nampenda kuliko navyoweza kuexpressMA ina maana yule mchumbako humtaki tena?
yaye ataishi kwenye yumba yake mimi ntaishi ya kwanguUchumba ni njia ielekeayo ndoani. . .
Hahahaha. . . . .
Sasa Mbu ulipewa nguvu za nini za nini kama sio za kubeba mizigo? Ustahilivu nao wa kazi gani kama sio ili usiogope matatizo?
Uchumba ni njia ielekeayo ndoani. . .
...lol....hebu wewe mwenyewe angalia hayo uliyoyaorodhesha
yanayopatikana kwenye ndoa!
....utanishawishi kuoa kweli?
- nguvu ['ajira' hii malipwa yake nini?...]
- mzigo
- ustahmilivu
- kazi
- matatizo
...lol....hebu wewe mwenyewe angalia hayo uliyoyaorodhesha
yanayopatikana kwenye ndoa!
....utanishawishi kuoa kweli?
- nguvu ['ajira' hii malipwa yake nini?...]
- mzigo
- ustahmilivu
- kazi
- matatizo
Hahahaha. , . .
Sasa hayo sindo yanayokamilisha "for better OR WORSE" Mbu? Kama hayakutakiwa kuwamo kwenye ndoa basi watu wangeahidia kuwa pamoja wakati wa kheri tu.
Alafu mi akili ilikua imeanza kukaa pande hii, sasa umeanza kunitisha.
Hahahaha. , . .
Sasa hayo sindo yanayokamilisha "for better OR WORSE" Mbu? Kama hayakutakiwa kuwamo kwenye ndoa basi watu wangeahidia kuwa pamoja wakati wa kheri tu.
Alafu mi akili ilikua imeanza kukaa pande hii, sasa umeanza kunitisha.
Sina mpango.
halafu wewe kuna hekta mbili zako huku...
wapi edson?
huku shamba...
Mimi kwa sasa sina mpango sababu bado nahisi kua najitosheleza emotionaly, sihitaji complement.
Bado najigundua mwenyewe, alafu baadae nitajaribu kuona mtu gani atanifaa (if ever)