Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,333
- 17,873
i mean wewe ni chatu mla watu sio joka la kibisa
hahahaaa hebu usitishe watu na habari ya chatu wa arusha haijapoa?
i mean wewe ni chatu mla watu sio joka la kibisa
haipendezi bana kwani huyo ulonaye sio mzazi mwenzako?? wakat mwingne unakuta na wewe unamtoto lakini bado tu utasikia naenda kwa mzazi mwenzangu inachosha sana hii
Kaizer ni kamanda wangu, japo yupo teamB Na Mie teamR....usijali mpe company jumaa hii...si ulikataa kuja pande zangu!!
tena ndege yenyewe ile iliyopotea tulipona sisi tu
hahaah blaza nimelike hiyo post kiroho safi kabisa
Kaizer mwambie mhudumu ampe huyu juice anazotaka ....party iendelee
Naona anajichanganya baadae atadai Bavaria ...akicheza kidogo atataka wine or reds lol
Tatizo best yet mbishi huyu haamintena ndege yenyewe ile iliyopotea tulipona sisi tu
n
kwikwi huyo ni wewe originale eti
eli jamani pande zako panya road wengi na kaizer team b anaweza kunigeuza kitoweo you know
Neddy acha uongo, si wewe unakunywa chibuku pale kwa naniii...ndio pale
kuna kawaini nilipewa zawadi kamenishinda hapa kapo kama pambo room kwangu lol
we mdogo sana nitakubemenda bure kisha nifungwe......:shock: