Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,333
- 17,873
haya turudi kwenye mada, kuna jamaa langu moja nililisindikiza kwenye send of ya step daughter wake kufika kule yeye nimekaa nalo viti vya waalikwa hightable kakaa mke wake na mzazi mwenzake hii ilinipa tabu kidogo kwenye kulishwa keki na kuinamiana kuteta ya hapa na pale wazazi wenza, jamaa langu nililiona kama linataka kupasuka halafu limzazi mwenza sijui ndio patner wa yule singasinga wa escrow limetowa funguo ya gari pale pale zawadi ya bibi harusi.
aisee hii haikubaliki hata kidogo.......what an awkward situation
Anyway hili tunaweza kuliangalia kwa muktadha wa kwamba huyo mume hakuweka msimamo toka mwanzoni wa jinsi malezi yatavokuwa...nina mifano pia ya mabinti ambao wamekuwa upande wa step father wao ije mvua ije jua...hapo alitakiwa akae baba yake aliyemlea uyo mzee wa escrow anakuwa kama mwalikwa tu.....