ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,626
- 119,821
Je hujawahi kuzini?au kwa kuwa mwanaume habebi mimba Ndio maana unanyoosha kidole kwa hao?
Hilo swali halina tija hapa, Na wala sijanyoosha kidole kwa single parent yeyote. Kwangu ni mtizamo tu kuwa ni vizuri nikiwa na mtoto basi nitafute kwenye mtoto ili iwe rahisi kuzounganisha familia mbili...