Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
unakumbuka ulivyokuwa unarukaruka kama kinda la ndege ulivyokuwa hujazalishwa. Sasa hvi umekutana na vidume vya kazi vimekushona mimba umezalishwa nyumban unajifanya umetulia kumbe ni dunia imekufundisha uache kuruka ruka.
Ulifikir kula chips yai, chipsi kuku na soseji na bagga ni mchezo?
Matokeo yake ndio hayo kuzaa ukiwa nyumban
Natumai hao wote ambao hawajazaa kama sisi wametulia sana , wanawasubiri nyie tu,ndo mana pia hamlalamiki na micharuko wala magumegume..
Tulio zaa mtuache,
 
ww ndio huna uelewa unajua tupo na nani wenye msimamo huo? Nikiwataja unawaju??
Haya mm na Hamisi pamoja baba yako mdogo hatutaki kuoa single mom. Je umeridhika??
Kama ulizaliwa na single mom ww sema tu mm ntakuwa baba yko kwa kipindi hiki.
Kashfa na dharau katika maisha ya sasa hayaitajiki,bado unaishi hujajua nini kipo mbele yako,watch ur mouth
 
Mimi siwezi nikabishana na mpuuzi kama wewe kwani nitakuwa mpuuzi pia,u know nothing...

Pia mimi sio mtoto mwenzio,as u think...ninauwezo wa kulisha wewe na babako

ahahahaaaaa! Huna uwezo wa kunilisha ww hata kidogo. Mm sio mtoto kama unavyofikir na pia sio mtu mzee ila ni mtu ambaye najiweza na nina uwezo wa kukusitiri ww pamoja na mwanao pamoja jamaa yako aliyekukimbia sawa!......
Ungekuwa na uwezo ww usingedanganywa kwa chips kuku na soseji mpaka ukapata mimba.
 
I have three kids, na ni majuzi tu, kuna mtu alinipendaaaaaaa na hakujali issue ya watoto, ten anilimdanganya am divorced, mbona alikwenda ofisini kwa dad wangu kutak akutoa posa, baba nusu aaanguke kwa kiifafa maana anajua bado mie ni muke ya mutu!

Nataka kukwambia dadangu kuwa na subira, na wote mlio single moms, wanaume wapo, tena wa maana tu, imagine tena huyo kaka tumepishana mwaka tu, na amedata mbaya, hataki kuamini that am married!
 
Wewe unaweza kulea mtoto wako ila wengi wao huwa wanataka mtu awasaidie kulea watoto wao

Jamaa aliekuzalisha anaweza kuwa bado anakula tunda mkikutana hii inawatua wanaume wengi mashaka wakitaka kuoa wanamama wenye watoto

kama ndiyo hvyo tafuta mwenye bikra kabisa mana hata huyo ambaye hana akiamua kukumbushia na ex wake anakumbushia....
 
ahahahaaaaa! Huna uwezo wa kunilisha ww hata kidogo. Mm sio mtoto kama unavyofikir na pia sio mtu mzee ila ni mtu ambaye najiweza na nina uwezo wa kukusitiri ww pamoja na mwanao pamoja jamaa yako aliyekukimbia sawa!......
Ungekuwa na uwezo ww usingedanganywa kwa chips kuku na soseji mpaka ukapata mimba.
Childish boooooooooooooooooooooooooooooooooooooo:baby::baby:
 
I have three kids, na ni majuzi tu, kuna mtu alinipendaaaaaaa na hakujali issue ya watoto, ten anilimdanganya am divorced, mbona alikwenda ofisini kwa dad wangu kutak akutoa posa, baba nusu aaanguke kwa kiifafa maana anajua bado mie ni muke ya mutu!

Nataka kukwambia dadangu kuwa na subira, na wote mlio single moms, wanaume wapo, tena wa maana tu, imagine tena huyo kaka tumepishana mwaka tu, na amedata mbaya, hataki kuamini that am married!

tatizo baadhi ya wanaume wanadhani kwa kuwa hao hawataki singo mom basi kila mwanaume hataki......
 
Binafsi sioni tatizo kuoa mwanamke aliyezaa, sio kila aliyezaa basi ni mbaya, na wala sio kila single mom kazaa nje ya ndoa. Kuna sababu nyingi sana zinazopelekea kuwa single mom au dad. Na sio kweli eti wanawake ambao hawajazaa ni better than waliozaa, kikubwa ni kupendana, kuelewana, kuaminiana, kuheshimiana n.k.
 
Mimi siwezi nikabishana na mpuuzi kama wewe kwani nitakuwa mpuuzi pia,u know nothing...

Pia mimi sio mtoto mwenzio,as u think...ninauwezo wa kulisha wewe na babako

Stop fighting him hun, he ain't in your league na mwisho mtaishia kuchefuana bure, ona sasa kauli yako ya mwisho!

Proverbs 26:4 says, "When arguing with fools, don't answer their foolish arguments, or you will become as foolish as they are".

Methali 26:4 inasema, "
Usimjibu mtu yeyote mjinga kulingana na upumbavu wake, ili wewe nawe usiwe sawa na yeye".

Don't let him take you down that road my darling.
 
unakumbuka ulivyokuwa unarukaruka kama kinda la ndege ulivyokuwa hujazalishwa. Sasa hvi umekutana na vidume vya kazi vimekushona mimba umezalishwa nyumban unajifanya umetulia kumbe ni dunia imekufundisha uache kuruka ruka.
Ulifikir kula chips yai, chipsi kuku na soseji na bagga ni mchezo?
Matokeo yake ndio hayo kuzaa ukiwa nyumban
Naomba nikueleweshe kitu kimoja mdogo wangu,Single mama sio lazima awe amezaa na mtu af wakaachana,anaweza akawa hata yule ambaye kafiwa na mume analea watoto au mtoto mwenyewe..
Ukiwa unakomment base pande zote hizo mbili
 
Mimi siwezi nikabishana na mpuuzi kama wewe kwani nitakuwa mpuuzi pia,u know nothing...

Pia mimi sio mtoto mwenzio,as u think...ninauwezo wa kulisha wewe na babako

Kumbe kazalishwa huyu akiwa home?..hahahahhaha nw anajifanya anasubiri mr right..pambafuu
 
Kulea mtoto wa mwenzako no kaz inayotaka moyo na uvumilivu.
Usifikirie kutoa hela ya kula na kuvaa.
Kuna shughuli ya kumjenga kitabia hapo ndipo ugomvi unapoanzia. Unaweza kuanza kumfunza kama unavyowafunza wanao lakin yataanza maneno ya kuwa unamnyanyasa.
Mbaya zaidi akishajua ww sio babayake mzazi ndio kabisa kiburi,dharau vyote juu yako na ukiwa na mwanamke ambaye naye foolish ndio balaa atakuwa mtu wa kununa tu.
Vivyo hivyo kwa wamama wanao lea watoto wa waume zao hupatwa na majanga hayo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom