Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
Huyu anataka kutuambia alizaa ili ajipime kama ana kizazi ndo aolewe. That is nonsense. Akubali tu alilikoroga Anataka kutuaminisha wanaume tuoe wake wenye watoto kwasababu wana uzao. shit!

...it's nonsense kabisa...ati " niko relationship lakini bf hataki Tuoane hadi nimzalie" Na wewe unajishikisha mimba... Nikisikia statement hiyo toka kwa mdada namshangaa sana..
 
Inaonekana bado kuna stigma kubwa sana na single moms, hadi watu wanashindwa kuangalia upande wa pili wa sarafu. Na hii stigma inawafanya baadhi ya wanawake kung'ang'ania failed relationships kwa kuogopa kuwa single parents. Unaongeleaje wale ambao wamekuwa single parents labda baada ya kuwa in an abusive relationship wakaamua kutoka, na wale waliobakwa na kutelekezwa je? sizani kama wote ni wabaya Tatizo ni hawa ambao wamezaa na waume wa watu, au wale waliozaa na watu wenye pesa na kutumia watoto wao kama mitaji. Everybody deserves a second chance in life, na kila mtoto anahitaji father figure Single moms don't lower your standards just to be with anybody, you deserve better

I owe u nothing than respect
 
watu wengi wanachukulia single momz kama hawana umuhimu tena na hawafai katika mahusiano. Siku hizi wanaume wengi ambao hawajakuwa na watoto utasikia wakisema "mimi mwanamke wenye mtoto simtaki amechoka na amekongoroka kabisa huyo"

kumbuka hapa kuna wanawake wengine hata ukikutana nae na asipokuambia ana mtoto huwezi jua, anajipenda na ni mrembo wa kuvutia na mwenye maendeleo.

Wanaume wengi sana wanaona hana thamani, na wengine kusema ni wameshindikana walikotoka yaani na jaamaa aliyezaa nae.tukumbuke not everyman meant to be a dady, kuna wengine ni waharibifu tu, pengine pia tofauti za maisha zinazotokea zinapelekea yote hayo kutokea, watu hawaelewi...

Single moms haimaanishi hawatakiwi kuwa na mahusano mengine mapya labda na mwanaume ambaye hana mtoto, wengi hudhani ukijitumbukiza hapo basi utalea mtoto.

Jamani kuna watu wanauwezo wa kutake care ya watoto wao bila msaada, jiulize kabla yako nani alikuwa anamsaidia kama sie mwenyewe. Ni faraja na upendo tu anahitaji kutoka sehemu nyingne.

Hawa watu haimaanishi waolewe au wawe na mahusiano na wanaume ambao nao wanawatoto...eti sababu wasaidane kulea... Tena na zile familia zikisikia kijana anasema "nina mwanamke ila ana mtoto" moto unawaka, jamani jamani? Huu si ubaguzi lakini?

Mwenye mawazo hayo wewe ni katili na mbinafsi kabisa. Na ndo maana inafikia hatua wanaume mnafichwa mnakuja kutambua kwamba ana mtoto imepita hata miaka 10, halafu unalaumu oooh hakuniambia. Hakukuambia kwasababu anajua mtazamo wenu kwao...

Mimi naomba tu niwaambie ndugu kaka zangu, wadogo zangu, mwanamke aliyezaa ni sawa na wengine tu, tena bora yeye kazaaa anajua ana kizazi, kuliko hao wasiozaa na wanaokesha kila siku kutafuta watoto kwa waganga..

Mimi mwenyewe ni mfano mzuri, nimepata unyanyasaji sana na wanaume, pale nilipokuwa nawaambia nina mtoto, wengine walishia kimya kimya, wakidai eti tuna kawaida ya kupasha kiporo na mzazi mwenza hiyo ni uongo na fikra mbovu za watu
na kamwe sikuweza kuficha kama sina mtoto kwasababu najua nini maana ya mtoto. Mtoto ni zaidi ya thamani ya vitu ulivyonavyo ndani...
Tena wanawake ambao mmekutana na haya wala msifiche ukweli, mwanaume akikimbia ujue mungu kakuepushia jambo.

Wanaume hebu toeni na mbadilike na hizo imani ambazo sio...

Swali lolote linakaribishwa... Asanteni

binafsi sioni shida kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye mtoto ila huwa nina hofu ya kama vitu vitatu hivi:
1.kuhusu mzazi mwenzako,mapenzi kitu cha ajabu sana,leo mmetengana kesho mnaweza pasha uporo kama ulivyodai.
2.linapotokea suala zima la mambo ya kijamii,mfano,mtoto kafariki au anaoa au kuolewa,itabidi wazazi wake yaani wewe na mzazi mwenzako ndo mkae pamoja,sasa mimi nikiwa kama mume wako katika shughuli nzima inakuwaje?huwa najiskia vibaya.
3.haijalishi mtoto anakaa wapi,aidha kwangu au kwa baba yake mzazi,but ikitokea shughuli kama birthdays au gradu ceremonies,ni aidha uende kwa mzazi mwenzako mkasherekee au mzazi mwenzako aje nyumbani kwangu tusherehekee.i don't feel comfortable with this but otherwise mwanamke ni mwanamke tu,awe amezaa au hajazaa thamani yake iko pale pale
 
ndio maana nakuhtaji ww uwe mother house wangu?!
..........unajua badiebey nafkiri niliwahi kuandika uzi mmoja hivi unahusu dada aliyenikataa wakat namtaka tena kwa kudhalilisha lakn baada ya mda akazalishwa na jamaa huko halafu et anakuja kwangu kutaka nimuoe wakat anamtoto wa mwanaume mwingne. Aisee ninahasira na baadhi ya wanawake wanaendekeza umalaya halafu baadae wanajifanya watulivu et ilikuwa bahati mbaya

polehhh...kwa situation kama yako una haki ya kukasirika....
Ila kuna wadada wengine single moms baba watoto walikataa mimba na hawakutaka kuzitoa
 
Last edited by a moderator:
Umegusia kitu hapo mkuu. Haimasnishi kuwa aliye single mama hajawahi kutoa mimba, tumeshuhudia wadada kedekede wakisema " mhh mimba hii sitoi, nimetoa nyingi ngoja nizae sasa coz nikicheza hapa naweza nisipate mimba tena" ....wapo wengi sanaaa!!

watu wanajidanganya kuwa waliozaa nyumban ndio hawajatoa mimba ila kumbe ndio makokp yaliyokuwa yameshindikana.
1)....wapo waliozaa baada ya kuona wametoa mimba nyingi sana na wakaogopa kuharibu kizaz na kuwa tasa,
2)...wapo waliozaa baada ya mimba kugoma kutoka,
..............vile vile msikariri kuwa kila mwanamke aliyezaa basi anakizazi umkurupukie kuoa kwavile unauhakika kuwa alishawahi kuzaa kumbe mayai yameisha.
....suala la kutoa mimba na kuzaa hyo ni siri yao na Mungu wao....
...........UKWELI UNABAKI PALEPALE HATA MJIKOSHE VIPI,.............
 
ukisikia utoto ndio huu unaoleta wewe, usifikiri kila waliozaa hawajaoana kwa sababu hawapendania, umri wako bado mdogo ndio maana unadandia vitu kama treni tu.

kaa duniani kwanza uijuwe dunia unadhani aliyetaka kumuoa Vicky kamata hakujuwa kama Vicky ana watoto? mjinga sana wewe acha kuparamia vitu kabla ya kupata historia ya mtu ni kwa nini yupo kama ulivyomkuta?

mimi kamwe siwezi kusomesha mtoto wa mwanaume mwrnzangu over my dead body, mimi siyo UNICEF na kama huruma natoka familia yenye maskini wengi tu ambao nao wanahitaji msaada.

I only understand to care mtoto/watoto ambao baba yao amekufa au hajurikani na ndio maana kuna watoto wanatumia ubini ea mama zao.

hivi demu limezaa na ndama mutoto ya ng'ombe eti wewe ndio ujifanye ndio baba eti unamsomeshea mtoto ipo siku utapigwa boro wewe na huyo uliyedhani ni mke wako. ujinga mwingine hauitaji degree kujiepusha nao. zaa mtoto wako, achana kabisa na damu ya mtu mwingine?

nyinyi watoto viboro dinda kuna wakati lazima tutumie kauli kali kuwaweka kwenye mstari kwa sababu hamna akili mnaongozwa na nyege tu,

ngoja nikupe mkasa mdogo sana my first born alipozaliwa baada muda alipata matatizo ambayo hayana tiba hospital bali yalihitaji mila na kumponya ni shangazi mtu ambaye ni dada yangu na picha mimi na yeye haziivi kabisa, kwakuwa yeye ndio alikuwa amebaki Tanzania na yuko mkoa ilibidi nimtumie ticket ya ndege return ili aje na kweli alichoelekezwa kufanya kilimponya my first born na tangu siku hiyo huyu dada ni mdogo kwangu nilimaliza beef naye na tunacheka mpaka kesho maana sikuwahi kuamini kama kuna siku ningemuhitaji maana mkubwa wake ambaye ndio tunaiva sana yuko Germany, ilikuwa ni gharama kubwa kumleta kwa kitendo cha dakika 10 tu.

hapa jf kuna watu mahodari sana kuropoka emotion zao lakini hawana life experience. nawasikilizaga sana hata wanabongo fleva wakiambiwa watoe shukrani utawaskia tu kwanza mwenyezimungu pili mama yangu, majinga mengine hayajuhi hata baba zao kwamba walifungwa jela ili yeye na mama yake wapate matunzo mema.

So hayo matusi yote kisa mm kusema kama nikioa single mom mwanae lazima aishi standard ya maisha wanangu wanaishi?
Sa nani mtoto hapo?
Trying to be positive for what I see ndo yanaleta matusi yote hayo?
Besides hyo story yako ya shangaz inahusika nn na single moms?
Ni kweli wazazi wengi tu wamejisuctifise kwenda jela Ili watoto wao waishi salama but husemi wamama kibao wamegeuka makahaba ili watoto wao waweze kukua salama?
Let's stop being selfish aisee hutaki kuoa single mother that's cool is nobody business ts uaz but once u fall in love with a single mother take care of her child na utaishi bila presha
 
Mkuu #kaizer nimependa huu ujio wallah
Mungu akubariki sana
Tungeku around last night hope the rest of the round kwenye viti viref ingekua juu yangi aisee
Personally sijalelewa nasingle parent(single mom) but nimekuzwa mazingira ambayo my mom (was single mom before married to my dad)
So u have seen the hustle of my mom to reject all the connection from the guy kwa heshima ya mumewe(my dad)
Tumeish maisha ya aina moja na hakuna matabaka (btn us and our step bro) japo baba yake was loaded back then but sababu ya rules ambazo walijiwekea kabla ya kuoana
" .so matunzo, matibabu, ada na kila kitu chake ni juu baba Yang
baba yake hakuwa na right ya kuingilia mahusiano kwa kigezo cha mtoto...even when the guys was 18+ we still had him tunarudi pale pale .logic ni very simple kwamba alishafeli from the beginning ndo maana hawapo pamoja, na hata kama ana uwezo kuliko my dad ni kwamba wote tuliishi kwa mfumo na standard ya maisha na uwezo Wa baba na sio vinginevyo. Hayo mambo walishakaa na kusort out kabla ya ndoa ili kuepusha migogoro na perception kama hizi baadaye."

My take is
I don't appreciate single mums just because my mom was
I appreciate and respect single mums because of 3 to 4 reasons
1-they are God fearing (they could have done abortion)
2- they are strong,raise a child alone trust me is an issue hata kama u r that loaded(wangap wametupa watoto)
3-they are inspiration to young girls(nieleweki sitetei kuzaa mapema but at least ni bora kuzaa kuliko kuchoropoa au kutupa mtoto)
4- my father showed me away just the same as #mentor and chief #kaizer said
U wanna marry a single mum u marry with her kid so ishu zote u handle by uaself no connection btn her and her ex
God bless my dad God bless all single mums out there

Very well said gwijimimi....you can extend your offer to the evening u know...
 
Last edited by a moderator:
Nmeona kuna baadhi ya wanaume humu wanaongea kwa kujikosha kwa wanawake waliomo humu ili waonekane wanabusara kumbe ni unafiki tu.
Wanajifanya wanawapenda au wanawasapport single moms kumbe sio ni unafki tu.
............kama mnawapenda hao single moms mbona hamuwaoi?
.......... Na wote kati ya waliosapot single moms hakuna hata mmoja liyeoa single moms.
........miongon mwenu mnaosapot single moms ndio mliosababisha hizo mimba na mmewatelekeza na kuoa ambao hawajazalishwa.
......penye ukweli ongelea ukweli sio kumvisha mtu kilemba cha ukoka.
..............wanawake mm nawaambia kitu kilicho kweli hata nyinyi ambao hamjazaa. Mwanamke ukizallishwa nyumban tambua kuwa umeshapoteza % zaidi ya 90 za kuolewa.
Sisi wanaume hata kama tukiwapenda lakn kunakuwa na upinzan mkubwa kutoka familia zetu na ndg na jamaa na inakuwa kama fedheha hilo mlitambue.
......labda utaolewa na mwanaume mzee aliyefiwa na mkewe ili msaidiane kulea familia, au hata kijana mwenye watoto nje.
............japo Vaislay Morg na Sista na wengneo mtanichukia kwa kauli yangu lakn huo ndio ukweli.
Hao wanaojifanya kuwatetea hakuna hata mmoja aliyeoa single mom.
 
Last edited by a moderator:
Very well said gwijimimi....you can extend your offer to the evening u know...

Hhhehehehehe no kidding mkuuu
Chagua Kiwanja
U deserve t mkuu is at least the least I can do for positive mind like u
 
Last edited by a moderator:
Ninaheshimu sana single mothers ila nao waheshimu ambao hawajazaa nje ya ndoa kwa kutowasingizia abortion kwani hao single mom kuzaa kunawaondolea kutotoa mimba zingine? Ni ukweli kuna ambao hawajazaa na wametoa mimba pia wapo ambao hawajatoa hivyo hivyo kuna single mom wamezaa lakini pia wametoa mimba pia kuna ambao wamezaa na hawajatoa. Hili swala ni sawa na wanaume wanywa pombe na wasio wanywaji, utakuta wanywaji husema ooo wanaume wasiokunywa pombe ni viwembe maana sitarehe yao kubwa ni wanawake kitu ambacho si lazima maana barmaids wote huondoka na walevi dakika za lala salama maana pombe huambatana na wanawake kwahiyo ni pote hakuna upande unapenda zaidi wanawake bali tabia ya mtu binafsi

Hahahaha....kuna ukweli fulani hapo maana kuna single momz wengine wali-attempt kutoa mimba zikawagomea kutoka wakajikuta wamekubali kuzaa kwa shingo upange. Hata singles nao wapo mabikra, wa kati na waliokongoroka...... cha muhimu kila mmoja apewe respect yake pale alipo....tusimhukumu kwa lolote kama hatujui historia zao..... Binafsi huwa napenda kuamini kile ninachokiona....kwangu mimi ni mwiko ku-assume na kumjudge mtu kwa mazoea....kama umempenda mtu mpende tu yeye kama yeye...
 
Nmeona kuna baadhi ya wanaume humu wanaongea kwa kujikosha kwa wanawake waliomo humu ili waonekane wanabusara kumbe ni unafiki tu.
Wanajifanya wanawapenda au wanawasapport single moms kumbe sio ni unafki tu.
............kama mnawapenda hao single moms mbona hamuwaoi?
.......... Na wote kati ya waliosapot single moms hakuna hata mmoja liyeoa single moms.
........miongon mwenu mnaosapot single moms ndio mliosababisha hizo mimba na mmewatelekeza na kuoa ambao hawajazalishwa.
......penye ukweli ongelea ukweli sio kumvisha mtu kilemba cha ukoka.
..............wanawake mm nawaambia kitu kilicho kweli hata nyinyi ambao hamjazaa. Mwanamke ukizallishwa nyumban tambua kuwa umeshapoteza % zaidi ya 90 za kuolewa.
Sisi wanaume hata kama tukiwapenda lakn kunakuwa na upinzan mkubwa kutoka familia zetu na ndg na jamaa na inakuwa kama fedheha hilo mlitambue.
......labda utaolewa na mwanaume mzee aliyefiwa na mkewe ili msaidiane kulea familia, au hata kijana mwenye watoto nje.
............japo Vaislay Morg na Sista na wengneo mtanichukia kwa kauli yangu lakn huo ndio ukweli.
Hao wanaojifanya kuwatetea hakuna hata mmoja aliyeoa single mom.
Wewe ni Mungu wa dunia,Hosana hosana
Kama ni Mungu huyu aliyejuu kila mtu anamwabudu,Bado hujasema kitu,yeye anauweza kuliko mwanadamu,Binadamu uwezo wako ulikoishia yeye ndo anaanza..
Nakuombea kuanzia leo,kwa huyu Mungu naye muabudu mimi,akuongoze maisha yako,asife babako mama yako akabaki kutwa single mama,wala ukioa mkeo asife ukabaki kuitwa single baba,
Maisha yakunyookee uliwazalo litimie.
 
Kiroho safi, wife lazima awe new brand....mambo ya kukuaga anaenda kuonana na baby dad wake, hell No.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
I have three kids, na ni majuzi tu, kuna mtu alinipendaaaaaaa na hakujali issue ya watoto, ten anilimdanganya am divorced, mbona alikwenda ofisini kwa dad wangu kutak akutoa posa, baba nusu aaanguke kwa kiifafa maana anajua bado mie ni muke ya mutu!

Nataka kukwambia dadangu kuwa na subira, na wote mlio single moms, wanaume wapo, tena wa maana tu, imagine tena huyo kaka tumepishana mwaka tu, na amedata mbaya, hataki kuamini that am married!

utakuwa mtamu sana.........
 
Wewe ni Mungu wa dunia,Hosana hosana
Kama ni Mungu huyu aliyejuu kila mtu anamwabudu,Bado hujasema kitu,yeye anauweza kuliko mwanadamu,Binadamu uwezo wako ulikoishia yeye ndo anaanza..
Nakuombea kuanzia leo,kwa huyu Mungu naye muabudu mimi,akuongoze maisha yako,asife babako mama yako akabaki kutwa single mama,wala ukioa mkeo asife ukabaki kuitwa single baba,
Maisha yakunyookee uliwazalo litimie.

mkuu unanitolea maneno hayo umeelewa statment yangu?
Toka mwanzo nilisema nawaombea wale wajane ila sio waliopata kwa kujirusha kwa upumbavu wa kutaka chips kuku,soseji na bagger. Kama ww ni mjane Mungu akuongoze na akbariki upate mume ila kama ni chips kuku na bagga basi hilo utakula na wakwenu
 
Unapozungumza single parent ni kwamba umezaa mtoto peke yako bila kupitia ndoa ukipitia ndoa mtoto atakua na pande zote mbili ubabani na umamani....hapo huwezi itwa single parents...mtoto atakua na nasabu yake...hata kama wazee wa upande mmoja hawatoi huduma.....aina hii mimi sina matatizo nayo...hata nikilea najua silei toto la zinaa..bali pengine yatima(atatia baraka nyumbani kwangu) kama mwanamke ameachika najua baba mzazi iko siku mshipa wa mwanae utamuuma tu...
 
So hayo matusi yote kisa mm kusema kama nikioa single mom mwanae lazima aishi standard ya maisha wanangu wanaishi?
Sa nani mtoto hapo?
Trying to be positive for what I see ndo yanaleta matusi yote hayo?
Besides hyo story yako ya shangaz inahusika nn na single moms?
Ni kweli wazazi wengi tu wamejisuctifise kwenda jela Ili watoto wao waishi salama but husemi wamama kibao wamegeuka makahaba ili watoto wao waweze kukua salama?
Let's stop being selfish aisee hutaki kuoa single mother that's cool is nobody business ts uaz but once u fall in love with a single mother take care of her child na utaishi bila presha

I see wewe mgumu sana kuelewa nimekueleza toka mwanzo mimi siyo UNICEF, mtoto mwenye nafasi ya kusaidiwa na mimi ni yatima tu au kama ninamahusiano na mama yake na baba yake kafa.

familia zetu za kichovu tunajuwana sana kila mtu anaecomment hapa kwenye ukoo wao kuna watoto wanaohitaji msaada, why nikatafute sifa za kijinga kusomesha mtoto wa mtu?

hell no kama kupata mwanamke wa kuoa ni shida kwako ni bora uanze ratiba ya kula lunch mchana kwenye canteen za ifm na cbe na uwe good church attendant kwa christian utapata fresh one asiyekuwa na complication zote hizo.

Hitimisho: single mother na aolewe na single daddy. huu ndio ukweli hutaki unaacha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom