazwa hata na watoto wadogo

Stop right there.

Umetumia lugha flani ya dharau kama umeshikiwa bango uoe single lady.

Ngoja nikuambie, I am a married womam but I have all the respect for single moms. It aint easy.

And being single does not mean you were loose or a husband snatcher. It means you are single because life made ypu single and you will not cry over spilt milk.

Instead you will pick the pieces, wipe off the dust and strive to make it work so that your kids will have the best to your ability. You were down, but certainly never out of the boxing ring.

Look around you, how many world leaders were brought up by single mamas?

This thread is not a cry out of desparity for marriage. It is an attempt by a single to try and educate people on the woes they go through as a result of their status by your type.

So take a breath and vamoos.

Bravo to all the single ladies in the world.
 
Semeni yote mnayotaka kusema, lakin mim nitakuwa wa mwisho kuoa mwanamke aliezaa na mwanaume mwingine.

kupita kwenye njia yenye miiba nyakati za usiku, wakati uliiona mchana, utakuwa mjinga wa millenia..

Well said mkuu, lakini angalia kwa upande mwingine ikiwa wewe ulishakuwa na mtoto na mwanamke mwingine, je huyo mpenzi wako akubali kuolewa na wewe au naye awe wa mwisho kuolewa na mwanaume mwenye mtoto before mariage?
 
Hapa naona wanawake wengi wanatetea single Mom,

Lakini hakuna mtu mwenye dharau kama mwanamke....wanawake wengi walio-olewa wana wadharau sana wenzao single Moms na kuwaona as if ni Ma.la.ya fulani hivi. Anzeni kubadilika nyie kwanza, then na sisi wanaume tutabadilisha attitudes zetu na tutaoa hao single moms.
 
Kitu kingine inakuwa noma..yaani unakuta mtu single mom, ana miaka 34 au 35 bado anakuwa na masharti kibao..yaani mwanaume inakuwa kama unaomba kazi..lol,

Badilikeni..legeza masharti..cha msingi upendo tu basi..mtaolewa...Punguzeni vigezo
 
Kitu kingine inakuwa noma..yaani unakuta mtu single mom, ana miaka 34 au 35 bado anakuwa na masharti kibao..yaani mwanaume inakuwa kama unaomba kazi..lol,

Badilikeni..legeza masharti..cha msingi upendo tu basi..mtaolewa...Punguzeni vigezo

Hahahahaha....kwa hiyo kama umri umeenda ndo achukue scraper? Hapana kwa kweli...
 
Sikubaliani na wewe kabisaaaa wanarudianaga hawa kisingizio babawatoto wako wa zamani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom